Sukari💋💋

Sukari💋💋

Yani umenifanya niitelekeze K Vant yangu nikijua nakuja kuona connection ya Paula wa Kajala...

Kumbe ndo hayo... vibaya hivyo mama D.

Baba C sijapenda
Sorry dear☺☺
 
Usirudie tena. Si unajua bado niko bize naichambua ripoti ya siieijii?

Bado natafuta ripoti ya matumizi ya vile vichwa vya treni tulivyookota bandarini...

Haya
Nikiwa na mambo yangu mahususi Politiks naziachaga huko kwenye jukwaa la siasa.
Huu ni muda wa sukari tuuuu
Goodnight Asprin
 
Wewe umehangaika na kusifia upuuzi wiki nzima badala ya kuchapaKazi na bado uko kwenye politiks hadi muda huu🤣🤣🤣🤣
Hebu kuwaga na muda wa mambo mengine
Jipende hata kidogo basi🙄
Okay uko wapi tule weekend?
 
Back
Top Bottom