MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mchezaji wa zamani Tanzania akifanya mahojiano na mtangazaji Patrick Nyembera amesema timu ya taifa ya Uingereza ina kikosi kizuri hata kuweza kuchukua kombe la dunia lkn inakosa mchezaji mzuri wa nafasi ya ulinzi.
Manara alienda mbali zaidi na kudai endapo timu hiyo ingepata mchezaji mzuri aina ya Mwamnyeto basi ingekuwa na uwezo mkubwa wa kuchukua kombe la dunia la mwaka 2022.
Manara alienda mbali zaidi na kudai endapo timu hiyo ingepata mchezaji mzuri aina ya Mwamnyeto basi ingekuwa na uwezo mkubwa wa kuchukua kombe la dunia la mwaka 2022.