Supersport na beIn Sports, nani zaidi?

Mkuu natuma PM inagoma.....

Bein decoder ni 385usd
kulipia kwa mwaka ni 230usd

decoder imeshuka bei na kulipia kwa mwaka wamepandisha, mwaka jana decoder ilikuwa 550usd na package ilikuwa 100usd tu kwa mwaka.
Inapatakanaje mkuu
 
Kwa wale watu wa michezo hasa soka nadhani wanajua vituo hivi vya tv nguli vya michezo superspot ya south Afrika na bein sports ya Qatar. Sasa kipi bora katika uchambuzi wa michezo na hata matangazo yake?
BEIN
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…