Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
- Thread starter
- #41
Kazi za hovyo sana. Nasikia hata yule aliyemuua Sokoine mwisho wake haukuwa mzuri. Hata alemhitmen wa magufuli ukiacha Makonda yawezekana hawapo haiKazi ya ujasusi bna, sijui kama huwa wanaenjoy life hawa jamaa.
Muda wote wanaishi kimachale, macho juu juu