Sugu hazuiliki Mbeya mjini

Yule ajuza na sura yake mbaya kama roho yake lazima aingie MP
 
Vijana wamfikishia ujumbe Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a SUGU juu ya Hali ngumu sana ya maisha

Tatizo CHADEMA mnahangaika na walevi, wavuta bangi, ugoro, gongo, madawa ya kulevya alafu wote hao ukiuliza wana piga kura, utakuta hakuna, jamani mkienda kuongea na wapiga kura hakikisheni mnaongea na wananchi wenye kuelewa maana ya kura ni nini.

Sasa hawa wavuta bangi watampigia kura Mr. Sugu kivipi, sbb hawajiandikishi kabisa kupiga kura, akishindwa anakimbilia kusema kaibiwa kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…