Suma Lee atoa elimu nzito katika post yake ya msiba wa msanii Jebby

Suma Lee atoa elimu nzito katika post yake ya msiba wa msanii Jebby

Kama ni kweli ndivyo ilivyo inatafakarisha sana,lakini hakuna uhakika kama ndivyo au laa! Maana dini na imani zina maelezo yanayotofautiana kuhusu jambo hilo therefore hatujui yupi yupo sahihi.
 
How!!!hiyo idea ya kifo kaitoa wapi?usikute milungi imemlevya sasa ile stim yake akahisi inafanana na kifo!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Pumzika kwa amani Jebby

Tutakukumbuka kwa ngoma zako za kuelimisha

Swahiba feat selle
Marehemu kaacha orodha
Hype yangu (iliyokutoa)
Kabinti kamoja

Na shukurani za dhati kwa chorus nzuri uliyoipiga kwenye ngoma ya inspector haroun(pamba nyepesi).

Wote tupo njiani.
 
INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN
[HASHTAG]#JEBBY[/HASHTAG]

UNAVYO JIHISI KIFO.
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini. .

Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.
Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya" .
Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini. Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!
Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa. .

Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"

Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Allah ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
"Yaa Allaaaaah...
Yaa Allaaaaaah...
Nisamehe mimi
Yaa Allaaaaaah!!! .

Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai . .

Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri. .

Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya. .

Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki. .

Ewe Allah, usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.

Kaka na dada katika uislam,una chaguo mbili hapa:

#1.Uache ilimu hii hapa isomwe na hakuna kitakacho tokea.

#2.[HASHTAG]#TAg[/HASHTAG] Isambaze ilimu hii kwa marafiki zako,.na wote wengine.
In Sha Allah itakuwa na manufaa kwao, na wewe utafaidika.
Ameen.
NB😛ichani ni Suma lee akiwa na msanii mwenzake marehemu Jebby.View attachment 754546
Kweli uswahilini kuna vituko
 
Soud tu hizo.. Yaani anaelezea as if amewahi kupitia hizo hatua. Hii ni siri nzito ambayo mpaka ufe ndo utajua nini kitakutokea. Sasa hamna aliekufa halafu akarudi na kusimulia aliyoyapitia.
 
INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN
[HASHTAG]#JEBBY[/HASHTAG]

UNAVYO JIHISI KIFO.
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini. .

Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.
Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya" .
Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini. Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!
Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa. .

Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"

Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Allah ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
"Yaa Allaaaaah...
Yaa Allaaaaaah...
Nisamehe mimi
Yaa Allaaaaaah!!! .

Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai . .

Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri. .

Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya. .

Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki. .

Ewe Allah, usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.

Kaka na dada katika uislam,una chaguo mbili hapa:

#1.Uache ilimu hii hapa isomwe na hakuna kitakacho tokea.

#2.[HASHTAG]#TAg[/HASHTAG] Isambaze ilimu hii kwa marafiki zako,.na wote wengine.
In Sha Allah itakuwa na manufaa kwao, na wewe utafaidika.
Ameen.
NB😛ichani ni Suma lee akiwa na msanii mwenzake marehemu Jebby.View attachment 754546
je ikiwa umedondoka tu porini na hujafukiwa ukirudishiwa roho na kuamka vipi ukipiga kelele?? maana porini huzikwi utaoza had kuisha kabisa na kusalia mifupa.

Nadhani hii ni nadharia kifo ni siri nzito sana.
 
Pumzika kwa amani Jebby

Tutakukumbuka kwa ngoma zako za kuelimisha

Swahiba feat selle
Marehemu kaacha orodha
Hype yangu (iliyokutoa)
Kabinti kamoja

Na shukurani za dhati kwa chorus nzuri uliyoipiga kwenye ngoma ya inspector haroun(pamba nyepesi).

Wote tupo njiani.
Duh kumbe kwenye pamba nyepesi corpus ni yeye

Ndio mama inspecta kaimba pale

Jebby inspecta vugjvugu kuchaaa/
Wacha tulinge sie twang'alisha
Narukaaa mbaaali pembeniii vinywajii
 
je ikiwa umedondoka tu porini na hujafukiwa ukirudishiwa roho na kuamka vipi ukipiga kelele?? maana porini huzikwi utaoza had kuisha kabisa na kusalia mifupa.

Nadhani hii ni nadharia kifo ni siri nzito sana.
Dah....na vipi wale wanaochoma miili moto?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Soud tu hizo.. Yaani anaelezea as if amewahi kupitia hizo hatua. Hii ni siri nzito ambayo mpaka ufe ndo utajua nini kitakutokea. Sasa hamna aliekufa halafu akarudi na kusimulia aliyoyapitia.
Hayo mambo yoooote yameelezwa Kwenye vitabu, usifkiri kama ni maneno yametungwa au kifikiriwa, KUNA HABARI NZITO NDUGU YANGU BAADA YA KUFA, fanya mema, omba msamaha kwa mola wako NDUGU.
 
Back
Top Bottom