JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,671
mi kwangu sina receiver na nalipa buku 13 napata chanel 80 zikiwemo beinspot tena mbili,sky sport ambazo naweza pata ligi zote ulaya kubwa 100%.
mkuu hii iko poawa xana...tungeijua hiyo campuni kwa huku Dar ingetuokoa siye...wapenda. Soka...