Sugu: Ukiweka siasa pembeni, nampenda Mama Samia

Sugu: Ukiweka siasa pembeni, nampenda Mama Samia

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge mstaafu wa Mbeya mjini kupitia Chadema mh Mbilinyi aka Sugu amesema hata tukiweka siasa pembeni anamkubali na kumpenda mama Samia, mh Rais wa JMT.

Sugu.JPG
 
Anampenda

Mmmmmh, Upendo wa Kiafrika au kizungu

Ukimwambia mzungu I love you ni kawaida lakini Ukimwambia mtu mweusi I love you ni shida na a namaanisha upendo hasa ule

Awe makini na upendo wake

Mimi nikiambiwa tu ninakupenda moja kwa moja lazima aliyesema tukakamilishe upendo wenyewe
 
Anampenda

Mmmmmh, Upendo wa Kiafrika au kizungu

Ukimwambia mzungu I love you ni kawaida lakini Ukimwambia mtu mweusi I love you ni shida na a namaanisha upendo hasa ule

Awe makini na upendo wake

Mimi nikiambiwa tu ninakupenda moja kwa moja lazima aliyesema tukakamilishe upendo wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo tuambie basi, ukitaka kumwambia mama yako unampenda utasemaje
 
Damu zao zinapatana hakuna tatizo.
 
Mama alinifurahisha akihutubia wateule wake alimwambia, nendeni mkashirikiane na mpendane, mwishowe akasema sio mpendane vingenevyo.
 
Nje na kuwa ni Kiongozi wetu mwama siasa.
Aache. Ni mke wa mtu
 
Kwa hiyo tuambie basi, ukitaka kumwambia mama yako unampenda utasemaje
Inategemea wewe ni Mwanaume au Mwanamke

Mwanamke atasema Mama nakupenda sana tena sana

Shida Mwanaume kumwambia Baba yako nakupenda

Lakini ukiwa mtoto kama akina Junior na una miaka 40

Junior Yeye, Yeye na miaka yake 40,Yeye atasema nakupenda sana Baba yangu na anaweza hata akapakatwa na Baba

Junior Yeye hata Mama atamwambia nakupenda sana Mama na kumpigia busu Mwaaa mwaaaaa Mwaaa, Kumbuka junior hapo ana miaka 40

Ngoma inakuja kwa wale wenzangu ambao waliachishwa kunyonya kwa pilipili na Mama kuweka plasta kwenye chuchu

Junior mpaka yupo Darasa la tano bado ananyonya maziwa ya Mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph Mbilinyi

2020 hakuna aliyeshinda au kushindwa bali wapo waliopitishwa.

Hata wewe ungegombea ungeshinda sema uliogopa ukapitia mlango wa vitu maalumu!

Duh umempa makavu, sa zingine unakuwa na nukta ya akili
 
Inategemea wewe ni Mwanaume au Mwanamke

Mwanamke atasema Mama nakupenda sana tena sana

Shida Mwanaume kumwambia Baba yako nakupenda

Lakini ukiwa mtoto kama akina Junior na una miaka 40

Junior Yeye, Yeye na miaka yake 40,Yeye atasema nakupenda sana Baba yangu na anaweza hata akapakatwa na Baba

Junior Yeye hata Mama atamwambia nakupenda sana Mama na kumpigia busu Mwaaa mwaaaaa Mwaaa, Kumbuka junior hapo ana miaka 40

Ngoma inakuja kwa wale wenzangu ambao waliachishwa kunyonya kwa pilipili na Mama kuweka plasta kwenye chuchu

Junior mpaka yupo Darasa la tano bado ananyonya maziwa ya Mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Chuchu zinapigwa plasta.!? Sikuwahi kusikia hii.
 
Anampenda

Mmmmmh, Upendo wa Kiafrika au kizungu

Ukimwambia mzungu I love you ni kawaida lakini Ukimwambia mtu mweusi I love you ni shida na a namaanisha upendo hasa ule

Awe makini na upendo wake

Mimi nikiambiwa tu ninakupenda moja kwa moja lazima aliyesema tukakamilishe upendo wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Jukwaa la mapenzi lingepokea hoja yako kwa heshima sana.
 
Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph Mbilinyi

2020 hakuna aliyeshinda au kushindwa bali wapo waliopitishwa.

Hata wewe ungegombea ungeshinda sema uliogopa ukapitia mlango wa vitu maalumu!
CCM Mmeokota okota watu kwa kua tu wapo chadema. Zigo hilo mnalo 😂
 
Hii video ndio ilifanya aseme hivyo. Baada ya mama kusema nyie tokeni huko.
 
Back
Top Bottom