MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
πππ sekand wevuMzee akapimwe Corona kwa kutumia kipimo kipya.
Na lile shati pale golini uliliona?juzi guinea wanasawazisha goli la pili si ndio huyo mwamnyeto alikuwa ana ng'aa sharubu? au sio yeye?
Tunabonyeza namba ngapi?.Amesema ukweli,Mwamnyeto ukimweka Real anakichafua na Ramos vizuri sn
Mwamnyeto?Mchezaji wa zamani Tanzania akifanya mahojiano na mtangazaji Patrick Nyembera amesema timu ya taifa ya Uingereza ina kikosi kizuri hata kuweza kuchukua kombe la dunia lkn inakosa mchezaji mzuri wa nafasi ya ulinzi. Manara alienda mbali zaidi na kudai endapo timu hiyo ingepata mchezaji mzuri aina ya Mwamnyeto basi ingekuwa na uwezo mkubwa wa kuchukua kombe la dunia la mwaka 2022.
wala sio sekand hichi kingine kimeshageuka......πππ sekand wevu
Bonge la shati limeanikwa kwny mpini.Na lile shati pale golini uliliona?
Wivu unakusumbuaMwamnyeto huyu huyu !!?
..Afadhali hata mwanawe Haji anaongea vitu vya maana.
Dah...Mchezaji wa zamani Tanzania akifanya mahojiano na mtangazaji Patrick Nyembera amesema timu ya taifa ya Uingereza ina kikosi kizuri hata kuweza kuchukua kombe la dunia lkn inakosa mchezaji mzuri wa nafasi ya ulinzi.
Manara alienda mbali zaidi na kudai endapo timu hiyo ingepata mchezaji mzuri aina ya Mwamnyeto basi ingekuwa na uwezo mkubwa wa kuchukua kombe la dunia la mwaka 2022.
Mzee yuko soo detached na reality. Sijui hata kama anaamgaliaga hata vpl mara kwa mara.Mzee apumzike tu
Dogo beki yule..ila sio pembeni umpange na yule anaecheza nae au majogolo...we unadhani messi akija ligi ya bongo atakua messi yule!!!?mi nimeongea mara nyingi sana kwenye hili jukwaa: mwamyeto ni kwamba ana nyota ya kupendwa tu lakini hatuna beki pale