Sukuma gang tunasema hii ni laana ya Magufuli kwa mbowe baada ya kushangilia kifo chake.

Ccm tu watutafutie mgombea urais wa kueleweka waachane na huyu bibi. Maana hakuna tena matumaini kupitia Chadema maana Dj akikomaa kutomwachia Lissu chadema inaenda kupoteza wanachawa wengi kuliko wakati mwingine wowote.
 
Marehemu anawezaje kulaani?
 
Mama yako na ndugu zako huwa wanakufa/watakufa kwa laana ya nani?
"Kifo ni kifo tu" alisikika Bibi ushungi. We umesema kifo cha Mbowe kisiasa(ambacho ni dhahiri) kimetokana na laana ya Magufuli. Ndipo nikakuliza kifo cha Magufuli(kisiasa na kimwili) kilisababishwa na laana ya nani?
 
"Kifo ni kifo tu" alisikika Bibi ushungi. We umesema kifo cha Mbowe kisiasa(ambacho ni dhahiri) kimetokana na laana ya Magufuli. Ndipo nikakuliza kifo cha Magufuli(kisiasa na kimwili) kilisababishwa na laana ya nani?
Na mimi nakuuliza vifo vya ndugu zako huwa vinatokana na laana ya nani!?
 
Its about time mumfanye awe mungu wenu kabisa, maana kumuabudu huyo magufuli wenu kumezidi🙌🙌
umechelewa kujua tushamfanya mda sana, kama wewe kuweka vimisamiat vya kinge kunavyo kufanya ujione mjanja
 
Ccm tu watutafutie mgombea urais wa kueleweka waachane na huyu bibi. Maana hakuna tena matumaini kupitia Chadema maana Dj akikomaa kutomwachia Lissu chadema inaenda kupoteza wanachawa wengi kuliko wakati mwingine wowote.
Watafanya la maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…