johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge mstaafu wa Mbeya mjini kupitia Chadema mh Mbilinyi aka Sugu amesema hata tukiweka siasa pembeni anamkubali na kumpenda mama Samia, mh Rais wa JMT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge mstaafu wa Mbeya mjini kupitia Chadema mh Mbilinyi aka Sugu amesema hata tukiweka siasa pembeni anamkubali na kumpenda mama Samia, mh Rais wa JMT.
Source: Ayo tv!
Mbunge mstaafu wa Mbeya mjini kupitia Chadema mh Mbilinyi aka Sugu amesema hata tukiweka siasa pembeni anamkubali na kumpenda mama Samia, mh Rais wa JMT.
Source: Ayo tv!
Kwa hiyo tuambie basi, ukitaka kumwambia mama yako unampenda utasemajeAnampenda
Mmmmmh, Upendo wa Kiafrika au kizungu
Ukimwambia mzungu I love you ni kawaida lakini Ukimwambia mtu mweusi I love you ni shida na a namaanisha upendo hasa ule
Awe makini na upendo wake
Mimi nikiambiwa tu ninakupenda moja kwa moja lazima aliyesema tukakamilishe upendo wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph MbilinyiSugu sio mstaafu alishindwa Ubunge,nilishawahi kusema Chadema ni CCM B
Inategemea wewe ni Mwanaume au MwanamkeKwa hiyo tuambie basi, ukitaka kumwambia mama yako unampenda utasemaje
Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph Mbilinyi
2020 hakuna aliyeshinda au kushindwa bali wapo waliopitishwa.
Hata wewe ungegombea ungeshinda sema uliogopa ukapitia mlango wa vitu maalumu!
Chuchu zinapigwa plasta.!? Sikuwahi kusikia hii.Inategemea wewe ni Mwanaume au Mwanamke
Mwanamke atasema Mama nakupenda sana tena sana
Shida Mwanaume kumwambia Baba yako nakupenda
Lakini ukiwa mtoto kama akina Junior na una miaka 40
Junior Yeye, Yeye na miaka yake 40,Yeye atasema nakupenda sana Baba yangu na anaweza hata akapakatwa na Baba
Junior Yeye hata Mama atamwambia nakupenda sana Mama na kumpigia busu Mwaaa mwaaaaa Mwaaa, Kumbuka junior hapo ana miaka 40
Ngoma inakuja kwa wale wenzangu ambao waliachishwa kunyonya kwa pilipili na Mama kuweka plasta kwenye chuchu
Junior mpaka yupo Darasa la tano bado ananyonya maziwa ya Mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Jukwaa la mapenzi lingepokea hoja yako kwa heshima sana.Anampenda
Mmmmmh, Upendo wa Kiafrika au kizungu
Ukimwambia mzungu I love you ni kawaida lakini Ukimwambia mtu mweusi I love you ni shida na a namaanisha upendo hasa ule
Awe makini na upendo wake
Mimi nikiambiwa tu ninakupenda moja kwa moja lazima aliyesema tukakamilishe upendo wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe mwanamama CCM kukuchukua wametusaidia sana CHADEMA.Sugu sio mstaafu alishindwa Ubunge,nilishawahi kusema Chadema ni CCM B
CCM Mmeokota okota watu kwa kua tu wapo chadema. Zigo hilo mnalo 😂Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph Mbilinyi
2020 hakuna aliyeshinda au kushindwa bali wapo waliopitishwa.
Hata wewe ungegombea ungeshinda sema uliogopa ukapitia mlango wa vitu maalumu!
Sema kama Taifa zigo tunaloCCM Mmeokota okota watu kwa kua tu wapo chadema. Zigo hilo mnalo [emoji23]
Sugu atakula uteuzi hivi karibuniKutakuwa na jambo limejificha asee