Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usirudie tena. Si unajua bado niko bize naichambua ripoti ya siieijii?Sorry dear☺☺
Mimi na baba D ni kitu kimoja, haina maana kunyimanaWeuweeeee
Usirudie tena. Si unajua bado niko bize naichambua ripoti ya siieijii?
Bado natafuta ripoti ya matumizi ya vile vichwa vya treni tulivyookota bandarini...
Okay uko wapi tule weekend?Wewe umehangaika na kusifia upuuzi wiki nzima badala ya kuchapaKazi na bado uko kwenye politiks hadi muda huu🤣🤣🤣🤣
Hebu kuwaga na muda wa mambo mengine
Jipende hata kidogo basi🙄
Babu shkamoo. Taarifa nazifikisha kwa bibi kuwa nimekuona chocho flani ukitongoza.Mimi na baba D ni kitu kimoja, haina maana kunyimana
Umeamkaje Chaliifrancisco
Niko na baba yako 😊
Huyo Chaliifrancisco mtume dukani, akiwepo anasumbua. Tena mtume kule duka la mbali.
Huyu dawa yake ukiwa unaishi huku kwetu bonyokwa au kifuru unamtuma burgers halafu unampa nauli ya daladala
Niwatakie mapumziko yenye furaha na raha tele baada ya mchakamchaka wa wiki nzima....
Au sindio mazaa. Basi yechu haina kwikwi.Umeamkaje Chaliifrancisco
Niko na baba yako 😊
Sasa umeanza kuharibu. Tukiachana bibi yako atakuwa mpweke... au utamuoa wewe?Babu shkamoo. Taarifa nazifikisha kwa bibi kuwa nimekuona chocho flani ukitongoza.