Sumbawanga: Mfanyabiashara azikwa akiwa hai

Acha ubishi ushayasikia haya matukio pwani au zanzibar
Jinga kweli wewe,Bagamoyo ,Tanga wanakofutanuchawi ni Burundi? Huwa unatunza rekodi? Umewahi isikia Rukwa kwenye Mikoa inayoongiza Kwa matukio ya mauaji?
 
Jinga kweli wewe,Bagamoyo ,Tanga wanakofutanuchawi ni Burundi? Huwa unatunza rekodi? Umewahi isikia Rukwa kwenye Mikoa inayoongiza Kwa matukio ya mauaji?
Acha ubishi basi huko mbeya tena kuna katekista kazikwa akiwa hai damn.......
Ukatili wa bara huu utaisha lini??? Mimi wa bara lakini najiuliza tu.
 
Ndio maana adhabu ya kunyonga ikawekwa na sheria yake haijafutwa hadi leo...

Yaani 1.8mil ndio ya kuua mtu kweli!!
 
Ndio maana adhabu ya kunyonga ikawekwa na sheria yake haijafutwa hadi leo...

Yaani 1.8mil ndio ya kuua mtu kweli!!
Laiti ningekuw Rais kuna Kesi aisee wakihukumiwaa Kunyongwaa ni faster nasainii wakale kitanzii...!! Watu kama hawa ni kunyongaaaaa hadharani tena.
 
Wapumbavu hao, watavuna uovu wao
 
Kuna mambo wakati hufanywa na binadam akili sijui huwa imehama kichwani inaenda wapi? Baada ya tukio ndipo hurejea na majuto huchukua nafasi

Hivi kweli 1.8mil mtu 3 bado mnabaki hapo hata akili ya kusema ukimbie haipo na sijui unawaamini vp mliofanya nao tukio la kinyama kama hilo?
 
Tujitahid kuwapiga vita maadui wakubwa wa taifa 🇹🇿 LETU ambao ni UJINGA, UMASKINI NA MARADHI...

Unaua mtu Kwa 1.8 bila kufikiria impact zake...basi ni bora wange timiza azma Yao bila kuacha any doubt 🤨 but it's not allowed.......

UMASKINI, UJINGA NA MARADHI ndio maadui wetu wakuu na Kila mmoja wetu Kwa nafasi yake tujitahid kuwapiga vita
 
Moyo wa mtu ni kiza kinene na daima kikulacho ki nguoni mwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…