Sukuma Gang imeanzishwa na wahuni, haipo Kanda ya Ziwa

Sukuma Gang imeanzishwa na wahuni, haipo Kanda ya Ziwa

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Mbunge wa Nyamagana, Stanslaus Mabula ameweka wazi kuwa hakuna kundi linaloitwa Sukuma Gang bali ni wahuni wachache wameamua kutengeneza syndicate ya kuchafua watu wa Kanda ya Ziwa.

"Sukuma Gang hicho kitu hakipo hakuna kitu kama hicho haipo na kwanini iwepo yaani kwa sababu zipi iwepo? alafu hao ni wakinanani kuna wahuni wachache wameamua kutengeneza ka syndicate kakuchafua watu na nini lakini nataka nikuhakikishie hakuna kitu kama hicho," - amesema.

Mabula alikuwa anazungumza katika kipindi cha The Gig Agenda kinachotangazwa na STAR TV na Mtozi Aloyce Nyanda, jana Disemba 30, 2022
 
Sukuma Gang siyo watu wa Kanda ya Ziwa bali ni wafuasi wa yule dhalim mwendazake.

Watu hao hawahusiani na kanda ya Ziwa wala kabila la Kisukuma kwani hata huyo dhalim mwenyewe hakuwa Msukuma bali alijivika usukuma ili kupata uungwaji mkono kwa vile kabila la Wasukuma lina idadi kubwa ya watu, yule alikuwa Mhutu.
 
Mbunge wa Nyamagana, Stanslaus Mabula ameweka wazi kuwa hakuna kundi linaloitwa Sukuma Gang bali ni wahuni wachache wameamua kutengeneza syndicate ya kuchafua watu wa Kanda ya Ziwa.

"Sukuma Gang hicho kitu hakipo hakuna kitu kama hicho haipo na kwanini iwepo yaani kwa sababu zipi iwepo? alafu hao ni wakinanani kuna wahuni wachache wameamua kutengeneza ka syndicate kakuchafua watu na nini lakini nataka nikuhakikishie hakuna kitu kama hicho," - amesema.

Mabula alikuwa anazungumza katika kipindi cha The Gig Agenda kinachotangazwa na STAR TV na Mtozi Aloyce Nyanda, jana Disemba 30, 2022
Sukuma Gang tupo, tuueni sasa.
 
Hili kundi lilianzishwa na watu wasio wasukuma kwa lengo la kuwachafua wasukuma na hasa watu maarufu kwenye kabila hilo kama vile hayati JPM na Askofu Gwajima. Possibly waliloanzisha kundi hili wana vita na kabila la wasukuma; hakika Mungu Atawapiga!
 
Kweli kabisa, wasukuma anzia akina Paul Bomani, sio watu wa makundi, ni watu humble sana, pamoja na yule nduli kujaribu kuwatumia kimaslahi yake, hakufanikiwa.

Nchi Ina kumbukumbu ya wanasiasa wasukuma ambao ni humble sana, Pius N' gwandu viongozi kama Jaji Nyalali, ni ukanda ambao tangu nchi imepata Uhuru, umetulia sana kisiasa, na wasikivu na wanapenda mambo mazuri.

Ni wachache tu, mfano Luhaga Mpina, Rais JPM ambaye hupitia mafaili ya afya ya Kila mteule wake, alitutangazia rasmi kwamba Mpina ana ugonjwa wa kichaa, na kwamba huwa wanakutana mirembe kwa matibabu. Na ninamshauri SSH, ampumzishe 2025 ili akapate matibabu
 
Kwanza hata kuliita kundi la watu wenye nia zao za kisiasa "Sukuma Gang" ni kutukosea heshima Wasukuma.

Wasukuma wengi hatukubaliani na siasa za ukabila. Wengine hata huyo Magufuli hatukumkubali kabisa.

Sasa kuunganisha jina la kabila kubwa na wanasiasa wachache ni kutuchafua Wasukuma wote, ambao kati yetu kuna wengi hatukubaliani sio tu na siasa za hawa watu, bali pia na siasa za ukabila kwa ujumla.

Acheni kutumia jina la Sukuma kwenye siasa.

Hao watu watafutieni jina jingine.
 
Kweli kabisa, wasukuma anzia akina Paul Bomani, sio watu wa makundi, ni watu humble sana, pamoja na yule nduli kujaribu kuwatumia kimaslahi yake, hakufanikiwa.

Nchi Ina kumbukumbu ya wanasiasa wasukuma ambao ni humble sana, Pius N' gwandu viongozi kama Jaji Nyalali, ni ukanda ambao tangu nchi imepata Uhuru, umetulia sana kisiasa, na wasikivu na wanapenda mambo mazuri.

Ni wachache tu, mfano Luhaga Mpina, Rais JPM ambaye hupitia mafaili ya afya ya Kila mteule wake, alitutangazia rasmi kwamba Mpina ana ugonjwa wa kichaa, na kwamba huwa wanakutana mirembe kwa matibabu. Na ninamshauri SSH, ampumzishe 2025 ili akapate matibabu
Mkuu hao wazee kina Paul/ Mark Bomani, Jaji Nyalali all the way to Andrew Shija ni watu ambao licha ya kuwa na base kubwa sana ya kikabila, walipuuza siasa za ukabila.

Siasa za ukabila ni upumbavu unaopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya kimbari.
 
Kwanza hata kuliita kundi la watu wenye nia zao za kisiasa "Sukuma Gang" ni kutukosea heshima Wasukuma.

Wasukuma wengi hatukubaliani na siasa za ukabila. Wengine hata huyo Magufuli hatukumkubali kabisa.

Sasa kuunganisha jina la kabila kubwa na wanasiasa wachache ni kutuchafua Wasukuma wote, ambao kati yetu kuna wengi hatukubaliani sio tu na siasa za hawa watu, baki oia na siasa za ukabila kwa ujumla.

Acheni kutumia jina la Sukuma kwenye siasa.

Hao watu watafutieni jina jingine.

Moja ya sababu wasukuma wanataniwa Sana na karibu kila kabila ni sababu wako friendly na kind Kwa kila mtu....

Wasukuma walikuwa na sifa ya ukarimu .....na roho nzuri ....

Baada ya wakimbizi Wengi kuingia kanda ya ziwa na wale wasiotaka kujulikana sio watanzania kujiita wasukuma ndo tumepata aina mpya ya wasukuma wanao preach hate ,ukabila na roho mbaya
 
..siku hizi hakuna tena hotuba KILUGHA ktk shughuli za kitaifa.

..nakumbuka ktk sherehe za uhuru mwenyekiti wa chama fulani cha siasa alizungumza KILUGHA.

..Na hakukuwa na MKALIMANI.
Wewe ulitaka Mama aongee kilugha kipi? Ahahahahah!!!
 
..siku hizi hakuna tena hotuba KILUGHA ktk shughuli za kitaifa.

..nakumbuka ktk sherehe za uhuru mwenyekiti wa chama fulani cha siasa alizungumza KILUGHA.

..Na hakukuwa na MKALIMANI.
Lugha zetu ni asili yetu,lazima tuzienzi,na ni muhimu unapotaka kufikisha ujumbe kwa kundi flani,sio kila mtanzania anajua kiswahili
Endelea kuabudu lugha yako ya mkoloni waheed,shubhamiti
 
Kwanza hata kuliita kundi la watu wenye nia zao za kisiasa "Sukuma Gang" ni kutukosea heshima Wasukuma.

Wasukuma wengi hatukubaliani na siasa za ukabila. Wengine hata huyo Magufuli hatukumkubali kabisa.

Sasa kuunganisha jina la kabila kubwa na wanasiasa wachache ni kutuchafua Wasukuma wote, ambao kati yetu kuna wengi hatukubaliani sio tu na siasa za hawa watu, bali pia na siasa za ukabila kwa ujumla.

Acheni kutumia jina la Sukuma kwenye siasa.

Hao watu watafutieni jina jingine.
Naunga mkono hoja, hata mimi ni Msukuma lakini sikuwahi kumshabikia yule Mhutu na siasa zake za kuwagawa Watanzania. Tuwaite Bazilankende Gang, na wale wapinzani wao wabaki kuwa Msoga Gang.
 
Mbunge wa Nyamagana, Stanslaus Mabula ameweka wazi kuwa hakuna kundi linaloitwa Sukuma Gang bali ni wahuni wachache wameamua kutengeneza syndicate ya kuchafua watu wa Kanda ya Ziwa.
Ulitarajia akiri hadharani kuwa sukuma gang ipo? Hujui kuwa sukuma gang imeshika kwenye makali na awamu ya 6 imeshika mpini?

Hakuna anayeweza kuthubutu kupanua mdomo na kukiri uwepo wa kundi hili.

Ushahidi kuwa lipo; angalia clip ya uzinduzi wa bwawa la Nyerere, kila likitajwa jina la Mungu wao walikuwa wnashangilia Sana". Clip inaendelea kuangaliwa vizuri. Na kila aliyekuwa wnashangilia 2025 jina lake litakatwa.
 
Lugha zetu ni asili yetu,lazima tuzienzi,na ni muhimu unapotaka kufikisha ujumbe kwa kundi flani,sio kila mtanzania anajua kiswahili
Endelea kuabudu lugha yako ya mkoloni waheed,shubhamiti

..Ni vizuri kuenzi lugha zetu za asili, na nafasi ya kufanya hivyo ipo.

..kwenye masuala ya KITAIFA hatuna budi kuzungumza lugha ya taifa.
 
Sukuma gang ni genge lisilo rasmi (lakini halisi) la wanasiasa wa CCM waliokuwa wanafaidika na utawala wa Magufuli kwa mwamvuli wa kikabila/kikanda(kanda ya ziwa) huku wakiwadidimiza (kwa nguvu ya dola) watu wengine wenye mlengo tofauti na wao.

Mwanzilishi wa hilo genge ni Magufuli mwenyewe, na wanasiasa wengi ikabidi wajipendekeze na hilo kundi (ikiwemo kuunga mkono juhudi) ili waweze kupona au kuneemeka kisiasa au kiuchumi.

Kifo cha Magufuli kiliua ndoto nyingi za wanasiasa waliowekeza nguvu zao kwa kutegemea hilo kundi.

Kwa sasa sio ajabu kuona wanasiasa husika wakilikana hilo genge, kwa kuwa kuendelea kulikumbatia hilo genge ni sawa na kukumbatia jiko lenye moto na kudumbukia nalo kwenye mtaro wenye kutiririsha Petrol.
 
Kweli kabisa, wasukuma anzia akina Paul Bomani, sio watu wa makundi, ni watu humble sana, pamoja na yule nduli kujaribu kuwatumia kimaslahi yake, hakufanikiwa.

Nchi Ina kumbukumbu ya wanasiasa wasukuma ambao ni humble sana, Pius N' gwandu viongozi kama Jaji Nyalali, ni ukanda ambao tangu nchi imepata Uhuru, umetulia sana kisiasa, na wasikivu na wanapenda mambo mazuri.

Ni wachache tu, mfano Luhaga Mpina, Rais JPM ambaye hupitia mafaili ya afya ya Kila mteule wake, alitutangazia rasmi kwamba Mpina ana ugonjwa wa kichaa, na kwamba huwa wanakutana mirembe kwa matibabu. Na ninamshauri SSH, ampumzishe 2025 ili akapate matibabu
Jiwe hakuwa msukuma,weka rekodi sawa mkuu
 
Kwenye masuala ya kitaifa lugha ni Kiswahili na Kingereza tu. Hizo za kwenu za asili zitumieni wakata mnafanya matambiko yenu
Lugha zetu ni asili yetu,lazima tuzienzi,na ni muhimu unapotaka kufikisha ujumbe kwa kundi flani,sio kila mtanzania anajua kiswahili
Endelea kuabudu lugha yako ya mkoloni waheed,shubhamiti
 
Kwanza hata kuliita kundi la watu wenye nia zao za kisiasa "Sukuma Gang" ni kutukosea heshima Wasukuma.

Wasukuma wengi hatukubaliani na siasa za ukabila. Wengine hata huyo Magufuli hatukumkubali kabisa.

Sasa kuunganisha jina la kabila kubwa na wanasiasa wachache ni kutuchafua Wasukuma wote, ambao kati yetu kuna wengi hatukubaliani sio tu na siasa za hawa watu, bali pia na siasa za ukabila kwa ujumla.

Acheni kutumia jina la Sukuma kwenye siasa.

Hao watu watafutieni jina jingine.
Magufuli ni Mhutu, siyo Msukuma, katika kitu ambacho idara ya usalama wa Taifa wamefeli ni kuacha mtu ambaye siyo Mtanzania na mwenye file milembe kuwa Rais wa nchi.
 
Back
Top Bottom