Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Mimi ni muumini wa dini ya Ukristo lakini nasema kutoka sakafu ya moyo wangu kuwa sheria za Kiislamu ndiyo suluhisho pekee na lakudumu la kupatikana kwa amani ya kudumu duniani kote.
Matatizo makubwa tunayopitia duniani yanatokana na kudharau matumizi ya sheria za Kiislamu badala yake kutumia sheria za kibabeli. Huo ndiyo ukweli ulio sahihi.
Karibuni tujifunze
Mimi ni muumini wa dini ya Ukristo lakini nasema kutoka sakafu ya moyo wangu kuwa sheria za Kiislamu ndiyo suluhisho pekee na lakudumu la kupatikana kwa amani ya kudumu duniani kote.
Matatizo makubwa tunayopitia duniani yanatokana na kudharau matumizi ya sheria za Kiislamu badala yake kutumia sheria za kibabeli. Huo ndiyo ukweli ulio sahihi.
Karibuni tujifunze