Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Leo ndio leo asemaye kesho muongo. Leo ndio siku ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu.Ni mechi ya kukata na shoka,ni mechi itakayoamua nani awe kileleni mwa msimamo au wote watabaki nafasi ya pili na ya tatu kama watatoka droo na Yanga wakashinda.
Timu zote mbili hazijafungwa mpaka leo hii wanaingia uwanjani kukamilisha mechi za mzunguko wa kwanza.wote wana pointi 26 on top of the table wakitofautiana uwiano wa magoli ya kufunga na kufungwa.Yanga atakuwa anaomba mechi hii iishe kwa droo na yeye ashinde ili akae juu kwenye msimamo wa ligi.
Hii itakuwa mechi ya timu yenye vipaji,kiu ya mafanikio na support kubwa ya fans (Mbeya City) na timu isiyo na shida,wenye kiu ya ubingwa ( azam Fc). Mwisho wa siku aliyejipanga vizuri ataibuka na matoke mazuri.
Binafsi nawatikia ushindi Mbeya City Fc.
Timu zote mbili hazijafungwa mpaka leo hii wanaingia uwanjani kukamilisha mechi za mzunguko wa kwanza.wote wana pointi 26 on top of the table wakitofautiana uwiano wa magoli ya kufunga na kufungwa.Yanga atakuwa anaomba mechi hii iishe kwa droo na yeye ashinde ili akae juu kwenye msimamo wa ligi.
Hii itakuwa mechi ya timu yenye vipaji,kiu ya mafanikio na support kubwa ya fans (Mbeya City) na timu isiyo na shida,wenye kiu ya ubingwa ( azam Fc). Mwisho wa siku aliyejipanga vizuri ataibuka na matoke mazuri.
Binafsi nawatikia ushindi Mbeya City Fc.