Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Hivi nani hua anawafundisha hesabu za kijinga namna hii, kama ni rahisi hivi na wewe nenda ukawe mkaanga viazi basiWatu bado hamuelewi tu kwamba hizo ajira zisizo rasmi ndizo zenye pesa nyingi kuliko zilizo rasmi?
Hebu chukulia ananunua gunia la viazi kwa elfu 35 na mafuta ya elfu 20 anakaanga na kuuza hadi jioni anamaliza gunia lote anajikuta Ana Laki moja na nusu au na ishirini hivi (150/120) ukija kutoa hapo unakuta anabakia na zaidi ya elfu 50 mfukoni mwake.
Chukua hiyo pesa izidishe Mara 30(mwezi) utachokipata Njoo hapa tuambie ni mfanyakazi wa level gani analipwa pesa hiyo kama mshahara wa mwezi, utagundua kumbe maofisini tunapotezeana Muda tu.
Kweli mkuu kwa utaratibu huo kusingekuwa na masikiniHivi nani hua anawafundisha hesabu za kijinga namna hii, kama ni rahisi hivi na wewe nenda ukawe mkaanga viazi basi
Kikubwa ni kuheshimu na kuilinda pesa yako la sivyo hutaiona hata kama unapokea mamilioni ya pesa kwa mwezi...hapo kazini kwako Kuna mtu unapokea nae mshahara unaolingana lakini ukiangalia level za maisha yenu hazifanani kabisa.Hivi nani hua anawafundisha hesabu za kijinga namna hii, kama ni rahisi hivi na wewe nenda ukawe mkaanga viazi basi
Ujui kila kitu kina frame take na mfano accordingily..sasa apo.unajiongeza kwa kuboresha idea Tatizo liko wapiHivi nani hua anawafundisha hesabu za kijinga namna hii, kama ni rahisi hivi na wewe nenda ukawe mkaanga viazi basi
Naona hajazungumzia kodi ya anapouzia..gharama za nishati atakayotumia,kumlipa msaidizi,na Mara nyingi inategemea na eneo..wazo sio baya lakini sio rahisi kama anavyodhani.Hivi nani hua anawafundisha hesabu za kijinga namna hii, kama ni rahisi hivi na wewe nenda ukawe mkaanga viazi basi
Sio Deadbody anamsalimia?Suma G nimeishi nae sana kitaa Karakata miaka ya 1997-2006
Jamaa ni choka kuliko maelezo,namjua vizuri sana na yeye ananijua vizuri sana.Soggy dog alikuwa anambeba mpaka chumba cha kulala.
Maisha hayana formula,ukimuona mwambie Criss anamsalimia.
SioSio Deadbody anamsalimia?
Hadi humu kuna watu wenye hesabu za "karatasi na pen? " aisee unahasara ww na wanaokutegemeaWatu bado hamuelewi tu kwamba hizo ajira zisizo rasmi ndizo zenye pesa nyingi kuliko zilizo rasmi?
Hebu chukulia ananunua gunia la viazi kwa elfu 35 na mafuta ya elfu 20 anakaanga na kuuza hadi jioni anamaliza gunia lote anajikuta Ana Laki moja na nusu au na ishirini hivi (150/120) ukija kutoa hapo unakuta anabakia na zaidi ya elfu 50 mfukoni mwake.
Chukua hiyo pesa izidishe Mara 30(mwezi) utachokipata Njoo hapa tuambie ni mfanyakazi wa level gani analipwa pesa hiyo kama mshahara wa mwezi, utagundua kumbe maofisini tunapotezeana Muda tu.
We ulijua wote tunamajumba ya kifahari, tumezaliwa Familia bora, tumesoma sana na tuna kazi nzuri?Hadi humu kuna watu wenye hesabu za "karatasi na pen? " aisee unahasara ww na wanaokutegemea