Sumu ya mwanamke ni mwanamke mwenzie

hata kwa wanaume dawa ya moto ni moto
 

Mwambie mkuu tena kisasi cha mwanamke ni kibaya sana
 
Mhh! Inategemea na ntu na ntu rafiki wapo wanaotishiwa nyau na wanaweweseka lakini wengine utaweweseka wewe
 
!
!
hakuna cha sumu wala nini!...its all about fate, kama wako ni wako tu na kama sio hatakuwa hata uzikili uch
i
 
hata kwa wanaume dawa ya moto ni moto

Sio kweli, mwanaume anaweza kuoa wanawake hata 300 kama mfalme Daud lakini kamwe mwanamke hawezi kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja hata wewe unalijua hilo !
 
Sio kweli, mwanaume anaweza kuoa wanawake hata 300 kama mfalme Daud lakini kamwe mwanamke hawezi kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja hata wewe unalijua hilo !

mmmmh sijabisha lakini coz wapo watu wanamioyo ya makaa ya mawe sjui
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…