Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Chadema inakufa kwa sababu ya mboweChadema inakufa Kwa kujilaani yenyewe 🐼
Sawa ngoja tuoneHakuna laana wala karma
Magufuli hakuwa MTU mwema, alikuwa dhulumati na dhalimu. Bora tu alivyo twaliwa mapema.DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
Kwenye ukoo wenu wote waliokufa bila kufikisha 62 miaka ya magufuli ni madhalimu kuliko yeye!?Magufuli hakuwa MTU mwema, alikuwa dhulumati na dhalimu. Bora tu alivyo twaliwa mapema.
Wote hata Lisu wana laana na hilo li NGO lilishajifia siku kibaoDJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
Unaijua laana wewe na hutokeaje?Mtu awaye yote,akiendekeza ujingaujinga atasemwa tu.Alisemwa akiwa mzima sembuse alivyofukiwa!?DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
Naomba video ya Mbowe akishangilia kifo cha SHUJAA.DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
Mbowe atajuta laana ya MagufuliUkweli usiopingika
Magufuli ni mwasisi wa watu wasiojulikana. Magufuli alimtesa mke wake kwa kumbebesha michanga, Magufuli ni hayawani wa kizazi hokiKwenye ukoo wenu wote waliokufa bila kufikisha 62 miaka ya magufuli ni madhalimu kuliko yeye!?
Mbowe anaongoza msafaraWote walioshangilia kifo cha Magufuli wataanguka kwa aibu
Akijibu ni tag mkuuMagu yeye alikufa kwa laana ya nani?