Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Sultan mpya Haitham bin Tariq si shoga.Na yeye ni shoga kama Huyo aliyekufa
Na yeye ni shoga kama Huyo aliyekufa
She is STUPID!Anajaribu kufanya kila comment kuhusu nchi za kiarabu kuwa about Ukristo Na uislamu .Kama chizi vile,ignore her anyway
Sent using Jamii Forums mobile app
Alhamdulillah, Leo sie Wakazi wa Darusalaam tumepata bahati ya kumswalia Sultan Qaboos ( Swalat janaiz) katika Msikiti wa Ibadhi baada ya Swalat dhuhri
Allah ampe kauli thaabet
Kuwepo OPEC ni kutaka mwenyewe.
Biggest oil producers in the world, USA, Russia, Canada, China, Brazil, Mexico hawako OPEC.
Oman wana mafuta kuliko Libya!
Halafu, kama nilivyosema, ni kama wa Zanzibar, wakimwagwa Dar es Salaam hawajai. Lakini bado tegemezi.
Mtawala kakaa miaka 49, anakufa akitibiwa Ujerumani na Ubelgiji, hana madaktari, hana vifaa tiba vya mionzi ya kuchoma chembehai za saratani. Shameless, heartless tyrants. To hell with Sultani Kwabuzi.
mtoa mada bagamoyo historia nzuri sana ila haijaeleza baada ya kupinduliwa bila kumwaga damu baba yake aliishia wapi au yupo wapi,au kwa maana nyingine historia ya baba yake iliishia wapi baada ya kupinduliwa
Sasa Kama kakamuliwa utumbo nini kina kukera na kukuchekesha? Mbona umekuwa Kama mwanamke wa bar
Kwanini Hajaowa?
Baada ya Mapinduzi kabla ya Babayake Kufa alimtumia ujumbe Mwanawe na kumwambia "Kama Ulivyonipindua Mimi, na Wewe Atatokea Mtoto wako Akupindue".
Hapo ndipo akayachukua hayo Maneno kwa uzito na Kuachana na Habari za Kuowa au Kuzaa Mtoto wa Kwenye Ndoa kwa kuhofia kuja kupinduliwa na Mtoto![]()
Hata Hivyo ukweli usiofichika ni kwamba Kafanya Mageuzi Makubwa ya Kiuchumi ndani ya Oman.
Pumzika mpendwa, hiyo ni tindikali. Ww ni mwenye busala jadili na wenye akili. Ukiendelea nae atavunja eshima yakoYou dont care and you are here with your hateful diarhea.
Talking about slaves? Just don't forget the first slave to Americas was called Jesus.
Your ignorance of history does not erase the truth that once upon time, your so called "hinterland" was called Sultanate of Zinjbar and Oman.
Erase that if you can.
Ingawa mimi nipo Neutral kutoingilia hoja za upande wowote ambazo haziniletei maslahi yoyote! Lakini Huyo FeizaFox hiyo post aliyomention 'Jusus' nimegundua kuwa amemquote kumjibu Mtu.
So, tunasema kuna Mtu kaanza, Faiza akamaliza! Kimsingi wote Faiza na aliyeanza walaumiwe bila ya upendeleo wowote.
Lakini tukianza kumuattack Faiza pekeyake itakuwa hatufanyi fair.
Hebu Google kuhusu Oman kijana ili usiendelee kushusha heshima yako bado tunakuamini kuwa wewe ni katika waelewa hapa JF.
Jibu swali wewe kitukuu cha muddySasa Kama kakamuliwa utumbo nini kina kukera na kukuchekesha? Mbona umekuwa Kama mwanamke wa bar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hujanijibu wewe Mfia DiniMola amrehemu nawe akusameh Dunian na Kesho Akhera,