Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Si kweli alioa bint Ami yake na kuishi naye miaka mitatu kabla ya kumuwacha, inasemekana alikuwa na mke mwingine na haijulikani kama ana mtoto au hana siri itajulikana siku hizi tatu.Nmesoma sehemu kwamba hakuwa na mke, watoto wala ndugu, hapo inakua vipi, anyway RIP.
Inna lillah wainna ilaihyi rajiun.