stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Ninatumia "Bein" decoder, ina chanel za movie nyingi mno pamoja na na za cartoon na za wanyama pia akina national geographic nk..... bein sport 1-19 kwa ajili ya sports pamoja na fox sports.... kwa hiyo siyo kweli kuwa ni ya michezo peke yake. bein iko vizuri kulinganisha na dstv kwa maoni yangu. na chanel zote za michezo ni High definition.
being sport nishiiidaaa unawapata nillsat7w yana picha yake ni fuuul hd inauzwa 700000 na inalipiwa dolla 100 kwa mwaka mzimaaaa
Wakuu kwa hapa Dar inapatikana sehemu gani kama mnajua?