Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
- Thread starter
-
- #21
Ulimboka alipotekwa kipindi cha JK ulikuwa shimoni, vp mwangosi na dr. Mvungi !?Magufuli ni mwasisi wa watu wasiojulikana. Magufuli alimtesa mke wake kwa kumbebesha michanga, Magufuli ni hayawani wa kizazi hoki
Zaidi ya hao wataje wengine.Ulimboka alipotekwa kipindi cha JK ulikuwa shimoni, vp mwangosi na dr. Mvungi !?
Mama yako na ndugu zako huwa wanakufa/watakufa kwa laana ya nani?Magu yeye alikufa kwa laana ya nani?
kwahiyo mwanzilishi sio magufuli!?Zaidi ya hao wataje wengine.
Watanzania. Magu alileta msamiati "VYuMA VIMEKAZA"Magu yeye alikufa kwa laana ya nani?
mbowe ndio tabia yakeLaana uwa inampata kila mtu anayefanya Jambo Fulani kwa kujua lakini anajitoa ufahamu!!
NimemjibuAkijibu ni tag mkuu
Marehemu anawezaje kulaani?DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
"Kifo ni kifo tu" alisikika Bibi ushungi. We umesema kifo cha Mbowe kisiasa(ambacho ni dhahiri) kimetokana na laana ya Magufuli. Ndipo nikakuliza kifo cha Magufuli(kisiasa na kimwili) kilisababishwa na laana ya nani?Mama yako na ndugu zako huwa wanakufa/watakufa kwa laana ya nani?
Mtu anaye ishi anawezaje kulaaniMarehemu anawezaje kulaani?
Na mimi nakuuliza vifo vya ndugu zako huwa vinatokana na laana ya nani!?"Kifo ni kifo tu" alisikika Bibi ushungi. We umesema kifo cha Mbowe kisiasa(ambacho ni dhahiri) kimetokana na laana ya Magufuli. Ndipo nikakuliza kifo cha Magufuli(kisiasa na kimwili) kilisababishwa na laana ya nani?
"Watu wasiojulikana wame...."Watanzania. Magu alileta msamiati "VYuMA VIMEKAZA"
umechelewa kujua tushamfanya mda sana, kama wewe kuweka vimisamiat vya kinge kunavyo kufanya ujione mjanjaIts about time mumfanye awe mungu wenu kabisa, maana kumuabudu huyo magufuli wenu kumezidi🙌🙌
Wametamalaki"Watu wasiojulikana wame...."
Watafanya la maanaCcm tu watutafutie mgombea urais wa kueleweka waachane na huyu bibi. Maana hakuna tena matumaini kupitia Chadema maana Dj akikomaa kutomwachia Lissu chadema inaenda kupoteza wanachawa wengi kuliko wakati mwingine wowote.
Vipi Ally KibaoUlimboka alipotekwa kipindi cha JK ulikuwa shimoni, vp mwangosi na dr. Mvungi !?
wafuasi wa mbowe hawezi ona sababu ya asal ya aliyo lamba bosi waoVipi Ally Kibao
Jibu swali kama mtu mwenye uelew mzur usiwe kama waskuma.Na mimi nakuuliza vifo vya ndugu zako huwa vinatokana na laana ya nani!?