Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Kumbukumbu za bunge zinasoma mbunge mstaafu Joseph Mbilinyi
2020 hakuna aliyeshinda au kushindwa bali wapo waliopitishwa.
Hata wewe ungegombea ungeshinda sema uliogopa ukapitia mlango wa vitu maalumu!
Ni Kimbunga!Hilo Bunge unalozungumzia Spika wake ni Mzee Mgaya
Wampe tu anafaaSugu atakula uteuzi hivi karibuni
\duuh!! kwahiyo wazazi wako hawajawahi kukuonyesha upendo? au ndio umekuwa ukikamilisha nao? hiyo imekaaje? Tafadhali tengua kauli yako kwa maslahi mapana ya heshima ya familia yako.Anampenda
Mmmmmh, Upendo wa Kiafrika au kizungu
Ukimwambia mzungu I love you ni kawaida lakini Ukimwambia mtu mweusi I love you ni shida na a namaanisha upendo hasa ule
Awe makini na upendo wake
Mimi nikiambiwa tu ninakupenda moja kwa moja lazima aliyesema tukakamilishe upendo wenyewe
Basi kama ilivyo kwa jamaa ako mmoja aliye shika siti ya mbele kwenye huu uzi, hujui maana ya neno, UPENDO! Wewe kama ungekuwa naibu waziri wa habari, lazima ungezalishwa na mkuu wa fedha wa sasa!!Sugu sio mstaafu alishindwa Ubunge,nilishawahi kusema Chadema ni CCM B
Kutakuwa na jambo limejificha asee
Kumsifia mtu lazima awe wa chama chako?mpaka sku unakuja kujua chadema ni tawi la ccm itakua too late
Wampe tu anafaa