wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
- Thread starter
- #21
tunaishi separate bit these days lakini ukiongea naye na kumuuliza whatsup mbona kimya atakwambia ana mistari mingi na amerekodi tracks kadhaa,tatizo linabaki ni kwamba washikaji ambao walishakuwa mainstream hawako tayari kumbeleza dj apige joint yake na hawa presenters ni njaa na ukichukulia kile ni kizazi cha madj kama dj jdambao hawakuwa na longolongo....kimsingi mshikaji anasimama kwenye misingi ya kwamba kama you are talented sio tena kuanza kupita njia za kubembelezana na kupigiana magoti kama underground if you know what i mean.
Nashukuru sana mkuu kwa ufafanuzi wako maridhiwa na wenye mashiko ila kama kosa nikuhisi aibuu kurudi nakuwapigia magoti mapresenter wa sasa, basi naomba alifikirie hili swala marambili mbili ili tuipate ile ladha ya mziki mzuri
tunaishi separate bit these days lakini ukiongea naye na kumuuliza whatsup mbona kimya atakwambia ana mistari mingi na amerekodi tracks kadhaa,tatizo linabaki ni kwamba washikaji ambao walishakuwa mainstream hawako tayari kumbeleza dj apige joint yake na hawa presenters ni njaa na ukichukulia kile ni kizazi cha madj kama dj jdambao hawakuwa na longolongo....kimsingi mshikaji anasimama kwenye misingi ya kwamba kama you are talented sio tena kuanza kupita njia za kubembelezana na kupigiana magoti kama underground if you know what i mean.