Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Hahahahahahaaa.. inhiinhiinhiiiiiiiiii... aisee mkuu BAK you made my day.... wanasuka nini bhana? hahahahahahaaaa

Nashukuru mkuu kutukumbusha juu ya USAFI, USAFI wa mwili na kinywa specifiacally. Kwa wale wanaokunywa pia juu ya kuwa na KIASI. sigara umemaliza yote mkuu watu tu wafunguke waone hatari ilio mbele yao.

Nikiwa kwa mkoloni mmoja hivi, akaja mtaalamu wa kikenya kwa training, ni mvutaji sana wa sigara tukawa tumezoeana kiasi.. nikamuuliza tu ''you seem to enjoy smoking very much, are you not worried of your health may be?'' ...... ''Wewe wachanganga muneno yako, nimekuwanga navuta hii maneno kwa thirty three years now? First how old are you?'' khaaaa!!! Japo ukimuangalia unaona alivyodhoofu na kila saa anavyokohoa kohoa lakini bado anajivunia uzoefu kwa kuwa ameona yupo kawaida.... so kuna wengine mkuu kwa kuwa bado hawajapata madhara makubwa bado wataona you aint making sense on smoking.. lakini ni hatarii hii kitu.

Pia hii kula kula hovyo na kunenepeana hovyo ni chngamoto sana... nina jamaa yangu mmoja alikua mnene kuliko Komba wa ToT at mid 20's... tumepambana nae lakini wapi... mwaka jana kaenda club mwisho wa mwaka (Arusha uko) kacheza cheza mziki hapa na pale hali imembadilikia ghafla mara presha, tukampoteza jamaa yetu hivi hivi masikini, very painful.. (Mungu azidi kumrehemu huko aliko).

Tuamkeni wakuu!!!

Mie naomba nisisitizie kula vizuri, kufanya mazoezi, usafi wa mwanaume na kujiepusha na uvutaji sigara na ulevi wa kupindukia. Kama walivyozungumzia wachangiaji wengine kula vizuri na mazoezi ni muhimu sana katika kuboresha tendo la ndoa. Usafi wa mwanaume nao ni muhimu sana sio unaacha vuzi limekaa miaka chungu nzima hata kuweza kulisuka rasta. Kuoga na usafi wa kinywa ni mgogoro, hivi havifanywi mpaka siku ya sikukuu. Ulevi wa kupindukia na uvutaji wa sigara ni adui mkubwa wa nguvu za kiume na wanaume wengi sijui kama wanalijua hili na kwa kutaka waonekane na wao ni wa MUJINI huvuta sigara pakiti hata moja kwa siku au zaidi na kilevi cha kutosha bila kujua hii life style inawapunguzia kwa kiasi kikubwa na kasi ya kutisha nguvu zao za kiume.
 
Ni kweli kabisa mkuu Tized na Sibonike,mwanamke anahusika sana katika kumweka sawa mwanaume,wanawake wengi ni waoga kuwaelekeza wanaume namna nzuri ya kufanya sex sababu wanaogopa wasionekane ni wahuni,hushindwa hata kufunguka kwa mume wake anapenda afanyiwe nini ili afurahi,hukuta mwanaume anastruggle mwenyewe tu yeye yuko kama gogo tu hapa nadhani ile point ya Watu 8 kukosekana lugha ya mawasiliano ya kimapenzi inahusika sana.

Nadhani tukubali tu hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu,elimu kwa wote wawili ni muhimu,mwanaume anapofundishwa akubali tu na asijiskie vibaya na wala asimuone mwanamke huyo kama muhuni,vile vile mwanamke naye akubali kufundishwa wala asimfikirie vibaya mwanaume huyo na pia asione aibu kufunguka namna gani anapenda iwe ili naye aridhike,na inapotokea anakuwa hawezi swala la kuchukuliana madhaifu linahusika huku akiendelea kumtia moyo kwa upendo kwamba anaweza mdogo mdogo ataweza tu.

Watu wanaingia na elimu ya mtaani ambayo sio rasmi na mwisho wa siku ndio hayo yanayotokea watu ni wazima wa afya lakini kwa kuwa wameweka standard ambazo sio rasmi unakuta kidume kinaingia kwenye game na matarajio kibao kumbe kila mtu ana mwili wake na level ya satisfication kwa kila mtu ni tofauti (though kuna minimum standard) hivyo inatakiwa ni namna tu ya performance ili kuleta tija
 
Bak umechangia vyema. Kumbuka kua sio hilo la kusukwa rasta linahitaji kuondolewa. Kuna wanaume wanadhani kua wanaweza kurudia socks na vest mara mbili au tatu. Kwa uelewa wao mfupi wanabadili boxer tu. Naomba ieleweke kua socks, vest na boxer hubadilishwa kila unapooga kama vile wanawake wafanyanyo. Biashara ya kuvaa vest mpaka haijulikani ilikua rangi gani muache. Inam put-off sana mwenzio kusema kweli. Kama wako humu naomba muache hako katabia. Taulo pia ukitumia asubuhi na jioni, basi, chukua linguine, maana maji maji yale hufanya litoe harufu. Unaona raha gani unamungiza mwanamke kwako kuna harufu za uvundo wa socks na taulo...??? hebu achene hizo wakaka. Samahani kama nitakua nimewakwaza lakini tuko hapa kufundishana maadili ya unyumba ikiwa ni pamoja na usafi>
Mie naomba nisisitizie kula vizuri, kufanya mazoezi, usafi wa mwanaume na kujiepusha na uvutaji sigara na ulevi wa kupindukia. Kama walivyozungumzia wachangiaji wengine kula vizuri na mazoezi ni muhimu sana katika kuboresha tendo la ndoa. Usafi wa mwanaume nao ni muhimu sana sio unaacha vuzi limekaa miaka chungu nzima hata kuweza kulisuka rasta. Kuoga na usafi wa kinywa ni mgogoro, hivi havifanywi mpaka siku ya sikukuu. Ulevi wa kupindukia na uvutaji wa sigara ni adui mkubwa wa nguvu za kiume na wanaume wengi sijui kama wanalijua hili na kwa kutaka waonekane na wao ni wa MUJINI huvuta sigara pakiti hata moja kwa siku au zaidi na kilevi cha kutosha bila kujua hii life style inawapunguzia kwa kiasi kikubwa na kasi ya kutisha nguvu zao za kiume.
 
Bak umechangia vyema. Kumbuka kua sio hilo la kusukwa rasta linahitaji kuondolewa. Kuna wanaume wanadhani kua wanaweza kurudia socks na vest mara mbili au tatu. Kwa uelewa wao mfupi wanabadili boxer tu. Naomba ieleweke kua socks, vest na boxer hubadilishwa kila unapooga kama vile wanawake wafanyanyo. Biashara ya kuvaa vest mpaka haijulikani ilikua rangi gani muache. Inam put-off sana mwenzio kusema kweli. Kama wako humu naomba muache hako katabia. Taulo pia ukitumia asubuhi na jioni, basi, chukua linguine, maana maji maji yale hufanya litoe harufu. Unaona raha gani unamungiza mwanamke kwako kuna harufu za uvundo wa socks na taulo...??? hebu achene hizo wakaka. Samahani kama nitakua nimewakwaza lakini tuko hapa kufundishana maadili ya unyumba ikiwa ni pamoja na usafi>

ni kweli ndugu mtoa hoja.
mi nina swali moja kwako, hapa
Unaona raha gani unamungiza mwanamke kwako kuna harufu za uvundo wa socks na taulo...??? hebu achene hizo wakaka.

hii inakuwaje kwa wenye wake?
who is responsible for socks and towel?
kama ni mke wangu atadhubutu kucomplain juu ya vitu ulivyovitaja?
 
Mkuu 1st AID nikuombe kwanza uachie hio mikono ya hao madogo uliokanyagia apo... hahahahaaaaaa!!!

Asante kwa hekima zako mkuu... Nimependa sana ufafanuzi wako.

Vipi kwa wale wanang'ang'ana kwenye habari ya ''use and misuse'' kwamba kadiri mtu anavyotumika anakuwa fiti zaidi haswa wanaume, Unalisemeaje hili kitaam kaka watu waachane na upotofu huo? (samahani kama itakua nje ya utaalamu wako ila naona umejipambanua vyema na kitaalamu kwenye mchango wako hapa chini)

Mkuu Tized, kidogo niliona nitekeleze haki yangu ya kudai pato la mwisho wa mwezi. Hao madogo wacha tu niwafinye vidole wanawakilisha wenzao wanao komba mboga lawama zinakuja kwetu...naamini umenisoma.

Back to the thread, nimekuja tena ingawa nilicho kusudia kusema wenzetu wengi wamegusia tayali, usafi wa wote,kutuliza munkari kabla ya show n.k, maana kunakukamia game unabaki kupaliwa kama umemeza kashata ya chicha la nazi .

Niseme tu physical fitness, mental balance and personal hygine vinahusika. Sasa nirudi kwenye swali ulilo niuliza.. elimu mtaa, hii kitu ya kuwa play boy... Je inakufanya usimamie show kisawasawa? Kwanza niseme si kweli kwamba itakusaidia kuwa na stamina ya juu katika match.

Kuwa na rundo la show za mchangani, inakunyima uhuru wa kufurahia tendo halali.

Maana hii sio tournament kwamba unatafutwa mkali wa game, hili ni tendo linalo heshiwa hasa kwa sisi ambao tuna matunda yake hatulichukulii kiupesi. Ni tendo lenye nguvu ya kusawazisha bongo zilizo choshwa na majukumu, ni tendo lenye kukupa nafasi ya umiliki wa damu (watoto), ni tendo linalo tambuliwa kiimani (ukiwa muumini). Si mchezo wa kutafuna mahindi.
Na hii kitu ukitaka kujua ni msuluhishi uwe kwenye ka mkwaruzano kadogo na mama then upate gap, ni kwamba baada ya hapo maongezi huwa ni maeleno mazuri.

Tumeona migogoro inayoshindwa kufikia muafaka kwa wenza kutopata hii haki. So ni muhimu kujitunza na kupunguza hizi mechi zenye kuchosha mwili, maana inaelezwa mshindo mmoja tu hugharimu uchomaji wa carolies sawa na nguvu za kukimbia kwa saa 1 na nusu. Hii ina maana gani?

Hii ina maanisha protein nyingi kutumika, zinc inayobebwa katika manii kupotea na kuua cell wa ubongo na hasa hovyo hovyo. Hata kam athari zake si kubwa katika umri mdogo lakini baadae tarajia madhara. Ni muhimu kuwa na mipaka na ratiba.
 
sometimes mwanamke huchangia mtu kushindwa kurudia tendo kutokana na uchafu wa mwanamke, yaaan unakutana na mwanamke ukipiga goli moja tu hamu imeisha. hii inatokea automatically unaweza jiuliza vp lakn ndo ivo.
 
ni kweli ndugu mtoa hoja.
mi nina swali moja kwako, hapa

hii inakuwaje kwa wenye wake?
who is responsible for socks and towel?
kama ni mke wangu atadhubutu kucomplain juu ya vitu ulivyovitaja?
kwani nikisahau huwezi kuzitoa mana usafi ni pande zote mbili. huwezi kutupa tu uki assume mke atatoa we are both responsible
 
sometimes mwanamke huchangia mtu kushindwa kurudia tendo kutokana na uchafu wa mwanamke, yaaan unakutana na mwanamke ukipiga goli moja tu hamu imeisha. hii inatokea automatically unaweza jiuliza vp lakn ndo ivo.

mkuu we kila mwanamke unayekutana nae lazma umlale?
nadhani hii post siyo kwa wanaotegemea temporary sex.
 
Kabisa kaka, na haya mambo ya vijiweni haya ndio yamechangia sana Mkuu kuharibu akili... na sasa wanaiharibu kuelekea sodoma.

Watu wanaingia na elimu ya mtaani ambayo sio rasmi na mwisho wa siku ndio hayo yanayotokea watu ni wazima wa afya lakini kwa kuwa wameweka standard ambazo sio rasmi unakuta kidume kinaingia kwenye game na matarajio kibao kumbe kila mtu ana mwili wake na level ya satisfication kwa kila mtu ni tofauti (though kuna minimum standard) hivyo inatakiwa ni namna tu ya performance ili kuleta tija
 
Wadau naona mnajitafutia excuse na pia paka wa kumfunga kengele!!! hahahahaha
so my responsibility there ni kuzitoa tu,?
or we are all responsible to wash them?
BTW I love you so much... my babylove

kwani nikisahau huwezi kuzitoa mana usafi ni pande zote mbili. huwezi kutupa tu uki assume mke atatoa we are both responsible
 
Hapa amepasisitiza dada everlenk juu ya kuzungumza na kukumbushana. Kumbuka kuna hali flani ambayo sio ya kawaida lakini mtu akishaizoea kwake inakua kawaida kabisa, mtu kama huyu anahitaji mtu wa kumwamsha kuwa sio kawaida hio, you should raise your bar.
sometimes mwanamke huchangia mtu kushindwa kurudia tendo kutokana na uchafu wa mwanamke, yaaan unakutana na mwanamke ukipiga goli moja tu hamu imeisha. hii inatokea automatically unaweza jiuliza vp lakn ndo ivo.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa.. basi bwana madogo wameshajifunza hao kaka. hawakombi tena.... hahahahhaha

Mkuu nakushukuru kwa niaba ya wengi kwa ufafanuzi wako yakinifu na ulioenda shule. Asante sana. Binafsi hii habari ya kupoteza protein na madini zinc ilikuaga haijakaa sawa, nimejifunza kitu kipya. Asante sana.

NB: Upotevu wa hivyo vitu kwa wingi ni nini madhara yake kwa sasa na kwa baadae mkuu? Asante sana mkuu 1st AID
Mkuu Tized, kidogo niliona nitekeleze haki yangu ya kudai pato la mwisho wa mwezi. Hao madogo wacha tu niwafinye vidole wanawakilisha wenzao wanao komba mboga lawama zinakuja kwetu...naamini umenisoma.

Back to the thread, nimekuja tena ingawa nilicho kusudia kusema wenzetu wengi wamegusia tayali, usafi wa wote,kutuliza munkari kabla ya show n.k, maana kunakukamia game unabaki kupaliwa kama umemeza kashata ya chicha la nazi .

Niseme tu physical fitness, mental balance and personal hygine vinahusika. Sasa nirudi kwenye swali ulilo niuliza.. elimu mtaa, hii kitu ya kuwa play boy... Je inakufanya usimamie show kisawasawa? Kwanza niseme si kweli kwamba itakusaidia kuwa na stamina ya juu katika match.

Kuwa na rundo la show za mchangani, inakunyima uhuru wa kufurahia tendo halali.

Maana hii sio tournament kwamba unatafutwa mkali wa game, hili ni tendo linalo heshiwa hasa kwa sisi ambao tuna matunda yake hatulichukulii kiupesi. Ni tendo lenye nguvu ya kusawazisha bongo zilizo choshwa na majukumu, ni tendo lenye kukupa nafasi ya umiliki wa damu (watoto), ni tendo linalo tambuliwa kiimani (ukiwa muumini). Si mchezo wa kutafuna mahindi.
Na hii kitu ukitaka kujua ni msuluhishi uwe kwenye ka mkwaruzano kadogo na mama then upate gap, ni kwamba baada ya hapo maongezi huwa ni maeleno mazuri.

Tumeona migogoro inayoshindwa kufikia muafaka kwa wenza kutopata hii haki. So ni muhimu kujitunza na kupunguza hizi mechi zenye kuchosha mwili, maana inaelezwa mshindo mmoja tu hugharimu uchomaji wa carolies sawa na nguvu za kukimbia kwa saa 1 na nusu. Hii ina maana gani?

Hii ina maanisha protein nyingi kutumika, zinc inayobebwa katika manii kupotea na kuua cell wa ubongo na hasa hovyo hovyo. Hata kam athari zake si kubwa katika umri mdogo lakini baadae tarajia madhara. Ni muhimu kuwa na mipaka na ratiba.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom