TIKO TRICKS
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 185
- 90
Hebu jaribu maandishi haya basi utupunguzie maumivu ya ndimi! maharufu=maarufu
ata=hata,uyo=huyo ,alafu =halafu.
Hili si kweli hata kidogo unless wewe umemjuwa Sugu wakati anaimba mambo ya feza na Jide, lakini kipindi anatembea na Cd yake mkononi yenye beat na anaomba kupewa nafasi ya kuperfom bila hata kupewa mia hukumjuwa.
Na kama ulikuwa hujui maisha ya mshkaji amesurubika mno na watu wa aina yake Mungu huwafuta machozi na kwa nini alifanikiwa kutoa albam alikuwa anatumia pesa anayopata kazini kwake BP kulipia studio Don bosco akipeleka master kwa wadosi anaambulia laki mbili tu.
Aaah wapi!!! Jide toka enzi zileee....hata hili halihitaji ushahidi.
Kuna track waliimba pamoja kati ya Jide na Chid unaitwa upo Juu,inaonekana baada ya ku-hit huo wimbo chid benz akaanza kuleta mapozi kwenye kushoot video mara ana-demand anunuliwe nguo mara apangiwe hotel mara alipwe kiasi kadhaa yani full complication kina Gadner na jide wakaona isiwe shida wakakata audio yake kwenye ile video wakaweka wacheza show basi video ikaruka hewani baada ya kupotezewa ndio akaanza bla bla nyingii na beef likawa juu.
Hili si kweli hata kidogo unless wewe umemjuwa Sugu wakati anaimba mambo ya feza na Jide, lakini kipindi anatembea na Cd yake mkononi yenye beat na anaomba kupewa nafasi ya kuperfom bila hata kupewa mia hukumjuwa.
Na kama ulikuwa hujui maisha ya mshkaji amesurubika mno na watu wa aina yake Mungu huwafuta machozi na kwa nini alifanikiwa kutoa albam alikuwa anatumia pesa anayopata kazini kwake BP kulipia studio Don bosco akipeleka master kwa wadosi anaambulia laki mbili tu.
Aisee ayo maswali yako kama tupo mahakamani sasa... Hapa nafikiri wameongrlea. ishu za kijamii zaidi sio kisheria mpaka mtu alete ushahidi..
Maana Jide ni maarufu nadhani tangia Chidi yupo primary school sasa ayo ya baada ya kutongoza ikawaje mie nitakuwa nasema uhongo ila walishafanya wimbo pamoja unaitwa Mpo juu na video Chidi hakuwekwa.
Ni kama watu wa siasa wanavyosema ukitaka kupiga siasa zako bila kuharibu basi usimdiss Nyerere na kweli tunaona watu waliomgusa Nyerere walishindwa siasa. Sasa aya ni mambo ya. kijamii zaidi ayaitaji facts kama we unavyotaka. Na nadhani ndio wanachosema washikaji hapa.
Kwani nani kakwambia msanii hatakiwi kuwa mtu mzima? Unaonekana wee ni mtoto! Kuwa kwanza akili yako ijuwe mambo.
Emi kumbe wa 72 aisee kumbe kikubwa hivyo? Ila Jide atakuwa kwenye 78 hivi 72 hajafika uko.
Kama jide kuwa na uso ulokomaa ni shida .....ina maana wewe hautokua???
Some people bhana, growing old is mandatory hata wewe muda ukifika shavu litakushuka tu na sura itakakamaa kwa sana.
We unakua kama kizazi cha Mulugo mi nasema kua jide ni mtu mzima kakomaa ila anaficha umri wake,
Hujaelewa nini sasa hapo.
maarufu, hata, huyo ,halafu.
Asante!
Nimeshangaa pia, hoja ya kitoto sana, unajua mtu akiishiwa maneno ataongea tu ilimradi
Tupe ushaidi ni kivipi Jide anaficha umri wake na wapi alitaja umri wake akaongopa na wewe tuthibitishie Jide kazaliwa mwaka gani? Otherwise JF si kijiwe cha wapiga porojo na majungu.
Nani kakwambia umri wake ni matangazo ya biashara? Na unataka umri wake wa nini? Ukishaujua ukusaidie nini? Nyie ndo wambea na wanafiki, badala ya kufikiria mambo ya maana unafikiria private information. Kwendreeaaah hukoWe unakua kama kizazi cha Mulugo mi nasema kua jide ni mtu mzima kakomaa ila anaficha umri wake,
Hujaelewa nini sasa hapo.
Nikupe ushahidi we ni mahakama,
Acha tabia za kimchele mchele viuno mbelembele.