sumu ya ndoa ni ...

sumu ya ndoa ni ...

Sumu ya ndoa ni kutoa siri zenu nje kwa watu ama kuomba omba ushauri wa matatizo yenu kwa watu
 
Sumu ya ndoa ni kujiona wewe ndio una haki siku zote na mwenzio ndo mwenye mapungufu au ndio anakosea
 
1. Kuoa kwa kuchaguliwa/kuunganishiwa na washikaji/rafiki kwa vile ya udhaifu wako wa kuapproach
2. Wazazi wa mume au mke kuwa na sauti ndani ya ndoa.
3. Kipato duni.
4. Kuoa mwanamke ambaye hobby haziendani unacheza golf yeye yuko bar.
 
1. Kuoa kwa kuchaguliwa/kuunganishiwa na washikaji/rafiki kwa vile ya udhaifu wako wa kuapproach
2. Wazazi wa mume au mke kuwa na sauti ndani ya ndoa.
3. Kipato duni.
4. Kuoa mwanamke ambaye hobby haziendani unacheza golf yeye yuko bar.

Mpwa hiyo red ni kwa watu wa mujini. Kule kwetu mndeni hiyo wala haiangaliwagi. Aftaroo mama ndo mtafutaji mkuu wakati mdingi akienda kupiga busa.
 
Sumu ya ndoa ni pale Mtoto wa kwanza anapozaliwa na mama anahamisha mapenzi yote na care kwa baba na kupeleka kwa mtoto.
 
Mpwa hiyo red ni kwa watu wa mujini. Kule kwetu mndeni hiyo wala haiangaliwagi. Aftaroo mama ndo mtafutaji mkuu wakati mdingi akienda kupiga busa.

ha ha ha comment kwenye ya kwanza.
 
Kutoheshimiana mkiwa wenyewe au hata mbele za watu, kutomjali mwenzio, kumsimanga kila kukicha nimekufanyia hili nimekufanyia lile, kumnyima uhuru wa mambo fulani fulani ambayo hayahusiani na kumegwa au kumega nje (kwa mfano Bongo wanaume wengi hawawaruhusu wake zao kuwa na simu za mkono). Kupekuanapekuana kila dakika ili kuhakikisha hamegi au hamegwi kwa mfano kuchunguza simu zote zinazoingia na kutoka au text messages.

aah mzee wa copy and paste fuata maelekezo bana jibu liwe mstari mmoja tuu wewe unajaza mamistari kibao aaah
 
Sumu ya ndoa ni uongo na unafiki. Ukweli utakapodhihiri, amani ndani ya nyumba itatoweka.
 
- sumu ya ndoa ni kutokuwa na mahusiano nje ya ndoa

- sumu ya ndoa ni pale mahusiano ya nje ya ndoa yanapofahamika

- sumu ya ndoa ni kuongezeka pato la pesa la ghafla (ufisadi,uuza unga, e.t.c) kwa mmojawapo

- sumu ya ndoa ni mwanaume kumbembeleza sana mke

- sumu ya ndoa ni kusifiana sana in "public"
 
Sumu ya ndoa ni NDOA YENYEWE!

Umeniwahi, sumu ya ndoa ni ndoa, unapotaka kuli-institutionalize penzi unali prostitute na kuli devalue kiasi linakuwa a charade na kupoteza maana yake natural.
 
Quiet!!! sijui ulitaka nini ingawa nilijaribu kusema sumu ya ndoa ni ndo yenyewe.. sababu ni kwamba ndo haiji frrom the sky; ndoa ni zao la mapenzi, na ndoa inatokana na mlolongo wa matukio ya kimapenzi yaliyopanda mbegu ya ndoa... kwa hiyo depending on how you look at it, sumu ya ndoa inaweza kuwa yafuatayo

  • pretendence - mtu ana-fake mahusiano kwa sababu tu ya kuachieve kitu
  • umaskini - mara nyingi tunafanya maamuzi kutokana na mazingira yaliyomo tu na mara nyingi yanakuwa limited
  • mabadiliko ya kitabia
  • wivu
  • choyo
  • ndugu wasiotakia mema
  • elimu
  • magonjwa
  • ushirikina
nk
 
Quiet!!! sijui ulitaka nini ingawa nilijaribu kusema sumu ya ndoa ni ndo yenyewe.. sababu ni kwamba ndo haiji frrom the sky; ndoa ni zao la mapenzi, na ndoa inatokana na mlolongo wa matukio ya kimapenzi yaliyopanda mbegu ya ndoa... kwa hiyo depending on how you look at it, sumu ya ndoa inaweza kuwa yafuatayo

  • pretendence - mtu ana-fake mahusiano kwa sababu tu ya kuachieve kitu
  • umaskini - mara nyingi tunafanya maamuzi kutokana na mazingira yaliyomo tu na mara nyingi yanakuwa limited
  • mabadiliko ya kitabia
  • wivu
  • choyo
  • ndugu wasiotakia mema
  • elimu
  • magonjwa
  • ushirikina
nk

Pia,

Ndoa inaleta unrealistic expectations.Kuna research ilifanywa marekani na kuonesha kuwa watu waliokuwa wakiishi pamoja bila kuoana kwa miaka mingi bila tatizo walikuwa wanaachana miaka michache tu baada ya kufunga ndoa.

Sababu ni kwamba walipokuwa wanaishi pamoja tu, kila mmoja alijua mlango uko wazi na yeyote anaweza kuondoka muda wowote, mapenzi hayakuwa yanalazimishwa na kiapo cha ndoa.

Walipokuja kuoana kuna all types of expectations, na mnatakiwa muwe pamoja "happily ever after" hata kama hazipandi, mapenzi yanalazimishwa kwa kiapo cha ndoa na hivyo yanakuwa si natural, hili mwishowe linaweza kabisa kuua ndoa.

Hence sumu ya ndoa ni ndoa yenyewe.
 
Sumu ya ndoa mwanaume kuwa bahili na pato lake.
 
Sumu ya ndoa mwanaume kuwa bahili na pato lake.


This is passive reverse Chauvinism, and it doesn't do justice to neither Chauvinism nor Feminism.

Kwa nini unamsema mwanamme tu? Unataka kutuambia unaamini mwanamme ndiye aliye katika position ya kutoa na mwanamke ya kupokea fedha?
 
Sumu ya ndoa ni mwanandoa kujivinjari na shemeji mtu.
Sumu ya ndoa ni rafiki yako kujivinjari na mwanandoa wako.
 
Sumu ya ndoa ni kipato cha mwanaume kuwa cha wote na wakati huo huo kipato cha mwanamke kuwa cha mwanamke mwenyewe
 
Back
Top Bottom