sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Usirudie kumuweka Diamond level za awa wanaojitafuta uzeeni.Sugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Usirudie kumuweka Diamond level za awa wanaojitafuta uzeeni.
Escalade moja ya Diamond inajenga hotel mbili kama hiyo inayomuweka Sugu mjini.
Waheshimuni waliyowaonesha njiaUsirudie kumuweka Diamond level za awa wanaojitafuta uzeeni.
Escalade moja ya Diamond inajenga hotel mbili kama hiyo inayomuweka Sugu mjini.
Nmeikumbuka ile show aliimba pale Mnazi mmoja, aliimba track yake ya ni wapi tunakwenda, watoto wadogo humu kizazi cha wavaa Helen puani wavaa kikuku mguuni hawawezi kuelewaAmesema;
"Msanii wa kwanza kua milionea"
Wakati Sugu ana anza kuimba huyo Diamond alikua ni kitoto kidogo tu kama alikua kisha zaliwa,
Muwe mnajifunza kuelewa jambo kabla ya kuchangia.
Sugu hajaonyesha njia mtu yoyote yeye ndio alikuwa anaonyeshwa njia akati anakuja mjini, wakati wake wa kuimba ulishapita hana jipya tena aendelee kuvizia kurudi bungeni.Waheshimuni waliyowaonesha njia
Siku zote
Ova
Madeni ya matajiri benk huwa hayaishi. Hata mabenki yenyewe yanapenda wakope zaidi wakati mwingine wanawaomba waongeze mikopo yao.Deni la crdb kamaliza?
Dogo acha chuki ni mbaya na itakupeleka pabaya.Sugu hajaonyesha njia mtu yoyote yeye ndio alikuwa anaonyeshwa njia akati anakuja mjini, wakati wake wa kuimba ulishapita hana jipya tena aendelee kuvizia kurudi bungeni.
Naomba kujua umri wako tafadhali, maana nahisi ww ndio umechangia pumba ktk huu uziKama bilionea bungeni anafata nini?
Sugu mshamba asili yake ...hii sio mara ya kwanza na anfanya vile kumrusha roho ex wake ,, alianza mara sijui pesa inaleta furaha mara sijui yeye ndo mwanzilishi wa bongo fleva in short mshamba na hakuwai na swagga za maana kuvaa hajui japo ana pesa umri ushamtupa angeacha wakina kondeboy mambo hayo.Sugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Mwana-Fa au Ay Wana mzigo gani? Wa kawaida Sana wale, labda diamond platnumSugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Uzi huu unamhusisha sugu, sio huyo freemasonDiamond njoo huku ujibu tuhuma
Mkuu tafiti zinasem Tanzania bara in vichaa milion 7. Ndio Hawa sasaUna akili mgando sana Shabiby na abood bungeni wamefuata nn
Hata hyo mondi alioneshwa njiaSugu hajaonyesha njia mtu yoyote yeye ndio alikuwa anaonyeshwa njia akati anakuja mjini, wakati wake wa kuimba ulishapita hana jipya tena aendelee kuvizia kurudi bungeni.
Pesa gani aliyokuwa nayo huyo faizaFact ni kwamba Faiza Ally ana pesa kumzidi Sugu.
Yaaani Faiza kama Kuna mda anajuta kucheza na penzi la sugu maana analitamani mpk Leo na ameoa mwanamke wa kawaida mnoooHapa lazima ajibu mapigo
Mbona Trump trilionea lakini kawa Rais wa Marekani?Kama bilionea bungeni anafata nini?
Madeni ni sehemu ya maisha ya mabilionea.Deni la crdb kamaliza?