Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Fact ni kwamba Faiza Ally ana pesa kumzidi Sugu.
Kama wewe ni demu uko sahihi ,ila kama ni dume nikupe pole tu.Sugu mshamba asili yake ...hii sio mara ya kwanza na anfanya vile kumrusha roho ex wake ,, alianza mara sijui pesa inaleta furaha mara sijui yeye ndo mwanzilishi wa bongo fleva in short mshamba na hakuwai na swagga za maana kuvaa hajui japo ana pesa umri ushamtupa angeacha wakina kondeboy mambo hayo.
Kwani Sugu ana pesa gani sasa!? Au unadhan Faiza ni kinyonge eehPesa gani aliyokuwa nayo huyo faiza
Ova
Sugu aache kujichoresha kujiita millionaire wakati mpaka kina Chui wanamzidi mzigo na wametulia tuu.Masisiyemu mnapata shida tana
Bilionea hawezi kulilia kwenda bungeni kusubiri milion 12 kwa mwenzi....Kwani bunge letu halitaki mabillionea linataka makapuku tu?
Soma sifa za Mbunge kisha kama unazo gombea
Ubillionea wake mwachie yeye na familia yake
Bilionea hawezi kulilia kwenda bungeni kusubiri milion 12 kwa mwenzi....Huku nje akipiga mishe zake na bungeni akipiga mishe za bungeni hujui kwamba ubilionea unaongezeka au bungeni unazoa taka nakuchafuka hakuna kitu alichopata?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Bilionea hawezi kulilia kwenda bungeni kusubiri milion 12 kwa mwenzi....Sick mind β¦ bungeni unatafutwa ubilionea au kuhudumu wananchi?
Bilionea hawezi kulilia kwenda bungeni kusubiri milion 12 kwa mwenzi....Una akili mgando sana Shabiby na abood bungeni wamefuata nn
Bantu lady Leo umechangia mamii!!Wananiita Sugu...
Sawa mke wa suguKama wewe ni demu uko sahihi ,ila kama ni dume nikupe pole tu.
Bungeni mabilionea hawaendi kutafuta mishahara na marupurupu. Wanaenda kufanya lobbying na kutafuta political mileage ili wawe na ulinzi kwenye biashara zao kusudi wakifanya figisu iwe rahisi kuchomoka, wapate tenda za serikali, wapendelewe na wawe na ulinzi dhidi ya wapinzani.Bilionea hawezi kulilia kwenda bungeni kusubiri milion 12 kwa mwenzi....
Si umeona Rostam azizi na Mo walipiga chini ubunge ?
Hao wakina shibiby na aboud wazee wa dili tu wapo bungeni kimaslahi tatizo hao watu hawajui vizuri.
Nimerudi sasa ππππ TASLIMABantu lady Leo umechangia mamii!!
Mkewe anajua!Deni la crdb kamaliza?
Sugu ameanza kutafuta hela wakati wewe bado uko kwenye kiuno cha baba yako.Extremely dissapointing.
Mwanasisa wa third world na watu wake.
Anajimwambafy ametajirika, na tunajua mtaji kaupatia bungeni, au kama hajaupata bungeni basi alikuwa anafanya biashara akiwa bungeni, maana tunajua kaenda mule kapuku kama sisi akigombea mgao wa mradi wa Malaria. Yani hakuwa committed full time kushuulika na mambo yetu.
Nchi za watu walioendelea na wanaozido kuendelea mwanasiasa asingejitanua kutangaza kawa bilionea.
Sugu ana take advantage ya illiterate society yake akijua reputation yake haiwezi kuhojiwa kwa jambo kama hilo.
Ubunge ni biashara inayolipa sana.Kama bilionea bungeni anafata nini?