Super Thursday: Azam Fc vs Mbeya City Fc

Game overrrrrrr! How i admire MBEYA CITY!..... ila azam ndo chama kubwaaaa
 
Huku Mbande mpira umeisha

Azam 3 - 3 Mbeya City
 
Hivi hawa Mbeya City si ndo Julio alidai watashuka daraja?
 
Yanga yanga yanga mbeya city mcc mcc daa hizi timu raha
 
Bahati yao hawa wauza rambaramba dadeki. Wakienda Mby lazima wapakatwe.
 
Hureeeee,Dadi saana mbeya city my home team,but timu ya wananchi ileeee kileleni.
 
Tunashukuru sana Mbeya city Fc,mmejitahidi sana,turudi nyumbani tuklajipange kwa raundi ya pili.
Pole sana Ndetichia kwa presha ulioipata kutoka kwa watoto wa Mbeya city.

Runawakaribisha mashabiki kuipa sapoti Mbeya city Fc,karibuni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…