Mimi naikamua kama sina akili nzuriView attachment 1009316View attachment 1009317View attachment 1009318mimi bt sport kolokolo zote humo fa premier uropa carabao uefa lq liga bundes league one na uchafu uliobaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Bein fire Bein moto bein watabaki kuwa juu wanachannel categories nyingi hata km kuna mechi 5 kwa wakati mmoja ligi ya serie a, epl, la liga, bundersliga zote utazionaBt sport ndio kiboko wanayatumia wazungu ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Canal nao wapo vyema compared to DstvBein fire Bein moto bein watabaki kuwa juu wanachannel categories nyingi hata km kuna mechi 5 kwa wakati mmoja ligi ya serie a, epl, la liga, bundersliga zote utaziona
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapatakanaje mkuuMkuu natuma PM inagoma.....
Bein decoder ni 385usd
kulipia kwa mwaka ni 230usd
decoder imeshuka bei na kulipia kwa mwaka wamepandisha, mwaka jana decoder ilikuwa 550usd na package ilikuwa 100usd tu kwa mwaka.
Zinapatikana dubai hiziInapatakanaje mkuu
Tunapataje kingamuzi bosibein sport ni 🔥🔥🔥🔥
BEINKwa wale watu wa michezo hasa soka nadhani wanajua vituo hivi vya tv nguli vya michezo superspot ya south Afrika na bein sports ya Qatar. Sasa kipi bora katika uchambuzi wa michezo na hata matangazo yake?
Mkuu sasa card yao napata vip? hawa bein sport napataje card yao?Be in sport inapatikana east africa
Decoder iko na pia IPTV ambayo inatumia bundles less iko
:cool2:
Decorder naipataje? naihitaji sanaaaaNinatumia "Bein" decoder, ina chanel za movie nyingi mno pamoja na na za cartoon na za wanyama pia akina national geographic nk..... bein sport 1-19 kwa ajili ya sports pamoja na fox sports.... kwa hiyo siyo kweli kuwa ni ya michezo peke yake. bein iko vizuri kulinganisha na dstv kwa maoni yangu. na chanel zote za michezo ni High definition.
Mi nahitaji pia hiki
Duuuu! Sema ulicomment zamani ila uliandika kitu usichojuaWakuu tuykumbuke Beinsport ni kwa ajili ya Michezo tu, ila super sports ina aina zote za channel.
So super sports ndio mpango mzima, ila tatizo hela.
Hiv dekoda ya bein naipata wapi na bei ipojeDuuuu! Sema ulicomment zamani ila uliandika kitu usichojua