Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
nimempigia babu simu kuiwa MCC 3 - AZAM 2
dakika ya ngapi sa hivi
Hureeeeerer....
yanga kileleni
Huku Mbande mpira umeisha
Azam 3 - 3 Mbeya City
Yangq vipi jamani
Mbeya City hawana uwezo wa kuwavimbia Azam, watapigwa kama wamesimama.