Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji121]
WAKUU,
Kwa wajuzi wa Old Schooled Bongo Flava wanamtambua huyu JAMAA WA kuitwa SUMA G AKA MZEE WA VITUKO USWAHILINI, POMBE, TUNAJISALITI n.k.
Katika harakati zangu nimemwona jamaa mmoja anakaanga viazi mitaa ya Feri kafanana na Suma G karibia kila KITU.
Kwa kuwa sikuwa na nafasi ya kwenda kuongea naye kutokana na dharura yangu,
Nimebaki najiuliza -
Kweli SUMA G achome viazi Mtwara kweli?!?!
Kwa wenye info zake TUJUZANE WAKUU.
WAKUU,
Kwa wajuzi wa Old Schooled Bongo Flava wanamtambua huyu JAMAA WA kuitwa SUMA G AKA MZEE WA VITUKO USWAHILINI, POMBE, TUNAJISALITI n.k.
Katika harakati zangu nimemwona jamaa mmoja anakaanga viazi mitaa ya Feri kafanana na Suma G karibia kila KITU.
Kwa kuwa sikuwa na nafasi ya kwenda kuongea naye kutokana na dharura yangu,
Nimebaki najiuliza -
Kweli SUMA G achome viazi Mtwara kweli?!?!
Kwa wenye info zake TUJUZANE WAKUU.