King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Dah hii habari ya huyu mdada imesambaa kwenye wasap kila mahali kuwa alikuwa kwa mchepuko Mungu amlaze sehemu anayo staili
Dah hii habari ya huyu mdada imesambaa kwenye wasap kila mahali kuwa alikuwa kwa mchepuko Mungu amlaze sehemu anayo staili
Nilikuwa napitia blog ya le mutuz ndio nimeona hiyo habari alikuwa mtoto makare mteketeke!
Jamani umbea bila picha hausisimui jamanii warumi
Kwani razima ufatirieeee
hamna sio mchepuko wake ni kaka ake nilivyosikia
walikua wanatoka harusini
kuna rafiki yangu ni majirani zao
Ajali ilitokea dar? msiba upo wapi? kwenye gari walikuwa wao wa2 au na ndugu zao wengine?
Ajali imetokea Geita, gari lao limegonga jiwe kubwa.
hamna sio mchepuko wake ni kaka ake nilivyosikia
walikua wanatoka harusini
kuna rafiki yangu ni majirani zao
razima- ni lazima
Ufatirieeee- ni ufatilie
Rudi shule
Sawa mwalimu mkuu wa shule ya msingi.
so kutumiwa picha akiwa mochwari unaona sifa???......daahh kweli shule muhimu jamani......nawaonea huruma wazazi na walimu wakoMy dear....iko ivi huyo dada alikua na mchumba wake ndio wamepata wote ajali,tho alikua na bwana mwingine lakini walishaachana kama miezi minne ivi iliyopita ila aliyepata nae ajali ndie aliyekua nae kwa sasa...anazikwa leo kahama yote haya kanieleza rafiki yangu amabaye ni cousin yake pia kanitumia picha yake akiwa monchwari!!!"Ni hatari