Yaani umaarufu wa Jide umetokana na mifarakano au sijakuelewa vizuri??
Kumdis Sugu ni kujitafutia laana ya bure, Sugu ni mtu mwenye misimamo ambaye aliweza kusimama mwenyewe kama soul artist kitu ambacho ilikuwa haiwezekani.
Kwenye Mabonanza ya Kim & boys alikuwa anafanya show bila kulipwa hata shilling, nakumbuka kwenye mashindano ya Taifa ya Rap yalifanyika Avalon mwaka 93 lakini yeye hakushiriki kwa sababu hakuna vigezo yalitakiwa makundi ila walimpa nafasi ya kutoa show na single yake ya siku yangu.
Washindi wa kwanza walichukuwa Hard blasters wa pili wakawa Gangstes with Matatizo GWM na watatu wakawa Live with purpose LWP.
...uyu = huyu. ( hata hivyo uzi mzuri)
Yaani umaarufu wa Jide umetokana na mifarakano au sijakuelewa vizuri??
Sasa baada ya kumtongoza nini kilifata?Hapana, Jide na Sugu walikuwa maharufu kabla ya ugomvi wowote tena miaka mingi iliyopita. So unaposema ugomvi ndio unawapa umaharufu hauwatendei haki ata kama hauwapendi.
Uyo Chidi nilisikia alikuwa anamtongoza Jide kwa sms akaonywa hakusikia. Ila una maswali na wewe kama polisi !! alafu yote yana majibu yaliyowazi.
Nimeshangaa pia, hoja ya kitoto sana, unajua mtu akiishiwa maneno ataongea tu ilimradi
Yaah umaarufu wao umechagizwa zaidi na mafarakano.....hili haliitaji ushahidi!
Sasa baada ya kumtongoza nini kilifata?
Niambie Jide alimfanya nini Chid ambacho tunaweza sema kweli ndiye aliyempoteza Chid!
Yaah walikuwa maarufu kabla lakini tujiulize
Umaarufu wa Jide na Chid umeshamiri kipindi gani na watu wame wafatilia sana kipindi gani?
Yaah umaarufu wao umechagizwa zaidi na mafarakano.....hili haliitaji ushahidi!
Yaah umaarufu wao umechagizwa zaidi na mafarakano.....hili haliitaji ushahidi!
Hiyo mpya kwa kweli. Au pengine kaanza kumjua Jide akijiita Anaconda.
Uko vizuri mkuuu
Napenda watu wanaoongea with facts/evidences
Ila Jide ana miaka mingapi maana kuna siku nikicheki diary yake...uso umekomaa sana yani pamoja na ma make up lakini wapi..
Sema wanaficha umri wao ila sura zinawaumbua sana.
Emenem kazaliwa 1972 ila nahisi Jide ni mkubwa kushinda Eminem
Jide ni next level ki ukweli, wala sio kwamba tunampa sifa za kijinga, yule bibi ni shidaa, kashindikana afrika mashariki nzima, hyo benpol nae anatafuta kick jide atamuwezea wapi kapuku wa buguruni
Sasa baada ya kumtongoza nini kilifata?
Niambie Jide alimfanya nini Chid ambacho tunaweza sema kweli ndiye aliyempoteza Chid!
Yaah walikuwa maarufu kabla lakini tujiulize
Umaarufu wa Jide na Chid umeshamiri kipindi gani na watu wame wafatilia sana kipindi gani?
Hebu jaribu maandishi haya basi utupunguzie maumivu ya ndimi! maharufu=maarufuHapana, Jide na Sugu walikuwa maharufu kabla ya ugomvi wowote tena miaka mingi iliyopita. So unaposema ugomvi ndio unawapa umaharufu hauwatendei haki ata kama hauwapendi.
Uyo Chidi nilisikia alikuwa anamtongoza Jide kwa sms akaonywa hakusikia. Ila una maswali na wewe kama polisi !! alafu yote yana majibu yaliyowazi.
Yaah umaarufu wao umechagizwa zaidi na mafarakano.....hili haliitaji ushahidi!