Sultan Tamba na Mussa Banzi Chukueni maua yenu japo bado tunawadai muendelezo wa baadhi ya filamu. Kanumba alichangia kuua soko la filamu

Kwa nini mtitu hapendi spotlight, amefanya makubwa lakini naona hataki kuwa mbele ya camera kabisa na sasa yuko wapi
Si kwamba hapendi spotlight bali alikuwa hataki kujichanganya na wasanii, kifupi anawadharau. Kwa sasa yupo na mishe zingine maana amepigwa sana vita na Wahindi (hasa Steps), walifikia hatua ya kumletea TRA kwa kisingizio kuwa anakwepa kodi, akapigwa hela nyingi sana (ili kufirisiwa), kilichomsaidia ni kwamba alikuwa pia amewekeza nchini Nigeria...

Ila ukweli Mtitu ana mchango mkubwa sana kwenye film industry ya Tanzania, na anaijua vizuri industry, pengine bila yeye baadhi ya wasanii kama Kanumba wasingefika hapo...
 
Yeah anaonekana ni mtu makini na shule ipo. Nahisi ni creative genius na pia introvert hivyo inakuwa ngumu kufit kwenye entertainment industry haswa ya Tanzania ambayo professionalism ni ndogo sana.

Uzuri kwenye entertainment na media nimechangamana nayo sana na kiukweli, mtu mwenye akili na kujielewa, ni ngumu kupata space haswa kwa nyakati. Nimeona comment yako inakuonesha kama mtu uliye jikoni kwenye movies, natumai siku moja mambo yatabadilika
 
Nimeona comment yako inakuonesha kama mtu uliye jikoni kwenye movies, natumai siku moja mambo yatabadilika

Natumaini siku moja mambo yatabadilika ila ni pale tu wasanii wakiacha kuchanganya kazi na siasa, maana huku ndo kulikojaa machawa promax na makuwadi wa kuwakuwadia wakubwa totoz.

Dah, ngoja niishie hapa...
 
Natumaini siku moja mambo yatabadilika ila ni pale tu wasanii wakiacha kuchanganya kazi na siasa, maana huku ndo kulikojaa machawa promax na makuwadi wa kuwakuwadia wakubwa totoz.

Dah, ngoja niishie hapa...

Entertainment industry yote imeoza kwenye mambo hayo mkuu na hayaishi. Hata Nigeria yapo ila tu kwenye kazi, umakini usiathirike
 
Jeff na Blandina kuna baadhi ya scene walipuyanga
 
Umechanganya madesa mkuu. Cindy sio mikala. Mikala ni huyu hapa japo wote wameshafariki.
 
Yes filamu nyingi za Sultan Tamba zilikuwa filamu zakutisha tisha na ndicho kitu nilichokiandika mwanzoni kabisa mwa uzi.
 
Vipi mkuu mbona makasiliko ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…