Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

Diamond angelijua angekaa kimya tuu , anatafutiwa angle tuu.Hakumbuki yeye ndio mtu pekee anaepingwa vikali na baadhi ya watu kwakuwa alikuwa karibu tuu na uongozi fulani.All in all kama nanadaiwa kodi alipe kodi.Kila zama na kitabu chake
 
Eti ana hotel kubwa!aliipata wapi?akiwa MR 2,au akiwa Mheshimiwa Mbunge!!
It's not a rocket science,kukunja kiinua mgongo 200M+ukaanzisha hotel,Tena moja tu,
Angekuwa nazo kumi ingekuwaje?
Kipindi kile Cha Jiwe wakati wanatishia kuivunja,mbona Ali Lia Lia sana kama kweli ni kidume,fuckers
Umepanic mnoo,
Tafuta ile fanta nyeusi unywe upesi sukari yako imeshuka sana kwa kughafilika.

Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa.
 
Diamond angelijua angekaa kimya tuu , anatafutiwa angle tuu.Hakumbuki yeye ndio mtu pekee anaepingwa vikali na baadhi ya watu kwakuwa alikuwa karibu tuu na uongozi fulani.All in all kama nanadaiwa kodi alipe kodi.Kila zama na kitabu chake
Anatafutwa na TRA kwasababu amekwepa kodi na sio vinginevyo.

Hizi sheria za kodi zinamuhusu mwenye chama na asiye na chama, kama mmeshasadiki kuwa sheria hizi za kodi ni kandamizi kama ilivyopigiwa kelele na wapinzani basi unganisheni nguvu kupinga sheria hizo kandamizi.
 
Mh. Sugu kaunga mkono juhudi kwa kuhimiza Diamond aache ujanja ujanja alipe kodi. Hili ni jambo jema. Naomba aende hatua zaidi kwa:-
1. kusitisha kampeni ya kuzuia tozo
2. aanze kuhimiza aliwashawishi wakwepe tozo waanze kulipa tozo
 
Tofautisha tozo na Kodi. Halafu tozo imepitishwa na wabunge wa CCM. Wao ndio uwape hiyo kazi.
 
Tofautisha tozo na Kodi. Halafu tozo imepitishwa na wabunge wa CCM. Wao ndio uwape hiyo kazi.
Ni lini CCM imeacha kupitisha sheria ikiwemo hizo TRA- CHADEMA wanazotumia kumnyanyasa diamond?
 
Tozo ni wizi. Serikali inawaibia wananchi.

Kodi ni kitu halali. Serikali inaendeshwa kwa kodi, hivyo ni wajibu wa wananchi kulipa Kodi.

Sijui umeelewa wewe!?? (Usikute una mibange kichwani)
 
Tozo ni wizi. Serikali inawaibia wananchi.

Kodi ni kitu halali. Serikali inaendeshwa kwa kodi, hivyo ni wajibu wa wananchi kulipa Kodi.

Sijui umeelewa wewe!?? (Usikute una mibange kichwani)
Ndivyo ulivyo elekezwa
 
Ni lini CCM imeacha kupitisha sheria ikiwemo hizo TRA- CHADEMA wanazotumia kumnyanyasa diamond?

Kwa hivyo CHADEMA ndio wamemfungia akaunti diamond?. Diamond alikosea aliposema huko TRA Kuna wapinzani wanataka kumgombanisha na mama. Ndio maana Sugu kamjibu Kama kejeli sio kuiunga mkono serikali ya mafisadi ya CCM .
 
Mh. Sugu kaunga mkono juhudi kwa kuhimiza Diamond aache ujanja ujanja alipe kodi. Hili ni jambo jema. Naomba aende hatua zaidi kwa:-
1. kusitisha kampeni ya kuzuia tozo
2. aanze kuhimiza aliwashawishi wakwepe tozo waanze kulipa tozo
Tozo inalipwa bila mtu kuwa amefanya biashara yoyote, ni kama kodi ya lazima kwa kila mwananhi

Kodi inalipwa toka katika faida unayopata kwenye biashara

Hakuna mwananchi wa kawaida hata mmoja anaweza kuunga mkono kulipa tozo.

Post yako inalenga tu tofauti za itikadi na hao uliowataja, otherwise ikipigwa kura leo watu wachague tozo ifutwe au ibaki, ni maafisa waandamizi wa serikali pekee ndio watasema ibaki
 
Kwa hivyo CHADEMA ndio wamemfungia akaunti diamond?. Diamond alikosea aliposema huko TRA Kuna wapinzani wanataka kumgombanisha na mama. Ndio maana Sugu kamjibu Kama kejeli sio kuiunga mkono serikali ya mafisadi ya CCM .
Wewe ni msemaji wa Mh. Sugu- ohh wewe ni KUPE
 
Tozo inalipwa bila mtu kuwa amefanya biashara yoyote, ni kama kodi ya lazima kwa kila mwananhi

Kodi inalipwa toka katika faida unayopata kwenye biashara

Hakuna mwananchi wa kawaida hata mmoja anaweza kuunga mkono kulipa tozo.

Post yako inalenga tu tofauti za itikadi na hao uliowataja, otherwise ikipigwa kura leo watu wachague tozo ifutwe au ibaki, ni maafisa waandamizi wa serikali pekee ndio watasema ibaki
Kodi inatozwa kwa mtu yeyote mwenye kipato na njia ya kujua mtu anakipato ni kuangalia mwenendo wa matumizi yake. Kwa Tanzania matumizi ya mitandao kuhamisha pesa na kulipia huduma yametoa fursa ya kujua kipato na matumizi ya watanzania- wanakatwa tozo ambazo zipo kihalali na kisheria na zinaipa serikali mapato kwa ajili ya kuhudumia wananchi na kujihudumia yenyewe kwanza. ILA KWA UFUPI WA MAONO YAKO endelea na unacho amini.
 
Mh. Sugu kaunga mkono juhudi kwa kuhimiza Diamond aache ujanja ujanja alipe kodi. Hili ni jambo jema. Naomba aende hatua zaidi kwa:-
1. kusitisha kampeni ya kuzuia tozo
2. aanze kuhimiza aliwashawishi wakwepe tozo waanze kulipa tozo
Mnafiki huyo. Ye juzi kwenye kongamano lao iringa si alikuwa anasema mama aondoe sheria za kodi na kumsifia kuwa kwa sasa hawasumbuliwi kulipa kodi.
 
Mh. Sugu kaunga mkono juhudi kwa kuhimiza Diamond aache ujanja ujanja alipe kodi. Hili ni jambo jema. Naomba aende hatua zaidi kwa:-
1. kusitisha kampeni ya kuzuia tozo
2. aanze kuhimiza aliwashawishi wakwepe tozo waanze kulipa tozo
Kwani wakati hao wakina sugu wakililia mboresho ya sheria kandamamizi,hao wakina domo
Huwa wana support,si wanakuwaga
Kimya ndy kwanza wanakata mauno

Ova
 
Back
Top Bottom