Unaipataje?being sport nishiiidaaa unawapata nillsat7w yana picha yake ni fuuul hd inauzwa 700000 na inalipiwa dolla 100 kwa mwaka mzimaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaipataje?being sport nishiiidaaa unawapata nillsat7w yana picha yake ni fuuul hd inauzwa 700000 na inalipiwa dolla 100 kwa mwaka mzimaaaa
super sport wapo juu sana tena sanaa hao B.sport wakasome aisee..!
Na kinalipia tshs kwa mwezi?Bein sport ni bora ligi zote zinapatikana na HD zipo na SD zipo.bei yake pia poa...inapatikana kwa njia ya dish la nilesat ,arabsat,suhail sat,,tz kuanzia futi 6 mpaka 8.
Unamlipa nani? Kwani wana ofisi tz?mi kwangu sina receiver na nalipa buku 13 napata chanel 80 zikiwemo beinspot tena mbili,sky sport ambazo naweza pata ligi zote ulaya kubwa 100%.
Kumbe wanafanya illegal mkuu?Bein sport wanarusha wale watu wa huduma ya cable....mfano Barmedas tv mwanza,,mwanza cable tv,,shashi tabora.....yani kilaa mechi unayoiona Supersport hao Bein wanaonesha......wapo vizuri saana sema kwa Dar itakua rahisi kukamatwa sababu wanakua na.maofisi kweny miji mikubwa,,huduma ya cable inapatikana saana Mikoani....
Shukurani mkuu.Nunueni Canal plus toka burundi bora kuliko hawa makaburu wanatunyanyasa sana kwa bei zao
Vp mbona nasikia kama beam (signal) hazifiki vizuri hapa bongo?Nunueni Canal plus toka burundi bora kuliko hawa makaburu wanatunyanyasa sana kwa bei zao
Beam ya Canal+ au Beinsport?Vp mbona nasikia kama beam (signal) hazifiki vizuri hapa bongo?
Kama Beam ya Canal+ ipo njema sana popote TanzaniaVp mbona nasikia kama beam (signal) hazifiki vizuri hapa bongo?
Canal +
Canal+ yenyewe ni legal kwa Tanzania?
Mkuu unafanya vingapi ambavyo si legal?Canal+ yenyewe ni legal kwa Tanzania?
Inagharimu kiasi gani ?
Jibu swali uliloulizwa.Sio lazima pia kama hutaki kujibu
Wewe endelea kusubiri legality ya Canal+ huku sisi tunaendelea kupata burudani kwa gharama nafuu.Jibu swali uliloulizwa.Sio lazima pia kama hutaki kujibu
🤣🤣🤣Wewe endelea kusubiri legality ya Canal+ huku sisi tunaendelea kupata burudani kwa gharama nafuu.
Sent using Jamii Forums mobile app