Pole sana mfugaji kwa kupata hasara ya vifaranga. Nitakuelekeza jinsi ya kuwamaliza hao paka japo ni ukatili lakini hao paka ni makatili zaidi na wanakutia umasikini na umelalamika muda mrefu sana hapa jamvini. Najua jinsi gani mtu anavyohangaika miezi takribani sita mpaka kifaranga awe kuku kamili kwa hawa wa kienyeji na ni hasara kiasi gani unapata.
Tafuta hawa jamaa wanaotembea na baiskeli au kwa miguu wanakuwa na spika wanatanganza wanauza dawa ya panya. Waambie wakupe dawa ya kuulia panya ile ya chenga chenga nyeusi kama mbegu za mchicha. Chukua hizo chenga chenga changanya na samaki waliopikwa kwa kufinyanga kama mtu anavyofinyanga unga wa ngano wa kupikia maandazi/chapati. Hakikisha huo mchanganyiko umechanganyika vizuri. Mchanganyiko ukiwa tayari tega sehemu salama ambayo mtu au mbwa/kuku wako hata fika. Pia angalia kunguru wasijebeba wakadondosha kwenye banda lako la kuku au sehemu ambayo wanyama wasiokusudiwa wanaweza kula.
Ila kama huna roho ngumu usijaribu acha kabisa kwani ni paka wachache sana waliokula huo mchanganyiko watakoweza kufikisha hatua 20 tokea sehemu waliyolia hiyo sumu. Pia jiandae na kesi kwa majirani kama na wao wanafuga paka kwani huo mchanganyiko ni balaa na hauchagui huyu paka mwema au huyu pak jizi wote safari itawakuta ilimradi tu wamekula huo mchanganyiko.
Tafuta hawa jamaa wanaotembea na baiskeli au kwa miguu wanakuwa na spika wanatanganza wanauza dawa ya panya. Waambie wakupe dawa ya kuulia panya ile ya chenga chenga nyeusi kama mbegu za mchicha. Chukua hizo chenga chenga changanya na samaki waliopikwa kwa kufinyanga kama mtu anavyofinyanga unga wa ngano wa kupikia maandazi/chapati. Hakikisha huo mchanganyiko umechanganyika vizuri. Mchanganyiko ukiwa tayari tega sehemu salama ambayo mtu au mbwa/kuku wako hata fika. Pia angalia kunguru wasijebeba wakadondosha kwenye banda lako la kuku au sehemu ambayo wanyama wasiokusudiwa wanaweza kula.
Ila kama huna roho ngumu usijaribu acha kabisa kwani ni paka wachache sana waliokula huo mchanganyiko watakoweza kufikisha hatua 20 tokea sehemu waliyolia hiyo sumu. Pia jiandae na kesi kwa majirani kama na wao wanafuga paka kwani huo mchanganyiko ni balaa na hauchagui huyu paka mwema au huyu pak jizi wote safari itawakuta ilimradi tu wamekula huo mchanganyiko.