Kweli uswahilini kuna vitukoINNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN
[HASHTAG]#JEBBY[/HASHTAG]
UNAVYO JIHISI KIFO.
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini. .
Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.
Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya" .
Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini. Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!
Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa. .
Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"
Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Allah ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
"Yaa Allaaaaah...
Yaa Allaaaaaah...
Nisamehe mimi
Yaa Allaaaaaah!!! .
Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai . .
Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri. .
Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya. .
Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki. .
Ewe Allah, usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.
Kaka na dada katika uislam,una chaguo mbili hapa:
#1.Uache ilimu hii hapa isomwe na hakuna kitakacho tokea.
#2.[HASHTAG]#TAg[/HASHTAG] Isambaze ilimu hii kwa marafiki zako,.na wote wengine.
In Sha Allah itakuwa na manufaa kwao, na wewe utafaidika.
Ameen.
NB😛ichani ni Suma lee akiwa na msanii mwenzake marehemu Jebby.View attachment 754546
je ikiwa umedondoka tu porini na hujafukiwa ukirudishiwa roho na kuamka vipi ukipiga kelele?? maana porini huzikwi utaoza had kuisha kabisa na kusalia mifupa.INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN
[HASHTAG]#JEBBY[/HASHTAG]
UNAVYO JIHISI KIFO.
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini. .
Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.
Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya" .
Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini. Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!
Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa. .
Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"
Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Allah ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
"Yaa Allaaaaah...
Yaa Allaaaaaah...
Nisamehe mimi
Yaa Allaaaaaah!!! .
Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai . .
Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri. .
Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya. .
Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki. .
Ewe Allah, usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.
Kaka na dada katika uislam,una chaguo mbili hapa:
#1.Uache ilimu hii hapa isomwe na hakuna kitakacho tokea.
#2.[HASHTAG]#TAg[/HASHTAG] Isambaze ilimu hii kwa marafiki zako,.na wote wengine.
In Sha Allah itakuwa na manufaa kwao, na wewe utafaidika.
Ameen.
NB😛ichani ni Suma lee akiwa na msanii mwenzake marehemu Jebby.View attachment 754546
Alienda lini huko na kuja kuwasimylieni?Kumbe ndo kulivyo huko..
Mini maana ya kafiri?Makafiri
Umetoka na kitu gani hapo?Hili somo Kama una akili zako timamu,ukisoma kwa kutulia unatoka na kitu fulani hapa,Asante Kwa kutukumbusha.
Mkuu ni mwendelezo wa hekayaKwahiyo yeye alishawahi kufa na kurudi tena?
Au ndio tamthilia za kusadikika!
Duh kumbe kwenye pamba nyepesi corpus ni yeyePumzika kwa amani Jebby
Tutakukumbuka kwa ngoma zako za kuelimisha
Swahiba feat selle
Marehemu kaacha orodha
Hype yangu (iliyokutoa)
Kabinti kamoja
Na shukurani za dhati kwa chorus nzuri uliyoipiga kwenye ngoma ya inspector haroun(pamba nyepesi).
Wote tupo njiani.
daaah aiseee mi najionaga ni chizi sana humu ..ila kumbe mi ni mzima kabisa wa afya mpo ambao mmenizid aisee nimecheka sana aiseeKweli uswahilini kuna vituko
Dah....na vipi wale wanaochoma miili moto?je ikiwa umedondoka tu porini na hujafukiwa ukirudishiwa roho na kuamka vipi ukipiga kelele?? maana porini huzikwi utaoza had kuisha kabisa na kusalia mifupa.
Nadhani hii ni nadharia kifo ni siri nzito sana.
Soma vitabuKwahiyo yeye alishawahi kufa na kurudi tena?
Au ndio tamthilia za kusadikika!
Mungu hashindwi kufanya kitu chochote, JIULIZE ww amekuletaje huku DUNIANI ashindwe kukufufua tena upya na kakuhukumu kulingana na wema au makosa yako???Na wale wanaochomwa moto roho inarudishwa kwenye mwili gani??
Hayo mambo yoooote yameelezwa Kwenye vitabu, usifkiri kama ni maneno yametungwa au kifikiriwa, KUNA HABARI NZITO NDUGU YANGU BAADA YA KUFA, fanya mema, omba msamaha kwa mola wako NDUGU.Soud tu hizo.. Yaani anaelezea as if amewahi kupitia hizo hatua. Hii ni siri nzito ambayo mpaka ufe ndo utajua nini kitakutokea. Sasa hamna aliekufa halafu akarudi na kusimulia aliyoyapitia.
Vingapi vikubwa mungu kafanya ashindwe jambo hili dogo.!!!!!!!???Stori zingine bwana kwaio hao malaika wanamkalisha kivipi wakati mtu amelazwa chini ya ardhi na kuna udongo...