TANZIA Suleiman Methew afariki Dunia

TANZIA Suleiman Methew afariki Dunia

Erythrocyte ni Mjinga fulani Hivi

Methew alikuwa Beki namba 5 pale Yanga na akina Godwin Aswile lakini baadae akahamia Simba na ilikuwa poa tu

Methew alikuwa kijana wa Membe na ile Chadema Kusini wote walikuwa watiifu kwa Membe na hata Wenje, Lema na Zitto ni vijana wa Membe

Methew kuwa CCM au Chadema hakuleti tofauti yoyote kwa sababu Master ni yule yule 😀😀
Ujinga wangu ni upi? Tangu lini Wasifu wa Marehemu ukafichwa? Kwa Waislam hata anayemdai Marehemu anapaswa kujitokeza hadharani kabla ya mazishi na kuanika madeni yote hadharani
 
Usaliti ni nini?
Kitendo cha kukosa uaminifu...

Hii tafsiri tukiihusisha na Mbowe inafana sana...

Hajawahi kukihama chama chake ila ndio anaongoza kuwasaliti wanachama wake...

Jamaa si mwaminifu kabisa...

Anaweza kumtukana Samia leo, kesho akiingiziwa senti kidogo msimamo wake unabadilika.
 
Kitendo cha kukosa uaminifu...

Hii tafsiri tukiihusisha na Mbowe inafana sana...

Hajawahi kukihama chama chake ila ndio anaongoza kuwasaliti wanachama wake...

Jamaa si mwaminifu kabisa...

Anaweza kumtukana Samia leo, kesho akiingiziwa senti kidogo msimamo wake unabadilika.
Hilo la Mbowe ni porojo tu
 
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.

Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.

Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali

Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.

APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.

Pia soma
Mungu ampe amani kiungo fundi wa mpira tukuyu stars,yanga Africans!
 
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.

Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.

Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali

Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.

APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.

Pia soma
R.I.P Suleiman Methew Luwongo ...
 
Back
Top Bottom