Superman son is bisexual

Hizi sababu umezitoa wapi?Kuna sehemu kwenye mwili wa mwanaume imeandikwa lazima uzalishe??
Lakini saivi mbona nchi nyingi zinahangaika Na overpopulation ikiwemo Tanzania?
hii dunia n kubwa sana kuna sehemu kibao hakuna watu wakuishi,hizo ni sababu za kibinadamu tu ili kuchochea dhambi,jiulize je ingekuwa watu hawafi duniani tungekuwaje sasa maana unasema over population,mungu ana control uzazi na kifo soo ya ngoswe muuachie ngoswe
 
napinga ushoga kwa sababu inakwenda kinyume na lengo la mungu,napo zungumzia mungu siusishi dini maana mungu ndo aliyeiumba hii dunia,na dini imekuja baada ya dunia kuumbwa
Huyo Mungu ulimjuaje bila Dini? Nje ya Dini Hakuna Mungu, Dini ndo zilimleta Mungu Na sio kinyume chake,...

Maana nje ya maandiko yako ya Dini Hakuna ushahidi wowote unaopelekea Kuwa huyo Mungu inawezekana akawepo
 
Bado sio sababu ya kumlazimisha mwanaume mtu mzima azae
 
Kwanini ushoga Ni mbaya...taja point 2 zisizohusisha Dini(5 marks)
Mzee kwa mtaro wako kufukuliwa unapata madhara yafuatayo...
A) misuli ya kubana kinyesi inalegea hvo muda wowote ukibanwa km upo mbali na choo unaweza jinyea
B) kuoza na pia kunuka kwa maelezo zaid nenda hospitali kawaulize wale madokta walowah washona nyuzi watoto na wanawake walofirwa
C) kukosa kujiamini km mwanaume, yakupasa kujua kuwa kujiamin ni hulka ya kila kiumbe cha kiume hata kwa vile vicvyoamin ktk dini
D) pia ni ufala mwanaume kumbonyokea mwanaume mwenzako ili akufukue... Acha ufala we mwehu
E) etc
 
A)Nadhan Kuna Dawa wanatumia misul inarudi
B)hii Sasa Ni Kwa wasiojijali kma dem ambaye hajioshi k anaweza kuoza Na fungus
C)Mbona kina P. Diddy, Tyson wanajiamin..Na Kuna gays wanagombea mpaka ubunge Na kuna wanaume wa kawaida Ni waoga kinoma
D)Ufala Kwa misingi ipi?
 
Umemaliza mjadala.Umetoa point za maana.Mtu na akili zake,ainame mwenzake amchokonoe nyuma.Huo ndio upumbavu wa mwisho kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini ushoga Ni mbaya...taja point 2 zisizohusisha Dini(5 marks)
1. Mahusiano ya kishoga yanamaanisha mwisho wa civilization as we know it. Kwanza itapunguza uzao kwa maana watu watakuwa hawazaliani kama vile inavyotakiwa na hivyo kuna jamii zitaathirika san.

2. Ushoga ni matokeo ya childhood traumatic upbringings. Fuatilia mashoga wengi kwa umakini halafu uchuze makuzi yao, majority ni dosari za ukuaji ambazo zimeathiri ukuaji wa mtoto eneo la kujitambua majukumu na wajibu wa kijinsia. So kuside au kungana mkono na mashoga inabidi tuunge mkono na makundi mengine wenye childhood traumatic issues kama pedophiles, rapists, serial killers, narcissist, etc.

3. Practice ya ushoga ni same na ile practice mnaita kula jicho au kwa mpalange ambayo kwa sasa inafanywa sana hapa bongo. Kile kitendo kina haramishwa sababu kipo against safe sexual intercourse ya normal organs.

Huko nyuma ni discharge point ya taka mwili kali ambazo zinakiwango kikubwa sana cha bacteria na virus ambao kwa bahati mbaya au makusudi wakigusa maeneo mengine ya mwili ambayo yanahusiana na damu kunaweza sababisha maambukizi ya maradhi yasiyo na tiba na yenye madhara na hata kifo. Jiulize why miaka hii kuna STDs nyingi sana kama UTI, Herpes, HPV ya Genital warts, syphilis, PID. Haya ni machache sana ila yapo mengi ambayo yatakuja.

4. Its an hygiene practice. Wanasema mapenzi ni uchafu ila sio to that extent. Sidhani kama umeshawahi kujua kinachotokea kwa anae shiriki haya mambo, vyovyote vile iwe mwanaume au mwanamke.

Ile njia ya chini inapokuwa disturbed kuna pressure huwa inafanya ndani kureact na hivyo kuna maji huwa excreted au niseme discharged by linings za kuta za ile njia kwa ndani na kumfanya muhusika kuwa na hali ya kutoa uchafu sawa na choo cha kuendesha/kuharisha. Hii si nzuri. Nitakupa mfano siku moja kuna dada aliahibika kwenye daladala maana alikuwa akitoka hizo vitu ilibidi asitiliiwe kwa kushushwa kwa kifupi daladala iilienda carwash.

5. Spiritually ni tatizo. Sababu kama nilivyo kuelezea katika point namba 2 pale kuwa hawa watu wanakuwa na mental issues and therefore wanahitaji msaada wa haraka sana wa kiakili.
But kwa sababu sizizojulikana ila kama kawaida ya wazungu wameamua kuwa tuwakubali kama ni sehemu ya wanajamii walioshindwa kupambana na mental illness zao.

Na kwasababu hawaui wala kudhuru mtu kama victims wengine wa mental illness kama pedophiles, rapists, serial killers etc then basi hawa wanaachwa sababu jamii ikiwarudi kuna kuwa na matukio ya kujiua au kujidhuru sababu jamii inashindwa kuelewa vita au mnaso walionao kichwani kupambana na hili tatizo la kiakili.

Therefore, kiroho na kinafsi mtu ambaye anakubali kuingiliwa kinyume na maumbile huvunjika zaidi beyond repair na ni ngumu kurejea tena spirit yake ya awali ya ukamili.

Mwanaume akishafanyiwa ule uchafu huwa hawezi tena kuwa kiongozi kwa nafsi yake na pia kwa jamii na hii ni hatari sana kwa maendeleo ya jamii na kizazi sababu wanaume viongozi wanapotoweka then maadui kitoka Jamii zingine ni rahisi sana kushambulia wanawake na watoto na kuwafanya wanavyotaka ikiwamo kutumia rasilimali za jamii husika.

6. Ushoga sio tamaduni au mfumo wa binadamu au hata wanyama bali ni tatizo la kiakili. Kama haumani tazama tena watu wanofanya ushoga wanaanza kuiga mfumo ule ule walioupinga wa kibinadamu kwa m'moja kujifanya mwanaume mwingine mwanamke ( imagine wanaishi kwa kupretend na kuimagine kama vile watoto wanavyoigiza kuwa madaktari, maiinjinia, mapolisi kwenye michezo yao ya utoto),wanaigiza kuwa na familia ila kwa kuadopt watoto wa wengine, au kwa kupandikiza mbegu kwa surrogates, lakini pia wanataka jamii iwakubali kushare mfumo wao kuwa halali hadi kwenye imani jambo ambalo inastaajabisha sana kwamba kama wewe umeamua kuishi nje ya utamaduni wa binadamu wa kawaida ikiwamo imani zao why sasa unaforce wakukubali na wakuingize katika vitabu vyao, why usitengeneze vitabu vyako na kanisa au msikiti wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu si ni ufala jamani.

Anyways hizi ni sababu chache sana kati ya nyingine nyingi. Kama haujaridhika niulize maswali nitakujibu. Mimi siamini katika kugombana bali katika kuelimishana na kuonyeshana ukweli kwasababu si kila mtu amekuwa na bahati ya kuzaliwa mazingira ya kuelewa maisha au si kila mtu ana bahati ya kupata malezi mazuri ya maadili na kukua salama kama wengine.
 
👏👏Nice
 
1. Hizo ndizo changamoto zinazokuja na hivyo ni viashiria vya tunapokwenda. I mean kama mwanaume anaweza kumla mwanamke huko hawezi shindwa mla mwanaume mrembo mwenye muonekano soft wa kike. So hii ni changamoto ya kiakili sawa kabisa na mtu mzima ambaye akiona kitoto cha kike cha miaka 7 ,5, 4 au 3 kikamsisimua kihisia na kutaka kukiingilia. Haya ni matatizo ya akili.

2. Sehemu ya mwili kuwa na nerves za kukufanya kusisimka haimaanishi kuwa ni kaajiri ya kufanyia ngono zako. Kumbuka huo ni mfumo wa hisia na mguso hizo nerves ni sehemu ya mfumo wa umeme uliosambaa sehemu nyingi mwilini.

Nitakupa mfano, sikio lako kwa ndani lina hizo nerves, kuna muda likiwasha ukichukua pamba stick au unyoya wa kuku na kutumia kujipekecha au kujikuna unapata utamu ambao una elements za sexual pleasure. Kwenye ngozi yako tu hapo mfano ukawa na muwasho mgongoni kukiwa unakunwa au kujikuna unapata hali fulani ya raha sana. Hata kichwani mwako kuna kifaa fulani kinafanana na egg bitter , mtu akikukuna nacho kichwani unapata utamu sana, hivi hutumika kuwatuliza watoto wanapolia hadi wanalala.

Hata jicho lako usoni likiwasha ukiwa unalifikicha unapata utamu. Hii yote ni zile nerves zinapeleka taarifa ya msisimko kwenye ubongo kwa sababu maalumu nje ya kingono. Vivo hivyo, kwenye maumbile ya nyuma na mbele hizo nerves zipo ili kufanya muscles ziweze kurespond. Mfano unapokojoa mkojo uliokubana muda mrefu hizo nerves huwa zinarespond pia.... Au unapokuwa unakata gogo huwa zinarespond ili kuamrisha misuli ifanye kazi husika kulinga na functions za ubongo na mwili.

So futa huo ujinga kichwani kuhusu sijui lile eneo kuwa na utamu kwaajiri ya kufanyia starehe. Futa futa futa.

3. Akili ya kawaida ndio kwa kiingereza tunaita "common sense". Ni common sense kwa wanadamu kuhusiana mwanaume na mwanamke na si kinyume sababu ya miaka na miaka ya kuprove hilo. Si kwamba sisi ni wa kwanza kuanza kutaka kujaribu huo ufala. Bible na Qur'an ni vitabu vinavyoitwa vitakatifu sababu vimebeba maono na experience za miaka elfu. It means wewe mtoto mdogo sana kubishana na hekima iliyohifadhiwa katika vitabu hivi simply tu kwasababu umezaliwa miaka hii ya kizazi cha raia wasio kwenda kwa utaratibu na kujifanyia yale wanataka sababu akili zao zinawashinda nguvu.

Elewa jambo moja, ukitaka uishi unavyotaka itakulazimu udesign mfumo wako wa pekee ambao utakufanya uishi kwa upweke sana. Na ukiishi vile inatakiwa hautakuwa na kazi sababu jamii tayari imeshaweka mifumo rasmi inayoamua wewe kwa matendo yako mazuri utakuwa rewarded nini na wapi na wakati gani, ukihasi mifumo hii then wewe maisha yako yote utaishi ki fugitive kwasababu utakuwa hauna protection wala radhi kwa jamii unayotoka.

Mifano ipo mingi, ukiwa mlevi, ukiwa malaya, ukiwa kahaba, ukiwa msaliti wa ndoa, ukizaa na kuzini kabla ya ndoa, haya yote ndio yameleta hizi complications zinazoanza kuturudisha nyuma kimaendeleo badala ya kusonga mbele.

Rejea vitabu vya MUNGU tafuta ukweli acha kujitoa ufahamu mdogo wangu. Pia pole kwa kutokuelewa dunia ni pahala gani maana upofu wa kiimani ndio mwanzo wa kutetereka na kuanguka.

Nakupenda ndio maana nahangaika kukuandikia haya yote ili usipotee.
 
Kwanini unawangizia uume wako wanawake? 2 reasons
Kwani wewe jinsia gani?uume unaingizwa kwa wanawake ili kwanza #1 Kupata raha na #2 kupata watoto.

Acha kujitoa ufahamu hayo makalio hukupewa wanaume wenzako waje wayashike shike.
 
1. For now civilizations nyingi Zina suffer overpopulation...mayatima wanazidi kuongezeka Hakuna wa kuwaadopt.resources zinazidi kupungua Na watu wanaongezeka 80% ya watu duniani wanaishi under poverty relative/absolute...kwahyo Sidhan kama ushoga Ni threat Kwa civilization kama ilivyo vita,magonjwa,njaa,Umaskini,calamities etc.
2.Una evidence au statistical research data that proves your claim?Mimi siwajui mashoga lakini such a statement kutoka kwako kuongelea mamilioni ya mashoga duniani wakati Sidhan kama personally unajua mashoga Zaidi ya watano Ni sheer ignorance.
3.okay Sasa kwanini kufanya Kwa mpalange Kwa wanawake imekuwa normal hapa bongo Na ushoga unapigwa vita?huoni kama Ni hypocrisy wachague moja...then kuhusu STDs kumbuka hata normal vaginal penetration inaleteleza STDs kuongezeka Kwa STDs Ni kwasababu global population imeongezeka hivyo mathematically lazima STD cases ziongezeke..hata nchi zinazopinga ushoga fatilia data zao Za STDs Za miaka ya 1800s Na saiv uone kama imeongezeka au imepungua
4.Yeah I think Kuna njia zinatumika Za usafi,madawa kupambana n hii Hali kwahyo asiyezitumia Ni Sawa Na kuzuia wanawake wasizae kisa uliwahi kuona mwanamke Kwenye daladala anamtupa mwanae dirishani
5.Tunarudi palepale,una statistics/data zinazohusisha ushoga Na matatizo ya akili?
Kama hazipo Ni Sawa Na kupinga watu Kuwa Na kigugumizi kwasababu ya 'concept' uliyotunga kuwahusianisha Na pedophiles,rapists nk.
6.unasema hivyo utadhani utamaduni wa binadamu Ni kitu constant kama jua hakibadiliki with time..Kuna watu walikuwa wanasema hivyo hivyo kuhusu wanawake Na usawa Kwa jamii...au hata watu weusi walivyokuwa wanafight kupata haki walionekana vichaa/nyani wanaoforce utamaduni wa binadamu uwatambue.
Kuhusu Dini hata watu weusi wanafight kutambulika kwenye hizi Dini ndomaana Kuna movements kama black Israelites.
 
Kwani wewe jinsia gani?uume unaingizwa kwa wanawake ili kwanza #1 Kupata raha na #2 kupata watoto.

Acha kujitoa ufahamu!
Okay Sawa kuhusu hiyo ya #1 kupata raha.
Jamaa alisema wanawake Ni wengi kwanini uingiliwe/uingilie mwanaume ?
Sasa Kama ishu Ni raha kama mtu anaona raha kufanya masterbation kwanini umuingilie/umpangie raha?
Kama mwanaume anaona raha kumuingilia mwanaume mwenzake kwanini umpangie kma ishu Ni kupata raha Tu?

Kama kuzuia ushoga Ni mpango wa kukataza raha(sexual pleasure) yoyote Ile isiyokuwa heterosexual sex(kujamiiana mwanamke Na mwanaume) basi wakataze masterbation,kulana Tigo,oral sex,etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…