Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Ujinga wangu ni upi? Tangu lini Wasifu wa Marehemu ukafichwa? Kwa Waislam hata anayemdai Marehemu anapaswa kujitokeza hadharani kabla ya mazishi na kuanika madeni yote hadharaniErythrocyte ni Mjinga fulani Hivi
Methew alikuwa Beki namba 5 pale Yanga na akina Godwin Aswile lakini baadae akahamia Simba na ilikuwa poa tu
Methew alikuwa kijana wa Membe na ile Chadema Kusini wote walikuwa watiifu kwa Membe na hata Wenje, Lema na Zitto ni vijana wa Membe
Methew kuwa CCM au Chadema hakuleti tofauti yoyote kwa sababu Master ni yule yule 😀😀
Ujinga wako ni kudhani CCM na Chadema ni Vyama adui 😂😂Ujinga wangu ni upi? Tangu lini Wasifu wa Marehemu ukafichwa? Kwa Waislam hata anayemdai Marehemu anapaswa kujitokeza hadharani kabla ya mazishi na kuanika madeni yote hadharani
Kitendo cha kukosa uaminifu...Usaliti ni nini?
Hakujawahi kuwa na urafiki kati ya Watu wema na ShetaniUjinga wako ni kudhani CCM na Chadema ni Vyama adui 😂😂
Yesu na Shetani waliketi mlimani wakazungumza sembuse CCM na mashetani ya Ufipa 😁😁Hakujawahi kuwa na urafiki kati ya Watu wema na Shetani
Hilo la Mbowe ni porojo tuKitendo cha kukosa uaminifu...
Hii tafsiri tukiihusisha na Mbowe inafana sana...
Hajawahi kukihama chama chake ila ndio anaongoza kuwasaliti wanachama wake...
Jamaa si mwaminifu kabisa...
Anaweza kumtukana Samia leo, kesho akiingiziwa senti kidogo msimamo wake unabadilika.
Porojo ni nini?Hilo la Mbowe ni porojo tu
Mungu anawapenda zaidiKwanini wanaoisaliti chadema Huwa hawadumu😕
Mungu ampe amani kiungo fundi wa mpira tukuyu stars,yanga Africans!Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.
Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.
Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali
Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.
Pia soma
R.I.P Suleiman Methew Luwongo ...Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.
Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.
Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali
Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.
Pia soma
Nje ya topic mkuuJe huyu hajauawa na Mbowe?
Marcos Sina Taarifa zake sijui kama bado yuko ChademaNje ya topic mkuu
Naomba kujua kujua whereabouts za rafiki yangu marcossy albanle (PhD)
Alikuwa kada huko chadema, tumepotezana simpati Kwenye simu Wala mitandaoni