Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nimewaza hapa na kujiuliza , je, ningekuwa kiongozi ningetatua vipi kadhia za Bandari ya Dar es Salaam na Bandari zingine kwa manufaa ya taifa?
Suluhisho nambari moja ni kuunda wizara maalumu itakayodeal na masuala ya Bandari tu.
Bandari ya Dar es Salaam pekee inaingiza fedha nyingi zaidi ya Wizara kadhaa. Jambo la maana ndilo la kulitilia u serious hiyo ndio akili.
Kuna wizara hazina hata faida kwa taifa hili. Ikiwezekana zivunjwe na nguvu ipelekwe Bandarini huko pesa ikusanywe na huduma bora zitolewe nchi isonge mbele.
Suluhisho nambari moja ni kuunda wizara maalumu itakayodeal na masuala ya Bandari tu.
Bandari ya Dar es Salaam pekee inaingiza fedha nyingi zaidi ya Wizara kadhaa. Jambo la maana ndilo la kulitilia u serious hiyo ndio akili.
Kuna wizara hazina hata faida kwa taifa hili. Ikiwezekana zivunjwe na nguvu ipelekwe Bandarini huko pesa ikusanywe na huduma bora zitolewe nchi isonge mbele.