Tatizo la nguvu za kiume linasababishwa ma mambo mengi kadiri binadamu wanavyotofautiana, baadhi husababishwa na matatizo ya muda mfupi kimawazo na wengine kimwili, na kwa wengine ni matatizo ya kuzaliwa nayo na jinsi miili yao ilivyoumbika.
Binafsi mimi sio mlaji wa vyakula sana wala sifanyi mazoezi ila huwa naamua nimalize au nisubiri mpaka mwanamke afike. Akisema bado naendelea bila kufika mshindo. Pia inategemea nafanya tendo na aina gani ya mwanamke; akinivutia sana huwa nawahi au tunamaliza wote na akiwa hana mvuto sana hasa usafi naweza kuchukua hata masaa mawili bila kumaliza.
Binafsi mimi sio mlaji wa vyakula sana wala sifanyi mazoezi ila huwa naamua nimalize au nisubiri mpaka mwanamke afike. Akisema bado naendelea bila kufika mshindo. Pia inategemea nafanya tendo na aina gani ya mwanamke; akinivutia sana huwa nawahi au tunamaliza wote na akiwa hana mvuto sana hasa usafi naweza kuchukua hata masaa mawili bila kumaliza.