Suluhisho la Mfululuzo wa Matatizo ya Uwanja Wa Benjamin Mkapa: Ubinafsishwe kwa Sekta Binafsi

Suluhisho la Mfululuzo wa Matatizo ya Uwanja Wa Benjamin Mkapa: Ubinafsishwe kwa Sekta Binafsi

Ni miaka inakaribia 20 toka Uwanja wa Taifa maarufu kama Benjamin Mkapa Stadium, au Kwa Mkapa au Lupaso uzinduliwe, tumeshuhudia mfululizo wa matatizo mengi hususan makubwa kama yafuatayo;

1. Kuvunjwa kwa viti vya kukalia kutoka kwenye majukwa ya moja ya timu kubwa

2. Kuvunjika kwa milango na masinki ya vyoo kwenye sehemu za kujihifadhi

3. Kuchakaa kwa pitch ya kuchezea mpira kutokana na ukosefu wa maji

4. Watazamaji kuvunja geti na kuingia bila utaratibu

6. Kukatika kwa umeme wakati wa mechi za kimataifa ikiwa ni ni pamoja na tukio la kwenye mechi ya jana kati ya Yanga na Rivers ya Nigeria

Tukubaliane tu kuwa Waafrika hasa Watanzania hatujui thamani ya raslimali (sense of value) tuliyonayo ndiyo maana tunaharibu kwa makusudi au kwa ujinga tu (bad mindset)

Serikali duniani kote hasina ufanisi kwenye menejimenti ya taasisi kama hizi.

Nashauri Serikali IBINAFSISHE usimamizi wa uwanja huu kwa kupitia zabuni ya wazi. Serikali ibakie kukusanya maduhuri yake na kodi za kisheria.

Nawasilisha
View attachment 2605860
Hapo CCM au viongozi wake watauchukua, hata wakisema ni mwekezaji toka nje utakuwa uongo ni wao.
 
Ni miaka inakaribia 20 toka Uwanja wa Taifa maarufu kama Benjamin Mkapa Stadium, au Kwa Mkapa au Lupaso uzinduliwe, tumeshuhudia mfululizo wa matatizo mengi hususan makubwa kama yafuatayo;

1. Kuvunjwa kwa viti vya kukalia kutoka kwenye majukwa ya moja ya timu kubwa

2. Kuvunjika kwa milango na masinki ya vyoo kwenye sehemu za kujihifadhi

3. Kuchakaa kwa pitch ya kuchezea mpira kutokana na ukosefu wa maji

4. Watazamaji kuvunja geti na kuingia bila utaratibu

6. Kukatika kwa umeme wakati wa mechi za kimataifa ikiwa ni ni pamoja na tukio la kwenye mechi ya jana kati ya Yanga na Rivers ya Nigeria

Tukubaliane tu kuwa Waafrika hasa Watanzania hatujui thamani ya raslimali (sense of value) tuliyonayo ndiyo maana tunaharibu kwa makusudi au kwa ujinga tu (bad mindset)

Serikali duniani kote hasina ufanisi kwenye menejimenti ya taasisi kama hizi.

Nashauri Serikali IBINAFSISHE usimamizi wa uwanja huu kwa kupitia zabuni ya wazi. Serikali ibakie kukusanya maduhuri yake na kodi za kisheria.

Nawasilisha
View attachment 2605860
Kila kukiwa na mchezo, haiwezekani kuweka Askari kuhakikisha hakufanyiki uharibifu vyooni, mlangoni na sehemu wanaokaa watazamaji? Lingewekwa fungu kulinda hizi Mali, hasa kama washabiki hawana busara.
Hali kadhalika kuhudumia sehemu ya uwanja wanapochezea au suala la umeme/maji. Ni mjinga tu asiyejua jinsi ya kuendesha biashara, ndio ataacha chanzo kikubwa cha kipato chake kiathirike ilhali anajua mchezo mmoja tu unaingiza milioni ya pesa. Anashindwa vipi kuweka asilimia kadhaa kuwekeza katika umeme na maji ya uhakika?
 
Kila kukiwa na mchezo, haiwezekani kuweka Askari kuhakikisha hakufanyiki uharibifu vyooni, mlangoni na sehemu wanaokaa watazamaji? Lingewekwa fungu kulinda hizi Mali, hasa kama washabiki hawana busara.
Hali kadhalika kuhudumia sehemu ya uwanja wanapochezea au suala la umeme/maji. Ni mjinga tu asiyejua jinsi ya kuendesha biashara, ndio ataacha chanzo kikubwa cha kipato chake kiathirike ilhali anajua mchezo mmoja tu unaingiza milioni ya pesa. Anashindwa vipi kuweka asilimia kadhaa kuwekeza katika umeme na maji ya uhakika?
Wameacha waendeshe kienyeji enyeji ili wapate mianya ya kupiga hela
 
Back
Top Bottom