King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu,
Super model wa tangazo la Darling Hair afariki dunia kwa ajali ya gari,ilikuwa zimebaki siku chache afunge ndoa alimuaga mchumba wake kwamba anasafiri kutembelea ndugu kumbe alikuwa kwa mchepuko wake bahati mbaya wakati wa safari walipata ajali na wote wawili kufariki dunia,mchumba wake haamini kilichotokea.
Chanzo: Le Mutuz Blog.
Super model wa tangazo la Darling Hair afariki dunia kwa ajali ya gari,ilikuwa zimebaki siku chache afunge ndoa alimuaga mchumba wake kwamba anasafiri kutembelea ndugu kumbe alikuwa kwa mchepuko wake bahati mbaya wakati wa safari walipata ajali na wote wawili kufariki dunia,mchumba wake haamini kilichotokea.
Chanzo: Le Mutuz Blog.