Sukuma gang tunasema hii ni laana ya Magufuli kwa mbowe baada ya kushangilia kifo chake.

Duc in altum

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
1,781
Reaction score
3,591
DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
 
Magufuli hakuwa MTU mwema, alikuwa dhulumati na dhalimu. Bora tu alivyo twaliwa mapema.
 
Laana uwa inampata kila mtu anayefanya Jambo Fulani kwa kujua lakini anajitoa ufahamu!!
 
Wote hata Lisu wana laana na hilo li NGO lilishajifia siku kibao
 
Unaijua laana wewe na hutokeaje?Mtu awaye yote,akiendekeza ujingaujinga atasemwa tu.Alisemwa akiwa mzima sembuse alivyofukiwa!?
 
Naomba video ya Mbowe akishangilia kifo cha SHUJAA.

SUKUMA Gang is so insecured, nafikirI mlijiandaa kushika madaraka milele.

MUNGU FUNDI, Hii nchi si ya kikabila, awe makonde, Sandawe, Muha au Mnyakyusa sisi aweze kuongoza tunampa kura.

#Msilazimishe ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…