Suluhisho la Kudumu la Mgogoro wa Maziwa Makuu (Rwanda, Congo et al) ni kutenga na kupata nchi ya hao waliopo hapo sasa (North Kivu)

Ardhi ya Congo ni kwa ajili ya wakongo. Watutsi warudi kwao rwanda.
 
Population ya Rwanda ni 14+ millions. Kati ya hao wahutu ni 85% ya wananchi wote na watutsi ni 14% na twa ni 1% ya population nzima. Maana yake wahutu wako around 12+ millions na watutsi wako around 2+ millions lakini serikalini kuanzia ikulu, jeshini, wizarani, bungeni hadi polisi wamejaa watutsi tu. Siku wahutu wakishika madaraka watutsi hawatakubali kutawaliwa na ndio utakuwa mwanzo wa yanayoendelea Congo. Tanzania inatakiwa kufunga kabisa mipaka yote inayopakana na Rwanda ili siku wakishikana mashati kwa ukabila wao washikane huko huko nchi mwao.
 
Hauna Hoja!
Wewe ni muasi
 
Kwa nini basi hiyo North Kivu isiunganishwe kwa Rwanda?
 
Ardhi ya Congo ni kwa ajili ya wakongo. Watutsi warudi kwao rwanda.
Kwa kusema kwako hivyo ni kwamba hakuna Watusi ambao ni Wacongo ? Na fikra kama zako ndio zilipelekea mauaji ya Kimbari sehemu tofauti kuanzia Rwanda, Bosnia mpaka Hitler na Jews na aina tofauti tofauti ya mawazo yasiyo na tija...
 
Umeanzia Story katikati ni kwamba Wakoloni ndio walisababisha hayo ya divide and rule (wakati wanaondoka wakawapa hao wengi madaraka) hao wengi wakawa hawana busara ya kukandamiza wachache (hadi kupelekea wakimbizi wakiwemo kina Kagame kuelekea mpaka Uganda) Okay hio kama haitoshi hawa wengi wakaamua kutaka kuangamiza hawa wachache wafutike kwenye Sura ya Dunia; Sasa watu kama hao hata wewe ungekuwa ndio hao wachache utafurahia wakiwa ndio watawala wako ?

Fuatilia kitu kinaitwa;' Tyranny of the majority refers to a situation in majority rule where the preferences and interests of the majority may dominate the political landscape, potentially sidelining or disregarding the rights and needs of minority groups.

Nchi kama hizi ambazo hazijapevuka hata demokrasia kwao haiweze kufanya kazi zaidi ya kuleta shida zaidi...
Siku wahutu wakishika madaraka watutsi hawatakubali kutawaliwa na ndio utakuwa mwanzo wa yanayoendelea Congo.
Hivi unajua since uhuru wao wahutu wameshika madaraka kwa muda gani na waliwafanya nini hao wachache ? Hili suala sio la nani ashike madaraka bali inabidi wajiangalia na kuishi pamoja vizuri sababu wote ni taifa moja na kabila moja
Tanzania inatakiwa kufunga kabisa mipaka yote inayopakana na Rwanda ili siku wakishikana mashati kwa ukabila wao washikane huko huko nchi mwao.
Kwahio unaona zile siku 100 wakati watu wanachinjana ilikuwa sawa kwa sisi majirani, Afrika na dunia kwa ujumla kukaa na kuangalia tu kwamba ni matatizo yao na sio yetu ?
 
wenzio wanaiba tani za madini we umekalia kupiga patu ya madini??
Kwahio unadhani katika hilo shamba la bibi Rwanda na Uganda pekee ndio wanaiba madini ? Mataifa kibao wanafanya wizi ikiwemo ya nje hata wewe madini yako nchini mwako yanakufaidisha vipi wewe ? (In that token hata wewe unaibiwa kwa mikataba mibovu na walamba asali) kwahio issue kama ni wizi wala hatuhitaji kwenda Congo angalia nchini mwako.
 
Rwanda na Uganda ndo exit
Nchi vibaraka
 
Rwanda na Uganda ndo exit
Nchi vibaraka
Kwahio hizo nchi zifutwe kwenye Ramani ya Dunia / Afrika au mwenye hayo madini ayatunze ?

Nimekuuliza wewe madini yako hayaibiwi / au yamekunufaisha vipi ? Sababu hapa kuna kitu ambacho ni kikubwa kuliko hayo madini (nacho ni maisha na usalama wa hao waliopo hizo sehemu kubakia kuwa hatarini na kuishi maisha kama watoto yatima) wakati nchi yao ni ya rehema ila wamekuwa kama Jehanamu...
 
we jamaa kama mwehu!
Unavofikiria na kudadavua mambo ni kama akili hauna.

Kichwa kama pambo!
Nb: Tafuta mtu mwenye akili malue lue kama ww ndo mjadili
 
we jamaa kama mwehu!
Unavofikiria na kudadavua mambo ni kama akili hauna.

Kichwa kama pambo!
Nb: Tafuta mtu mwenye akili malue lue kama ww ndo mjadili
Hivi aliyekuita kwenye huu mjadala ni nani ? Yaani kabla ya wewe kuja kulikuwa hakuna mjadala ? Ukisikia Vioja ndio hivyo unavyoleta na kwa ufupi havina tija yoyote kwenye mjadala wowote zaidi ya kuongezea idadi ya post (wastage)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…