Ametoa mada kinafiki as if anajua ín and out ya sugu wakati hata kumjua hamjui zaidi ya kusoma habari zake, angeanza kwa anachojua na kudhani basi na wenginé wangekuja Tu kistaarabuJamii Forum ni sehemu ya mawazo huru. Yeye anachokijua kakiwasilisha, anatakiwa pongezi na wengineo mnaongeza kinachojulikana na sio kumshambulia
Kama wewe unajua jamaa ana vyanzo vinginevyo unawasilisha tuu. Sasa isije ukawa una wasilisha wakaanza kumfatilia na biashara nyingine kama analipa kodi apo ndio ishu. Au ayo mashamba analima kwy vyanzo vya mtoo
Hivi una elimu ya biashara Au uchumi kwa ngazi yoyote ??? Usikurupukie fani za watuWe unadhani malori ni biashara ya kudumu muulize gsm kapaki malori mangapi tangu magu aingie.. Nakwa vile nchi ina ukame unafikiri kuna biashara kusafirisha mazao gani sass hv?
Sikiliza Mpwa, Biashara ni ujanja wala sio Ujanja ujanja, kama unafikiri hataweza kulipa basi hayo ni mawazo yako sio yake! Lakini pia hakuna kitu kibaya kama kukatishana tamaa, akishindwa at the end atasema AT LEAST I TRIED IT, lakini mimi na wewe tutakua tunakodoa macho tu, nadhani tujenge mfumo wa ku-appreciate juhudi za Wabongo wenzetuAtaweza ku operate hoteli kipindi ambacho hoteli zinapata hasara kwa kukimbiwa na mteja mkuu ambaye ni serikali na kudorora sekta ya utalii?. Na je huo mkopo wa mabillioni kutoka crdb ataulipa vipi huku ccm ikimungalia kwa jicho la tamaa jimboni mbeya 2020? Je sugu yuko tayari kufilisiwa mali zake na kwenda jela kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki ya crdb 2020 au ndiyo anaandaliwa mazingira ya kukabidhi jimbo la mbeya mjini kwa hiari kwa ccm 2020?.
Unamponda na kumbeza Sugu kwa kupambana, kufanya kazi, kuwekeza na kutafuta kipato kwa njia halali!Waliosema elimu ni mtaji siyo wajinga na ujanja ni kusoma alama za nyakati.. Mh.. Sugu ambaye ni mbunge wa Mbeya Mjini anamalizia ujenzi wa hoteli ya kitalii ya nyota 3 jijini mbeya kwa mkopo wa benki ya crdb.. Hoteli hiyo aliyoiita jina la Desderia hotel ambalo ni jina la mtot wake aliyezaa na mdada maarufu kwa jina la faiza..
Tatizo ni kwamba mkopo alipata enzi za kikwete ila hoteli inakamilika kipindi cha magu ambapo mteja mkuu wa industry ya hotel ambaye ni serikali amepigwa marufuku kutumia hoteli binafsi na kumbi zake kwa huduma za kiserikali kitendo kilichopelekea hoteli nyingi kufunga virago na kuuzwa na nyingine kubadilisha matumiz kuwa hostel na kadhalika..
Tatizo ninaloliona hapa kwa sugu ni je?
Ataweza ku operate hoteli kipindi ambacho hoteli zinapata hasara kwa kukimbiwa na mteja mkuu ambaye ni serikali na kudorora sekta ya utalii?. Na je huo mkopo wa mabillioni kutoka crdb ataulipa vipi huku ccm ikimungalia kwa jicho la tamaa jimboni mbeya 2020? Je sugu yuko tayari kufilisiwa mali zake na kwenda jela kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki ya crdb 2020 au ndiyo anaandaliwa mazingira ya kukabidhi jimbo la mbeya mjini kwa hiari kwa ccm 2020?..
Sugu haoni bosi wake mbowe anavyohenyeshwa kwenye club zake na hoteli zake kwa madeni madogo zaidi au ndo msaliti mtarajiwa wa ukawa? View attachment 463161View attachment 463162View attachment 463163View attachment 463164View attachment 463165View attachment 463166
Nyie ndio huwa mnasema hatuna hela. Sema sina hela usimjumlishe mwenzio maana si kila mwenye hela anajulikana maana kuna wenyenazo hata ukionyeshwa kuwa huo ndio flan mwenye hiki na kile unakataa.Sugu hana hela.. Mshahara wa ubunge anachukua laki tatu ukitoa madeni. Wenzie wana ma v8 yeye ana landcruiser la zamani alilopinduka nalo kitambo
Mkuu kama unajua sheria za mikopo wala usingeumiza kichwa chako kuandika yote hayo, ila kufupi jua tuu mtu huwezi kukopeshwa na taasisi yoyote kama huna kitu chenye dhamani ya hicho unachotaka kukopa, akishindwa kulipa watauza dhamana alizoweka,Sawa mimi si ccm wala serikali ila ujue crdb ni benki yenye hisa za serikali na kuna influence kubwa.. Wakiamua kumbana bwana sugu kuna vipengele vingi sana kummaliza.. Na hii serikali unaijua?
Kwa nini wambane kama anafanya biashara yake kihalali, ana leseni na kulipa kodi.Sawa mimi si ccm wala serikali ila ujue crdb ni benki yenye hisa za serikali na kuna influence kubwa.. Wakiamua kumbana bwana sugu kuna vipengele vingi sana kummaliza.. Na hii serikali unaijua?
Kwaio serikal inaimilik crdb?? Acha uongo wewe... Mbn magu hataki pesa ziende uko kama serkal inamiliki hisa anataka pesa zote ziende BOT msiwe nmatunga story mnakuja kutudanganya tulio na upeoSawa mimi si ccm wala serikali ila ujue crdb ni benki yenye hisa za serikali na kuna influence kubwa.. Wakiamua kumbana bwana sugu kuna vipengele vingi sana kummaliza.. Na hii serikali unaijua?
Point ya mtoa mada haiko sawa kwa sababu yeye anasema Sugu kaingia chaka, biashara yake itafeli kwa sababu ni Chadema....na anatoa picha kuwa hoteli ya Mbowe imepigwa na itakufa sababu ni Chadema...za wana ccm na raia wa kigeni hazioni?mtoa mada yuko sahihi kwa hali ya sasa hivi uchumi umeyumba sana, sisi wafanyabiashara tunapata shida sana kurejesha madeni kwa bank. kwa yeyote ambaye amekopa bank na kufanya uwekezaji mpya laiti angelijua kuwa hali ya uchumi ingeyumba hivi wengi tusingelikopa kabisa. sasa hivi mikopo imekuwa ni mateso makubwa kwakuwa biashara mbaya sana.
Wewe ndio haulipi mvuto wa sungu akiwa mbeya haruhusiwi kutembea kwa miguu akitembea kwa miguu yanakuwa maandamanoMziki wa sugu haulipi kwa sasa...hata shoo ya milion 2 kupata ni shida mkuu
Dah! Why people are too jumpy? Yaani hotel hata haijesha bado mshaanza kupiga ramli?Sawa mimi si ccm wala serikali ila ujue crdb ni benki yenye hisa za serikali na kuna influence kubwa.. Wakiamua kumbana bwana sugu kuna vipengele vingi sana kummaliza.. Na hii serikali unaijua?
Mimi nimetoa kama angalizo tu la kisiasa kwamba hilo deni lake lisije likamuweka mtegoni akashawishiwa kirahisi sasa mambo ya wewe una nini si mipasho hiyo ya kijinga.. Kwani mifano hai ipo ya wanasiasa kushawishiwa na vyama tawala inapokuja maswala ya kufilisiwa mfano ni john cheyoTz tuko na matatizo sana ! Mwanaume mwenzako anasimamisha mjengo afu unakuja kubwabwaja huku ...
Wewe unani sasa? [emoji23][emoji23]