Suleiman Kova: Mtu anayekuwa katika msongo wa mawazo anaweza kufanya kama Askofu Gwajima, hajiamini na haamini wengine

Kwa hiyo unamaanisha aliwekewa sumu? Tuambie maana Inaelekea unajua mengi
Nnamaanisha wajinga ndio waliwao.

Huku anajidai anafufua wafu huku yeye anaiogopa microphone.

Kuhusu kujua "mengi" hujakosea.
 
kwa kweli nimepitwa na mengi duniani mojawapo hilo la kuwa kuna kanisa yesu aliasisi ..ni lipi hilo?
 
Gwaji hamna kitu nu usanii tu, kama kuzuriwa si angeogopa hata hela za posho ya vikao vya bunge ambapo mtu anaweza kupaka sumu badala ya kusubiri microphone. Umeshawahi sikia Gwajiboy ameomba abadilishiwe noti wakati anasaini posho.
kwa wamerudisha utaratibu wa kulipa mkononi ? nilidhani wanalipwa kupitia acc No za bank zao
 
Hawa bado wana ugomvi
 
Inabidi kamanda ieleweke kuwa watanzania bado wanakumbuka yaliyomkuta Kolimba baada ya kuhojiwa!! Ni kujitoa ufahamu kujifanya kuwa hakuna mazingira ya umafia kwenye mahojiano ya sampuli hiyo hapa bongo! Watu bado wanakumbuka kolimbalization technique!! Sasa kwa jasusi la mbinguni si rahisi kulifanyia kolimbalization!!
 
Nashauri Kover ahojiwe kwa nini hakutii amri ya GwajiKE ya kumkamata GwajiME?
 
Gwajima hushughuliki na Yesu kristu, yeye a nashughulika na Yesu Kristo. Jifunze kutofautisha mambo kwa maana zake
 
Hivi tuwe wakweli kwa nini watu wasio na msongo wa mawazo waogope kufanya mdahalo wa wazi na mtu mwenye usongo wa mawazo (kama kweli wanaamini askofu Gwajima ana msongo wa mawazo)! Nadhani Kover awaulize waliokuwa wanamhoji kama akili yake ilikuwa dull!! Achana na jasusi la mbinguni!! Kover mwenyewe hawezi kuwa na ubavu wa kupambana na Gwajima kwenye mdahalo wowote ule wa wazi!!
 

Umesema kweli! Huyu anayeamini ulinzi wa Mungu na kuwa Mungu atamwepusha, ni wa kuogopa kiti na mic? Kama angekuwa na ukinzi wa Mungu angeweza kuwaambia wabaya wake wameweka nini kwenye kiti ni mic na akavitumia bado na asidhurike!! Imani kwa Mungu haiambatani na hofu ya kudhuriwa!!

Gwajima ni cult leader, akina Kibwetere, Kony na wenzake!
 
Kifo cha kichawi kinafufulika na sio kifo cha sumu.
Tofautisha sumu na uchawi
Nnamaanisha wajinga ndio waliwao.

Huku anajidai anafufua wafu huku yeye anaiogopa microphone.

Kuhusu kujua "mengi" hujakosea.
 
Kova anamuogopa Gwajima.
Waliwahi kutana kwenye supermarket Kova akamkimbia Gwajima
 
Chembe chembe za uadilifu wakati wa UIGP, leo hii IGP ni sehemu ya uhalifu wa unyanyasaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…