Sultan Qaboos wa Oman afariki dunia. Sultan Haitham Bin Tariq Al Said achaguliwa kuwa mrithi wake

Sultan Qaboos wa Oman afariki dunia. Sultan Haitham Bin Tariq Al Said achaguliwa kuwa mrithi wake

January 11, 2020
Muscat, Oman

Mazishi ya Maulana Mtukufu Sultan Qaboos bin Said



Source: KTV TZ online
 
She is STUPID!Anajaribu kufanya kila comment kuhusu nchi za kiarabu kuwa about Ukristo Na uislamu .Kama chizi vile,ignore her anyway


Sent using Jamii Forums mobile app

Ingawa mimi nipo Neutral kutoingilia hoja za upande wowote ambazo haziniletei maslahi yoyote! Lakini Huyo FeizaFox hiyo post aliyomention 'Jusus' nimegundua kuwa amemquote kumjibu Mtu.

So, tunasema kuna Mtu kaanza, Faiza akamaliza! Kimsingi wote Faiza na aliyeanza walaumiwe bila ya upendeleo wowote.

Lakini tukianza kumuattack Faiza pekeyake itakuwa hatufanyi fair.
 
Kuwepo OPEC ni kutaka mwenyewe.

Biggest oil producers in the world, USA, Russia, Canada, China, Brazil, Mexico hawako OPEC.

Oman wana mafuta kuliko Libya!

Halafu, kama nilivyosema, ni kama wa Zanzibar, wakimwagwa Dar es Salaam hawajai. Lakini bado tegemezi.

Mtawala kakaa miaka 49, anakufa akitibiwa Ujerumani na Ubelgiji, hana madaktari, hana vifaa tiba vya mionzi ya kuchoma chembehai za saratani. Shameless, heartless tyrants. To hell with Sultani Kwabuzi.

Hebu Google kuhusu Oman kijana ili usiendelee kushusha heshima yako bado tunakuamini kuwa wewe ni katika waelewa hapa JF.
 
mtoa mada bagamoyo historia nzuri sana ila haijaeleza baada ya kupinduliwa bila kumwaga damu baba yake aliishia wapi au yupo wapi,au kwa maana nyingine historia ya baba yake iliishia wapi baada ya kupinduliwa

Ukweli ni kwamba Historia ya Oman ni sawa na ya Korea ya Kaskazini na Kusini.

Historia za Nchi hizo 3 zinafichwa na wala haziruhusiwi kuandikwa popote pale ndiyomana hazitoki nje ya Nchi isipokuwa zinabaki Ndani ya Vichwa vya Raia wao wanaozishuhidia tu.

Unajuwa sababu ni nini?

Raia yoyote wa Nchi hizo akitoa Historia au Jambo baya lolote la Nchi hizo basi anahukumia kifo kwa uhaini (Treason).

Hivi Unadhani Mapinduzi aliyoyafanya Qaboos dhidi ya babayake hayakumwaga damu?

Ukweli ambao hauruhusiwi kuzungumzwa na Raia yeyote wa Oman ni kuhusu Mapinduzi haya.

Mimi ni Mzanzibar na Nina Familia ambayo ni Raia wa Oman na Wanaishi Mascut Oman. Miongoni mwa wanayoyajua lakini hayawezi kuandikwa popote ni kuwa!

Qaboos baada ya kusoma Oman ni Waingereza ndiyo waliomuwezesha kumpindua babayake ili kuitoa Nchi katika Siasa za Mashariki (Communism) za Russia na China na kuingiza Oman katika siasa za Magharibi (Capitalism).

Bila ya Waingereza Qaboos hakuwa na uwezo wa Kumpindua babayake.

Na katika Harakati za Mapinduzi hayo Babayake Qaboos alijeruhiwa kwa kupigwa Risasi ya Mguu na Kukimbilia Uengereza ambako alitibiwa na Kufa kwa Jeraha.

Baada ya Kifo chake Historia ya Mapinduzi hayo ikawa Banned, Na kumbukumbu zote kuhusu Babayeke, Qaboos akazifuta na Raia wakawa forced kusahau Legacy ya Babayake Qaboos.

Hadi sasa hakuna historia ya Babayeke Qaboos iliyochapishwa.

Ni huyu Qaboos Mtoto ndiye aliyezuiwa kutajwa babayake na kuhakikisha anasahaulika kama aliishi Duniani.

Kwanini Hajaowa?
Baada ya Mapinduzi kabla ya Babayake Kufa alimtumia ujumbe Mwanawe na kumwambia "Kama Ulivyonipindua Mimi, na Wewe Atatokea Mtoto wako Akupindue".

Hapo ndipo akayachukua hayo Maneno kwa uzito na Kuachana na Habari za Kuowa au Kuzaa Mtoto wa Kwenye Ndoa kwa kuhofia kuja kupinduliwa na Mtoto wake.

Ndiyo hapo akawa anaishi kwa Kuletewa Wanawake anaowahitaji ndani ya Palace yake anagonga wanaishi kwa kipindi anachotaka yeye mwenyewe Qaboos then wanalipwa na kuondoka.

But nisawa na kutekwa na Wasiojuilikana yaani ukiingia kwenye Qasri ya Qaboos ukitoka katu hitosema ulichofanywa.

In Short Jamaa inawezekana anaowatoto ambao kawazaa illegally kwa Mila za Kiislam na hawahesabiki kuwa ni Wanae.

Hata Hivyo ukweli usiofichika ni kwamba Kafanya Mageuzi Makubwa ya Kiuchumi ndani ya Oman.
 
Kwanini Hajaowa?
Baada ya Mapinduzi kabla ya Babayake Kufa alimtumia ujumbe Mwanawe na kumwambia "Kama Ulivyonipindua Mimi, na Wewe Atatokea Mtoto wako Akupindue".

Hapo ndipo akayachukua hayo Maneno kwa uzito na Kuachana na Habari za Kuowa au Kuzaa Mtoto wa Kwenye Ndoa kwa kuhofia kuja kupinduliwa na Mtoto
Screenshot_20200111-172006.jpg


Hata Hivyo ukweli usiofichika ni kwamba Kafanya Mageuzi Makubwa ya Kiuchumi ndani ya Oman.
Screenshot_20200111-172006.jpg
 
You dont care and you are here with your hateful diarhea.

Talking about slaves? Just don't forget the first slave to Americas was called Jesus.

Your ignorance of history does not erase the truth that once upon time, your so called "hinterland" was called Sultanate of Zinjbar and Oman.

Erase that if you can.
Pumzika mpendwa, hiyo ni tindikali. Ww ni mwenye busala jadili na wenye akili. Ukiendelea nae atavunja eshima yako
 
Ingawa mimi nipo Neutral kutoingilia hoja za upande wowote ambazo haziniletei maslahi yoyote! Lakini Huyo FeizaFox hiyo post aliyomention 'Jusus' nimegundua kuwa amemquote kumjibu Mtu.

So, tunasema kuna Mtu kaanza, Faiza akamaliza! Kimsingi wote Faiza na aliyeanza walaumiwe bila ya upendeleo wowote.

Lakini tukianza kumuattack Faiza pekeyake itakuwa hatufanyi fair.

Nafikiri watu hawakumuelewa vizuri au mimi ndio nimejichanganya hapa
Meli ya watumwa iitwayo Jesus of Lubéck ndio ilibeba watumwa wa mwanzoni kabisa
Sasa sijui kama ndio hii au



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hebu Google kuhusu Oman kijana ili usiendelee kushusha heshima yako bado tunakuamini kuwa wewe ni katika waelewa hapa JF.

Yaani jamaa haoni waOman walioondoka miaka ya 70 mpaka leo hawajarudi kama hakuna Neema naona wasingekaa huko tena
Halafu mkataba wao wa uchimbaji wa mafuta wa miaka 50 imeisha na [emoji817]% ni ya serikali ya Oman kwa sasa
Qaboos kajenga haswa na kuibadilisha sana
Nilienda mwaka 1987 na nikarudi tena 2014 mabadiliko makubwa sana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom