Suluhu kwenye mafuta - ushauri wa bure

Suluhu kwenye mafuta - ushauri wa bure

Nangu Nyau

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
5,015
Reaction score
14,139
Moja kwa moja kwenye mada, mods msiuunge huu uzi na nyuzi nyingine, ladha zinatofautiana.
  1. Inawezekana kabisa walioko kwenye mifumo wanajua shida iko wapi, ila tatizo lao kubwa ni ubinafsi na kutojali watu wao - UBINAFSI NI TABIA MOJAWAPO SUGU YA MWAFRICA, NI SAWA NA UCHAWI TU.
  2. Bei ya mafuta inapanda walio wengi wanateseka na wewe unapata hela unakuwa tajiri na kwenda kuweka hela Ulaya kwa Wazungu (huu ni upumbavu acheni ufala), Unapata hela unakuwa Tajiriii mkubwaa HALAFU UNAKUFA na mitoto yako yote inabaki mifala tu maana mali zako uliua na kutesa wengi hauna tofauti na mchawi au jambazi anayeua bila sababu
  3. Viongozi acheni ubinafsi na kusaidia watu wenu dhidi ya hili janga, sikweli kwamba hamjui cha kufanya kusaidia wananchi, mkiondoa kodi zote za kijinga na Serikali kupunguza matumizi tayari mtakuwa mmetatua tatizo na wananchi watakuwa huru.
  4. Rais, WIZARA YA NISHATI IWE NA MAWAZIRI WAWILI, MMOJA NI MAFUTA NA GAS, MWINGINE UMEME NA VYANZO VYAKE, Huyu wa mafuta na gas kazi yake iwe uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gas na vyanzo vyake, udhibiti wa bei za mafuta na gas. Huyu wa umeme abakie na uzalishaji wa umeme, udhibiti wa bei za umeme na usambazaji wa umeme ndani na nje ya nchi.
  5. Rais, WIZARA YA FEDHA WEKA JICHO KALI NA IWEKEE MANAIBU WAWILI NA MAKATIBU WATATU WABOBEZI, HAKIKISHA HII WIZARA HAINA WANASIASA KABISA KUANZIA WAZIRI NA WATENDAJI WAKE, TEUA WATU PROFESSIONALS KUWA WABUNGE WAPE ILE WIZARA ACHANA NA HAWA BLAH BLAH POLITICIANS.
  6. Hivi serikali ikiamua kufanya seminar zake online, mikutano online, trainings online, kusiwe na posho, safari za ndani na nje zipungie, ikabana wizi, misafara ikapunguzwa, per diem zikatolewa, posho za wabunge zikatolewa, matumizi ya magari yenye kubwa yakatolewa - Baada ya HAYA KODI ZOTE KWENYE MAFUTA ZIKATOLEWA MWANANCHI SIATAKUWA AMEPONA HAPA.
  7. Nyie Viongozi wengi wenu mnaonekana MISIKITINI NA MAKANISANI eti mkifanya ibada na familia zenu huku mamilioni ya mnaowaoongoza ni masikini ambao mmewaletea nyie umasikini eti muwe na maisha mazuri ambayo mngeyapata tu bila kufanya wenzenu watumwa.
  8. Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu wameshajua MIAFRICA NI MIFALA na iko tayari kutesa wenzao ili iishi vizuri kwa kuchukua rushwa, hapa sasa ndugu zetu mnabezwa sana kwa namna wanavyowapa rushwa ili kutesa ngozi nyeusi wenzenu kwenye ardhi yenu, HAPA MNACHEKWA NA NYIE MNAITWA NYANI TU.
  9. WEUPE (Wazungu, Waarabu, Wachina na Wahindi) wanafanya umafia ugenini kwa watu wengine na kuhakikisha faida na utajiri unakwenda makwao kunufaisha ndugu zao.

    MWAFRICA anadhuumu WAAFRICA WENZIE NA KUWAPELEKEA UTAJIRI WEUPE na kuacha maisha duni kwao TENA MWAFRICA HUYU AMESOMA MPAKA DEGREE, MASTERS NA PHD KABISA - ukiwa na tabia hizi huna tofauti na mawakala wa utumwa enzi zile waliosaidiana na wakoloni kukamata mababu zetu na kuwapeleka utumwani kwa malipo ya shanga na nguo - SAIDIENI NDUGU ZENU WEUSI WANAOTESEKA NA UMASIKINI.
  10. UMAFIA UNAFANYWA KUSAIDIA WATU WENU MNAOWAONGOZA SIO KUWAANGAMIZA KUVIMBISHA MATUMBO NA KUNUFAISHA WAGENI aka FOREIGNERS - muwaige mabeberu.
  11. Tuache siasa, tumieni akili kutatua matatizo, kama hizo akili hamna kuweni huru ili Watanzania wote tushirikishwe kuisaidia hii nchi.
 
Hivi nchi ina Gesi ya kumwaga ambayo inafanya kazi sawa na Petroli.
Nashangaa wenye mamlaka wanashindwa mkakati wa kuanza kutumia Gesi yetu asilia na kuendela kutumia raslimali zetu kununua Petroli.
Mfano Magari ya Petroli yanahitaji kurekebishwa kidogo tu yaanze kutunia Gesi. Pale DIT Daresalaam wataalamu wapo ni swala la kuwa husisha tu kwenye huu mradi.

Hivi sisi Ngozi Nyeusi tutajiamini lini kuwa pia ni wenye fikra endelevu ?

Tunasubiri hadi tuambiwe na mtu mwepe ndio tuifahamu thamani yetu
 
Hivi nchi ina Gesi ya kumwaga ambayo inafanya kazi sawa na Petroli.
Nashangaa wenye mamlaka wanashindwa mkakati wa kuanza kutumia Gesi yetu asilia na kuendela kutumia raslimali zetu kununua Petroli...
Mifumo ya magari ikibadillika kukubali gas kutumika Bei itapanda balaa.

Tatizo lipo kwenye WILL ya kuwatumikia Watanzania na UMIMI.
 
WAFANYA BIASHARA WA MAFUTA SAHV WAMEDHAMIRIA KUFANYA BIASHARA KWERIKWERI
HAMUONA KILA LEO VITUO VYA MAFUTA VINAJENGWA
HIZI BIASHARA ZINA MIKONO YA WAKUBWA.....

SOLUTION ACHENI KUTUMIA VYOMBO VYA MOTO MVIPAKI
TU SYO MNALIALIA HUKU WENYEWE
MNAUNGIA SHELI KUTIA WESE

OVA
 
Uchumi ni chain kubwa sana. Point namba 6 inaweza kudidimiza zaidi uchumi. Ukipata wewe ukiconsume na mimi ndo napata.
 
Uchumi ni chain kubwa sana. Point namba 6 inaweza kudidimiza zaidi uchumi. Ukipata wewe ukiconsume na mimi ndo napata.
tuko kwenye crisis ya mfumuko wa bei na lengo ni kumuokoa mwananchi wa kawaida na raia kwa ujumla.

Tunapokuwa kwenye hatua hizi serikali kama source na consumer mkubwa wa hela anapaswa kuwekeza hapa kwenye kubana matumizi ili kuokoa Taifa.
 
Kila kitu kinawezekana na wala hatuhitaji ROCKET SCIENCE kwenye hili la mafuta.

WATU WAACHE FIKRA ZA WIZI NA UBINAFSI, BAADALA YAKE WAJIKITE KUMTUMIKIA MWANANCHI NA KUMUWEKA KATIKA MAZINGIRA BORA.
 
Kama tunaweza kununua mafuta ya IRAN na RUSSIA ili watu wetu waishi vizuri ni vyema tukayununue kwa njia za kimafia.

Duniani Mataifa mengi yanafanya umafia kulinda watu wake na kunufaisha watu wake.
Taifa la Tanzania linapaswa sasa kufanya umafia kwa faida ya watu wake na si umafia ili kutesa watu wake.
TISS wapo waache sasa kuajili vijana wasio jielewa wanaozagaa zagaa na kunywa bia mitaani kuanzia KIDIMBWI,JULIANA, KITAMBAA CHEUPE, nk, NI WAKATI WA TAASISI HII NA NYINGINE NYETI KUWA NA WATU SERIOUS WENYE AKILI NYINGI KUSAIDIA RAIA KIUCHUMI NA KULINDA USALAMA WAO.

HAWA MAJIRANI WOTE KUANZIA KENYANS, RWANDA, UGANDA nk wanafanya umafia mwingi sana kwa faida ya watu wao, mfano KENYANS huwezi kupata Kazi, kuwekeza au kufanya biashara mtanzania - this is secret services jobs to secure the peoples economoy in their land, but also they should make sure their people can penetrate in foreigner land doing business and send back money.
mfano wa Uganda na Rwanda kila mtu anaujua.

TISS - tafuteni nini cha kufanya mafuta ya IRAN na RUSSIA yaingie sokoni na kuflood soko, this is your project and executing this can permanently solve this sky rocketing price, shinikizeni serikali ipunguze matumizi yasiyo ya lazima na iondoe kodi za kijinga kwenye mafuta with full controlling in this business.

TUKILETA MZAHA HAYA MAFUTA YATAFIKA 10K NA HALI YA UCHUMI ITAKUWA KAMA ZIMBABWE HAPA KWA KULETA HUU MZAHA MZAHA NA KUACHA WAJINGA WACHACHE WACHEZEE MAISHA YA WENGI ON THEIR BENEFITS.

ARABS, INDIANS, CHINESE and MUZUNGU they are not owe to this land, kuchekacheka nao na kuwaona wenzetu kumbe wapo hapa kuchuma na kupeleka hela makwao kutaipekeka hii nchi kaburini - WE NEED TO BE SERIOUS DUDEZ.
 
Wakati ya crisis ya COVID, Mafuta yalishuka bei na supply ikawa kuubwa sana kiasi cha baadhi ya mataifa kukosa storage na kuyagawa bure au kwa bei bwerere.

INAMAANA WATU WETU MLISHINDWA KUFORECAST NA KUYACHUKUA HAYO MAFUTA HATA KWA KUNUNUA TANKERS aka meli na kuyaweka storage mahala, tulishindwa hata kupump hela na kuwa na large underground storage tanks na other facilities for our future benefits- https://jamii.app/JFUserGuide US.
 
Sasa hivi Russia na Iran wanamafuta kibao yanatirirka na wenzenu wanafanya umafia kuyanunua.
India ananunua crude oil from Russia with very cheap price, Chinese ananunua kibabe.
Mataifa kama Turkey nk, wananunua kimafia mafia with tankers flaged and documented from other routes.
Wahuni wamachinga na tankers za wahuni wako dip sea huko wanafanya smuggling ya both crude oil and Fuel.
Iran na Russia wanafanya biashara ya mafuta kimafia baharini huko with very cheap price, ETI MNAOGOPA VIKWAZO VYA USA, tumiaeni akili kuingia kwenye game hilo kuokoa watu wenu.
 
Moja kwa moja kwenye mada, mods msiuunge huu uzi na nyuzi nyingine, ladha zinatofautiana.
  1. Inawezekana kabisa walioko kwenye mifumo wanajua shida iko wapi, ila tatizo lao kubwa ni ubinafsi na kutojali watu wao - UBINAFSI NI TABIA MOJAWAPO SUGU YA MWAFRICA, NI SAWA NA UCHAWI TU.
  2. Bei ya mafuta inapanda walio wengi wanateseka na wewe unapata hela unakuwa tajiri na kwenda kuweka hela Ulaya kwa Wazungu (huu ni upumbavu acheni ufala), Unapata hela unakuwa Tajiriii mkubwaa HALAFU UNAKUFA na mitoto yako yote inabaki mifala tu maana mali zako uliua na kutesa wengi hauna tofauti na mchawi au jambazi anayeua bila sababu
  3. Viongozi acheni ubinafsi na kusaidia watu wenu dhidi ya hili janga, sikweli kwamba hamjui cha kufanya kusaidia wananchi, mkiondoa kodi zote za kijinga na Serikali kupunguza matumizi tayari mtakuwa mmetatua tatizo na wananchi watakuwa huru.
  4. Rais, WIZARA YA NISHATI IWE NA MAWAZIRI WAWILI, MMOJA NI MAFUTA NA GAS, MWINGINE UMEME NA VYANZO VYAKE, Huyu wa mafuta na gas kazi yake iwe uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gas na vyanzo vyake, udhibiti wa bei za mafuta na gas. Huyu wa umeme abakie na uzalishaji wa umeme, udhibiti wa bei za umeme na usambazaji wa umeme ndani na nje ya nchi.
  5. Rais, WIZARA YA FEDHA WEKA JICHO KALI NA IWEKEE MANAIBU WAWILI NA MAKATIBU WATATU WABOBEZI, HAKIKISHA HII WIZARA HAINA WANASIASA KABISA KUANZIA WAZIRI NA WATENDAJI WAKE, TEUA WATU PROFESSIONALS KUWA WABUNGE WAPE ILE WIZARA ACHANA NA HAWA BLAH BLAH POLITICIANS.
  6. Hivi serikali ikiamua kufanya seminar zake online, mikutano online, trainings online, kusiwe na posho, safari za ndani na nje zipungie, ikabana wizi, misafara ikapunguzwa, per diem zikatolewa, posho za wabunge zikatolewa, matumizi ya magari yenye kubwa yakatolewa - Baada ya HAYA KODI ZOTE KWENYE MAFUTA ZIKATOLEWA MWANANCHI SIATAKUWA AMEPONA HAPA.
  7. Nyie Viongozi wengi wenu mnaonekana MISIKITINI NA MAKANISANI eti mkifanya ibada na familia zenu huku mamilioni ya mnaowaoongoza ni masikini ambao mmewaletea nyie umasikini eti muwe na maisha mazuri ambayo mngeyapata tu bila kufanya wenzenu watumwa.
  8. Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu wameshajua MIAFRICA NI MIFALA na iko tayari kutesa wenzao ili iishi vizuri kwa kuchukua rushwa, hapa sasa ndugu zetu mnabezwa sana kwa namna wanavyowapa rushwa ili kutesa ngozi nyeusi wenzenu kwenye ardhi yenu, HAPA MNACHEKWA NA NYIE MNAITWA NYANI TU.
  9. WEUPE (Wazungu, Waarabu, Wachina na Wahindi) wanafanya umafia ugenini kwa watu wengine na kuhakikisha faida na utajiri unakwenda makwao kunufaisha ndugu zao, MWAFRICA anadhuumu WAAFRICA WENZIE NA KUWAPELEKEA UTAJIRI WEUPE na kuacha maisha duni kwao TENA MWAFRICA HUYU AMESOMA MPAKA DEGREE, MASTERS NA PHD KABISA - ukiwa na tabia hizi huna tofauti na mawakala wa utumwa enzi zile waliosaidiana na wakoloni kukamata mababu zetu na kuwapeleka utumwani kwa malipo ya shanga na nguo - SAIDIENI NDUGU ZENU WEUSI WANAOTESEKA NA UMASIKINI.
  10. UMAFIA UNAFANYWA KUSAIDIA WATU WENU MNAOWAONGOZA SIO KUWAANGAMIZA KUVIMBISHA MATUMBO NA KUNUFAISHA WAGENI aka FOREIGNERS - muwaige mabeberu.
  11. Tuache siasa, tumieni akili kutatua matatizo, kama hizo akili hamna kuweni huru ili Watanzania wote tushirikishwe kuisaidia hii nchi.
100% correct
 

Attachments

  • VID-20220803-WA0022.mp4
    13.3 MB
  1. UMAFIA UNAFANYWA KUSAIDIA WATU WENU MNAOWAONGOZA SIO KUWAANGAMIZA KUVIMBISHA MATUMBO NA KUNUFAISHA WAGENI aka FOREIGNERS - muwaige mabeberu.
  2. Tuache siasa, tumieni akili kutatua matatizo, kama hizo akili hamna kuweni huru ili Watanzania wote tushirikishwe kuisaidia hii nchi.
Hawa wakuu wako busy na kusaka hela za kampeni za 2025 na huko kwenye mafuta ndio wanapiga hela haswaaa
 
Sasa hivi Russia na Iran wanamafuta kibao yanatirirka na wenzenu wanafanya umafia kuyanunua.
India ananunua crude oil from Russia with very cheap price, Chinese ananunua kibabe.
Mataifa kama Turkey nk, wananunua kimafia mafia with tankers flaged and documented from other routes.
Wahuni wamachinga na tankers za wahuni wako dip sea huko wanafanya smuggling ya both crude oil and Fuel.
Iran na Russia wanafanya biashara ya mafuta kimafia baharini huko with very cheap price, ETI MNAOGOPA VIKWAZO VYA USA, tumiaeni akili kuingia kwenye game hilo kuokoa watu wenu.

Nitumeni huko Black Sea niwaletee Neema

Ova!
 
Moja kwa moja kwenye mada, mods msiuunge huu uzi na nyuzi nyingine, ladha zinatofautiana.
  1. Inawezekana kabisa walioko kwenye mifumo wanajua shida iko wapi, ila tatizo lao kubwa ni ubinafsi na kutojali watu wao - UBINAFSI NI TABIA MOJAWAPO SUGU YA MWAFRICA, NI SAWA NA UCHAWI TU.
  2. Bei ya mafuta inapanda walio wengi wanateseka na wewe unapata hela unakuwa tajiri na kwenda kuweka hela Ulaya kwa Wazungu (huu ni upumbavu acheni ufala), Unapata hela unakuwa Tajiriii mkubwaa HALAFU UNAKUFA na mitoto yako yote inabaki mifala tu maana mali zako uliua na kutesa wengi hauna tofauti na mchawi au jambazi anayeua bila sababu
  3. Viongozi acheni ubinafsi na kusaidia watu wenu dhidi ya hili janga, sikweli kwamba hamjui cha kufanya kusaidia wananchi, mkiondoa kodi zote za kijinga na Serikali kupunguza matumizi tayari mtakuwa mmetatua tatizo na wananchi watakuwa huru.
  4. Rais, WIZARA YA NISHATI IWE NA MAWAZIRI WAWILI, MMOJA NI MAFUTA NA GAS, MWINGINE UMEME NA VYANZO VYAKE, Huyu wa mafuta na gas kazi yake iwe uchimbaji na utafutaji wa mafuta na gas na vyanzo vyake, udhibiti wa bei za mafuta na gas. Huyu wa umeme abakie na uzalishaji wa umeme, udhibiti wa bei za umeme na usambazaji wa umeme ndani na nje ya nchi.
  5. Rais, WIZARA YA FEDHA WEKA JICHO KALI NA IWEKEE MANAIBU WAWILI NA MAKATIBU WATATU WABOBEZI, HAKIKISHA HII WIZARA HAINA WANASIASA KABISA KUANZIA WAZIRI NA WATENDAJI WAKE, TEUA WATU PROFESSIONALS KUWA WABUNGE WAPE ILE WIZARA ACHANA NA HAWA BLAH BLAH POLITICIANS.
  6. Hivi serikali ikiamua kufanya seminar zake online, mikutano online, trainings online, kusiwe na posho, safari za ndani na nje zipungie, ikabana wizi, misafara ikapunguzwa, per diem zikatolewa, posho za wabunge zikatolewa, matumizi ya magari yenye kubwa yakatolewa - Baada ya HAYA KODI ZOTE KWENYE MAFUTA ZIKATOLEWA MWANANCHI SIATAKUWA AMEPONA HAPA.
  7. Nyie Viongozi wengi wenu mnaonekana MISIKITINI NA MAKANISANI eti mkifanya ibada na familia zenu huku mamilioni ya mnaowaoongoza ni masikini ambao mmewaletea nyie umasikini eti muwe na maisha mazuri ambayo mngeyapata tu bila kufanya wenzenu watumwa.
  8. Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu wameshajua MIAFRICA NI MIFALA na iko tayari kutesa wenzao ili iishi vizuri kwa kuchukua rushwa, hapa sasa ndugu zetu mnabezwa sana kwa namna wanavyowapa rushwa ili kutesa ngozi nyeusi wenzenu kwenye ardhi yenu, HAPA MNACHEKWA NA NYIE MNAITWA NYANI TU.
  9. WEUPE (Wazungu, Waarabu, Wachina na Wahindi) wanafanya umafia ugenini kwa watu wengine na kuhakikisha faida na utajiri unakwenda makwao kunufaisha ndugu zao.

    MWAFRICA anadhuumu WAAFRICA WENZIE NA KUWAPELEKEA UTAJIRI WEUPE na kuacha maisha duni kwao TENA MWAFRICA HUYU AMESOMA MPAKA DEGREE, MASTERS NA PHD KABISA - ukiwa na tabia hizi huna tofauti na mawakala wa utumwa enzi zile waliosaidiana na wakoloni kukamata mababu zetu na kuwapeleka utumwani kwa malipo ya shanga na nguo - SAIDIENI NDUGU ZENU WEUSI WANAOTESEKA NA UMASIKINI.
  10. UMAFIA UNAFANYWA KUSAIDIA WATU WENU MNAOWAONGOZA SIO KUWAANGAMIZA KUVIMBISHA MATUMBO NA KUNUFAISHA WAGENI aka FOREIGNERS - muwaige mabeberu.
  11. Tuache siasa, tumieni akili kutatua matatizo, kama hizo akili hamna kuweni huru ili Watanzania wote tushirikishwe kuisaidia hii nchi.

Kuna ule msema aliwahi kusema JPM. “Msifikiri kuwa weupe wanawapenda sana”pumzika kwa amani JPM
 
Hivi hizi hela zilizopangwa kwenye bajeti kisha zikabadilishiwa matumizi. Serikali haioni ni muda muafaka kupunguza pesa zilizoelekezwa kwenye miradi ya barabara, kikachotwa zinapelekwa kwenye kutoa ruzuku kwenye mfungaji wa mifumo ya gesi na vituo vya uuzaji gesi ili kuharakisha watu watumie gesi kisha fedha zinazotokana na kodi za gesi tunazirudisha kwenye miradi ya barabara. Nina uhakika kama tutatumia gesi tutaokoa matumizi ya pesa za kigeni na serikali itaongeza mapato na tozo yatakayo tokana na matumizi gesi. Kama serikali itakuwa na nia ya dhati bila siasa kuweka ruzuku kujenga gas station kuliko kuweka ruzuku kwenye mafuta harafu bei ya mafuta inapanda kila mwezi.
 
Back
Top Bottom