vavene
Member
- Aug 9, 2014
- 52
- 13
Kula vizuri....vyakula
vitiavyo nguvu mwilini
Mazoezi
Kuwa na mahusiano mengi hakumtii Mtu urijali....rather humchosha tu..
Kuwa na mwenza unaempenda na kuwa na amani nae
Umenena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula vizuri....vyakula
vitiavyo nguvu mwilini
Mazoezi
Kuwa na mahusiano mengi hakumtii Mtu urijali....rather humchosha tu..
Kuwa na mwenza unaempenda na kuwa na amani nae
Mkuu Tized ...naomba nikushukuru sana kwa kuipokea michango ya watu kwa uzito wake.
Niliposema unaweza pata athari kwa kufikia mshindo mara tatu au zaidi ndani ya masaa 24 nikusudia upoteaji wa ZMA kwa wingi na hivyo kuleta madhara katika mfumo mwili kama nilivyo elezea hapo juu.
Sasa turudi kwenye kiini, swali je nitawezaje kula tunda na nisiathirike kiafya ....yaani mara ngapi kwa siku, wiki au mwezi? Na ipi ni idadi isiyo na madhara kwenye kula tunda?. Kwanza naomba niweke sawa hapa kwamba ulaji huu unamaana zaidi ya kupata watoto (naongelea walio na mahusiano rasmi) kupiga papuchi kuna unganisha wenza na kunaondoa msongo wa mawazo.
Je nitapata athari gani kupiga match nyingi zaidi, kwanza kama unasaka mwana tunashauriwa kula papuchi mara kadhaa kabla ya mama kufikia upevushaji. Hii inasemwa kwa kufanya hivyo ubora wa mbege katika manii huboreka na hivyo chance ya mama kunasa mimba ni kubwa (kumbe manii zikikaa muda mrefu kwenye korodani huathirika). Lini hasa kama nasaka mtoto siku sahihi? Siku tano kabla ukianza mpaka siku ya upevushaji ni jambo sahihi ingawa idadi ya mbegu itapungua na maji kuongezeka katika manii (manii kuwa epesi) .......angalizo hii haithiri ubora wa mimba.
Uwezo wa ulaji unategemea na mtu na mtu, ingawa tafiti huonyesha wanandoa hucheza mechi 112 kwa mwaka sawa na mara mbili kwa wiki, lakini hii inategemeana na umri. Katika hili swali taasisi ya Kinsey imejibu As just one example, 18-29 year olds have sex an average 112 times per year, 30-39 year olds an average of 86 times per year, and 40-49year olds an average of 69 times per year. Still, averages mean that there are some people above and some people below given number. Averages dont help decide the question of what is right for an individual person.
Tuangalie ukifanya ngono sana nini pia athari zake, hii iko wazi umri unaongea kama utakuwa umesoma vizuri kwamba kadri unavyo kuwa vipaumbele vinabadilika. Stress zinaweza kupungua na kuna wakati walio na umri mkubwa sana hukutana mara moja tu kwa mwaka ua hakuna kabisa.
Kama nilivyo sema awali somo hili ni pana, kuna msawala mengi mfano kwanini mtu hupoteza hamu ya tendo la ndoa na hii ni tofauti na uwezo wa uume kusimama, na tumejikuta tunahangaikia uume kumbe tatizo ni hamu. Somo ni pana na litaendelea kuza mjadala ila ili tusitoke nje ya maudhui ya uzi naomba niishie hapa.
binafsi naamini tendo la ndoa linahitajika akili iwe imetulia na kutengenezewa mazingira mazuri na tulivu..kunapokua na mvurugano wa akili hata tendo nalo linakua halina raha ila mnapokua mmetulia wote na kujijenga kiakili lazima tu mambo yawe safi unless otherwise kuwepo na tatizo la kiafya..Hahahaaa... my dear everlenk uwanja wenu, Karibuni sana wapendwa wetu. Itakua ni faraja sana kuona mtu mmoja mahali anasidika kwa namna moja au nyingine.
Michango ya mawazo yenu wenu ni ya thamani na sana, Tafadahli karibuni na wadada wenzio . Most welcomed!!!!!
Many Thanks
cc Fixed Point, miss chagga, ICHANA, miss neddy, mwallu, Heaven on Earth, Karucee, @Howty Lady, Kongosho, lara 1 na wengineo wote
Mkuu Tized asante sana kwa hii mada nimejifunza mengi...nafurahia maisha kwa Mokoyo.he know wat i need.
hii mda ni ndefu na mengi wadau wameshasema
watu wengi tumekuwa WATUMWA wa maneno ya watu..kwanza tujikubali wenyewe kuwa wenye vibamia emolo or mguu wa mtoto wote ni saawa kwenye tendo la ndoa na wanauwezo wa kumfikish mtu kilelen
huu utamaduni wa coppy n paste eti wmwanaume lijali lazima agonge goli sijui tatu or saba achan nazo..tunatakiwa tuangalie SATISFACTION...Mapenzi ni utundu wa kujua mwenzio anatka nni na sio kukariri eti lazima umshike hapa kila siku na nimp three goals nani kakuambia magoli ndo kumtosheleza..watu wanapiga one shout heavy na mtu anakuwa ameridhika wengine saba watu wanaishia kuchubuka tu,.msome mwenzio anataka goli ngapi kwa muda gan...anapenda uunganishe two in one or vipi.MFANNYE MPENZIO RAFIKI
kuna jambo dogo ila lina maana sana baada ya tendo kuzungumza kwa upole na kushukuru..mpe pongezi kama kakukuna palipo.hasa wasichana sie tunapenda hyo,.human being unapompa sifa unamwongezea confidence zaid...kuna watu wakializa hawaongei na wala hajui mwenzie anapenda style ipi
usafi wa mwili na eneo husika huongeza hamu ya tendo.watu tujiswafi hasa wanawake ili kuleta raha kweye tendo ..kitanda...na nguo pia
suala la MUDA hasa kwa ambao hawako kwenye ndoa una mihadi na mwenzio be on time sio mwenzio anafika wewe uanampa sound or nakuja mara folen mara niikuwa na kazi unakuwa tayari ushamwndolea mwenzio hamu na hta kam unaona upo far to excuse mapema...tujitahid kutumia sweet word kwa maana mwanaume most of tyme yupo ready kwa sex ila mwanamke mwandae kiakili may be by chating pia akifika eneo husika msiwe na papara kuku wako manati ya nni..mwandae kimwili hadi unone dalili zote za yey kuwa na utayari
kauli zetu nazo zinachangia watu kutokufika kileleni.mwanaume anahitaji utulivu wa kiakili kauli za madharau tuache jaman.ulimi mwenye sukari na saut hutoa nyoka pangoni.lazima mtu ajiachie na awe huru ili aweze kufika kilele
binafsi naamini tendo la ndoa linahitajika akili iwe imetulia na kutengenezewa mazingira mazuri na tulivu..kunapokua na mvurugano wa akili hata tendo nalo linakua halina raha ila mnapokua mmetulia wote na kujijenga kiakili lazima tu mambo yawe safi unless otherwise kuwepo na tatizo la kiafya..
Ukiona kama gemu inakataa ndani jaribu mara moja out upime kama inatokana na kuzoeana au charge kweli majanga.
Nilijua tu as usual watu watasema mazoezi na kula vizuri..but hawajiulizi mbona wapo watu wanafanya mazoezi but hawa gain chochote?
true true mkuu , kuna watu labda wamezaliwa na afya zao....... hawazingatii hizo hapo lakini wanapeleka mashine hatari kabisa.
japo nakiri kuwa afya ya Mwili na Akili vinahusika sana kwenye haya mambo.
Tized ukweli ni kwamba nilishawahi kuweka uzi hapa kuzungumzia jambo hilo wakati fulani.
Mtindo wa maisha tunayoishi, vyakula tunavyokula, kujipweteka bila kufanya mazoezi kuiga mikanda ya porn wakati yale ni maigizo tu, na kutumia madawa makali ya hospitali bila kuwa muangalifu. nina maana kwamba Tusiwaamini sana wataalamu wetu wa afya kwani sekta ya afya imevamiwa na wafanyabiashara ambao kwao wanachojali ni fedha kwa hiyo kuandikiwa madawa makali bila kujali afya ya mtumiaji ni jambo la kawaida. Madawa makali yana mchango mkubwa katika kuathiri afya zetu na huwezi kufanya tendo kwa ufanisi kama afya yako ina mgogoro.
Binafsi nachagua vyakula, nafanya mazoezi ya kawaida, ya kutembea kilomita tano kila siku za kazi, natumia tiba mbadala, yaani isiyohusisha madawa ya hospitali na kama nitalazimika kutumia madawa ya hospitali, basi nitahakikisha nimefanya udadisi kwa wataalamu Zaidi ya wawili ili kuwa na uhakika sitaudhuru mwili wangu, SICHEPUKI, lakini pia tendo la ndoa mimi na mama ngina tunalifanya kama sehemu ya burudani na siyo la upande mmoja............
Asprin hujaalikwa pitia mbali hii maneno............
Mkuu unafikiri strength ya hawa wadau inatokana na nini mkuu? kwa sababu kuna wengine kazi zao za kila siku au pilika pilika zao ndio mazoezi yao.
Hebu tuangalie hawa wadau ambao anaamka asubuhi -garini, kazini, garini, nymbani,garini, bia mbili tatu garini-kulala.. day in day out....weekends bata kwa wingi n.k.... mtu kama huyu ambaye yuko vizuri sana kwenye hio sector unafikiri nini kinachangia mkuu? (just for learning)
Many Thanks
mkuu Tized unachozungumza ni kweli kabisa ila amini usiamini sex ORGAN kubwa kuliko zote mwilini ni BRAIN (it all started from the brain) if you mess up with your BRAIN especially psychological utakuwa umeshaliharibu tendo lote.( hujawahi kuona mtu na mkewe wanafanya chini ya kiwango mno , lakini mtu huyo huyo kwa mchepuko wake anakuwa yupo vizuri sana .... think about it.
halafu being physique ndiyo inakuja ili kukupa pumzi na kukuepusha wewe kuchoka mapema na haraka , kama unavyosema mazoezi yanayohitajika siyo lazima yawe ya kuvaa nguo za mazoezi na kwenda uwanjani wakati mwingine hata Daily routine zetu zinatosha kabisa kukujenga kiafya ukawa na nguvu za mwili na pumzi za kukuwezesha kufanya vizuri....
kuna mazoezi maalumu yanaitwa kergel's exercise , ndiyo yapo maalumu kuimarisha misuli ya sehemu za siri (tena hii ni kwa jinsia zote)........
halafu inakuja chakula ambayo zenyewe zipo za kutia mwili nguvu kukupa ile nguvu za kubiringishana kitandani na kuna vyakula ambavyo vina-boost ile hamu ya tendo (aphrodisiac foods)
mchango wangu ni huo tu , kama hujajitayarisha Kiakili hata ule nini na hata ufanye mazoezi gani ..... itakuwa bure kabisa.
I couldn't agree more Mkuu.
Umezungumza kwa undani na kwa ufahamu mkubwa sana mkuu asakuta same ..... I must admit kwenye huu uzi nimejifunza vitu vingi na kwa undani sana....
What does it take mkuu apo kwenye red ''kusema mtu amejitayarisha kiakili'' na tukio?
Pia mkuu kama unaweza kutusaidia kwenye hii habari ya vyakula, kama ulivyogusia apo chini (Aina gani ya vyakula vinavyofaa kuliwa wakati gani na kwa nini..... maana wengi hapa tuna shida mkuu asakuta same)
Again many thanks for your valuable inputs Mkuu.
Aksante mkuu Tized hilo la kujitayarisha kwa akili ni kama hayo wakuu waliyoyaelekeza humo juu mazingira ya akili yako kuwa imetulia na ipo tayari kwaajili ya tendo kwa muhusika unayefanya naye , siyo kabla hata hujaanza unakuwa tayari upo dissapointed na mtu........ ila cha muhimu baada ya kuweka akili sawa basi uwe na uwezo wa kucoordinate brain yako na kiungo chako cha chini (hapa kwa wale wanaoelewa/ au waliowahi kufanya kuna kipindi mtu unafanya tendo , ile action ya afanyaji is more exciting zaidi ya ile kwamba sasa umeshusha mzigo kwahiyo unajikuta unaendelea kwa muda mrefu mpaka utakapoaamua sasa nishushe mzigo au kuna wale wanaaojitayarisha kiakili na kujiamini kuwa anaweza na hata anaweza kuendelea hapo hapo hata baada ya kushusha mzigo anacoordinate akili yake na kiungo chake na mwishowe game linaendelea hata mara tatu bila kupumzika katikati ya hizo kilele).....
kwenye vyakula wadau walishavizungumzia kwenye thread nyingi humu ndani , hasa hasa hivi vya kuongeza hamu (aphrodisiac)- mfano Parachichi-hili ni balaa mkuu, supu ya samaki(wakiongozwa na pweza), asali , chocolate , kahawa , ndizi mbivu , pilipili , tangawizi, samli ya ng'ombe n.k (hivi unaweza ukawa unakula karibia kila siku , ila siku za makutano unazitilia mkazo)
vyakula vya kutia nguvu ni hivi vyakula vyetu tunavyokula kila siku ya maisha yetu ikiwemo chips(japo watu wanaponda), ugali , wali n.k.
sasa mkuu baada ya kula vyakula vyetu na kunywa vinywaji vyetu kuna aina fulani ya vyakula ni muhimu sana kwani yenyewe huondoa mwilini free radical( hizi free radicals huwa ni sumu zitokanazo na michakato mbalimbali ndani ya miili yetu)...... sasa ili tupambane kirahisi na hizi sumu tunahitaji Anti-oxidants. hizi ni kama vile VITAMINI E , C ,D na B.( hapa ndipo linapoingia suala la matunda na baadhi ya mboga za majani).
sijui kama nitakuwa nimejaribu kujieleza vizuri Tized ?
naona kila kitu kishajadiliwa cha kuongezea ni kwamba baadhi ya wanaume huwa na inferiority complex baada ya kuona x videos na kumuona mwenzake yupo kwenye game 40 mins na yeye anataka iwe hvyohvyo ieleweke :wazi kwamba mule kuna editing inafanyiwa na pia matumiz ya dawa za kuongeza uwezo otherwise not very likely though its possible mshndo wa kwanza kudumu more than30 mins
i miss u much....
ha ha ha mtakuafa 45 minutes karaha sasa sio raha tna
ivi kwann watu tumekuwa watumwa wa haya mambo ya maneno ya vijiwen??kwenye tendo siku hzi linapoteza mwelekeo cos ya wtu kuwa watumwa wa maneno.hasa nyie wanaume na kauli ya ulijali