Mtu kuwa na hela ni nini?Sugu hana hela.. Mshahara wa ubunge anachukua laki tatu ukitoa madeni. Wenzie wana ma v8 yeye ana landcruiser la zamani alilopinduka nalo kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kuwa na hela ni nini?Sugu hana hela.. Mshahara wa ubunge anachukua laki tatu ukitoa madeni. Wenzie wana ma v8 yeye ana landcruiser la zamani alilopinduka nalo kitambo
Nimetoa mada kama mchambuzi tu sasa wanazani mimi nimekuja na ajenda za chama hii ni warning kwa mwekezaji kama kuna namna atafute suluhu mapema kwa vyoyvyote vile ccm lazima itatumia deni hili kama fursa 2020 ukizingati unyeti wa jimbo la mbeya
Wewe jipe moyo wakati mimi nimeanza kujipanga kuinunua hoteli hiyo maana najua lazima itapigwa mnada tu. Ni suala la kusubiri na kuona.Kwanza Sugu ni mwanamziki
Shoo yake moja anachukuliwa kwa milioni tano na kila siku anapewa ofa lakini kulingana na majukumu ya kibunge anashindwa kwenda kupiga shoo
Mdomo wake ndio mtaji wake yeye kama yeye akiamua azunguke tanzania nzima kupiga shoo atakusanya sh ngap?
Na unajuwa ana semi ngapi? zina muingizia sh ngap kwa kila mwezi
Usikurupuke Sugu ni habari ingine
Mtoa mada mtu wa ajabu sana hawa ndo wanakufa maskini, mi mwenyewe mjasiriamali mdogo ila majuzi nimekopa 10m bank...sasa kwa akili za mtoa mada atasema nimeingia chaka wakati tunapiga biashara kama kawaida!Ukiwa na fursa ya kukopa bank,kopa ufanye kile ulichokusudia.Uoga wako ndiyo umaskini wako.
Sawa mimi si ccm wala serikali ila ujue crdb ni benki yenye hisa za serikali na kuna influence kubwa.. Wakiamua kumbana bwana sugu kuna vipengele vingi sana kummaliza.. Na hii serikali unaijua?